Nakumbuka kiitio Cha nasma..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kudadek
Ila ule wimbo wake wa usokotera unyago naupenda hatariUpungufu wa kinga mwilini alikuwa shoga maarufu tu Zanzibar.
🤣🤣🤣🤣🤣Uswahilini nimenyoosha mikono..khaa!!!..Karibu uswazi na shughuli za waswahili.
Mjinga ww 2005 upo darasa la Saba?
Kipindi Cha kesi ya ugaidi ya mbowe tulidhani tunajadili na mtu mzima kumbe we ni pimbi tu.
Mello fanya mabadiliko kidogo ili mtu akiwa anatoa au kuchangia mada tuone japo umri wa muhusika kwenye screen.
Wengi humu watanielewa
hiyo hata Nasma mwenyewe aliirudiaMahaba ya dhati bonge la nyimbo. Ikaja kurudiwa na Ray c
Ila ule wimbo wake wa usokotera unyago naupenda hatari
Nalala nae naamka nae🎶Na ule nasema "sitaki ushambenga"
Maisha yana kwenda kasi jamani.udongo unakula watu sana.
Taarabu ya kipindi cha nyuma ilikuwa nzuri na ilikwenda sambamba na bendi miaka hiyo. Kuna kipindi taarabu ilikuwa na vijembe mpaka majirani wakawa wanagombana. Nasma Hamisi kwenye nyimbo zake zilikuwa na mchuano na Khadija Kopa kwa vijembe.
kama mpaka leo angekuwepo hata khadija kopa angekuwa bado na taarabu yake ileile. Sawa na Kanumba na Rey, Akudo na Fm Academia n.k
R.I.P
Mzee Yusuph ni mkongwe kwenye rusha roho, Omari Kopa(RIP) alikuja baadae sanaUsimsahau OMARI KOPA.
Mzee yusuph alikuwa anasubiri bench.
Japo alikuwa na mambo ya ajabu ajabu ila jamaa alikuwa anaimba
Mwanaid shaban kama sikosei ndio alieimba zoa zoa akiwa na East Africa melodyNakumbuka mpambano mmoja wa TOT na MUUNGANO,ilikuwa pale VIJANA SOCIAL HALL, Kinondoni show ilikuwa kali balaa hatimaye wakati anaimba MWANAIDI SHAABAN wa Muungano jukwaa likavunjika wanamuziki wakatumbukia chini😀😀😀
Mzee Yusuph ni mkongwe kwenye rusha roho, Omari Kopa(RIP) alikuja baadae sana
Mzee Yusuph ameanza kuandika nyimbo na kupiga kinanda enzi ya East African Modern Taarab; wimbo wa Kinyago cha Mpapure wa Mwanahawa Ally aliandika yeye akiwa bado kijana mdogo; na ameandika nyimbo nyingi sana, mpaka alipoamua kuanza kuimba mwenyewe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shepu kama shepuNasma khamisi kidogo..Mama mwenye shape lake..alijua kumtikisa khadija kopa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona mambo ipo huku taaarabu imoo[emoji445]
Taarabu imoooo..naona mambo ipo huku hukuuu...weeee utaumiza roho yakoooo[emoji445][emoji445]
R.i.p
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787] ila taarabu [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!Shepu yake [emoji23][emoji23][emoji23]