Nimemkumbuka Nasma Hamisi Kidogo aliyemtikisa Khadija Kopa kwenye taarabu

Nimemkumbuka Nasma Hamisi Kidogo aliyemtikisa Khadija Kopa kwenye taarabu

Siku hizi taarabu zenu vurugu nyingi.
Raha ya taarabu ilikuwa mduara wanawake mbele wanaume nyuma.
Mnazunguka.
Hapo inapigwa riziki mafungu saba,paka mapepe,nimekinai umasikini wangu n.k
Mara zinapigwa za Omar kopa,mzee issa matona n.k
Kuja kushtuka saa 9 usiku.
Wanaanza kupiga bongo fleva.kipindi hicho hakuna singeli
🤣🤣🤣🤣🤣unanogesha na wana NJENJE kwa mbaaaali
 
Kaka acha tu nakumbuka mwaka 2005 nipo darasa la 7 hapo.

Siku hyo ilikuwa jumamosi rafiki zangu wakaniambia twende kwenye mziki.

Hayo mambo nilikuwa siyajui.

Nilipofika shetani akanipatia mdada huyoo hatari.aliumbika aswaa alafu sio mchoyo yaani unashika unapotaka

Basi tangu siku hyo nikawa chizi mziki.yaani wiki end kusipokuwa na mziki Sina Raha kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unanogesha na wana NJENJE kwa mbaaaali
 
hizo ujue zilikuwa za miaka ya 2003 kupanda juu.

Ni modern taarabu lakini hazijachangamka Kama hizi za saa
Hata hizo ulizozitaja mkuu bado sio taarab za kizamani. Hizo zote ni modern na zipo mpk sasa sema sio mpenzi WA taarab huwezi kuzifaham.
 
Hata hizo ulizozitaja mkuu bado sio taarab za kizamani. Hizo zote ni modern na zipo mpk sasa sema sio mpenzi WA taarab huwezi kuzifaham.
Kwan wewe mkuu unazungumzia uzaman ule wa Muunguja Siti Bint Saad ama 🤣🤣🤣?
 
Kwan wewe mkuu unazungumzia uzaman ule wa Muunguja Siti Bint Saad ama 🤣🤣🤣?
Enhee taarab za zamani za kina siti bwana 😂😂😂 hizo za kina khadija zote modern na ndio zipo mpk leo .
 
Wewe tu uliifatilia Kwa mkumbo ila wapenzi wataarab tunazidi kuburudika daily
Kipindi kile kila mtu alifuatilia taarab ndo ujue hao waimbaji walikuwa spesho.

Mimi ni mkristu lakini taarab ya kina Nasma na wenzake ilinikonga roho. Wao ndo walinifanya niipende taarabu mpaka waleo nasikiliza taarab kila siku
 
Sheria ipi na ya wapi?
Soma
Screenshot_20220405-083140_Gallery.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220405-083140_Gallery.jpg
    Screenshot_20220405-083140_Gallery.jpg
    23.4 KB · Views: 27
  • Screenshot_20220405-083140_Gallery.jpg
    Screenshot_20220405-083140_Gallery.jpg
    23.4 KB · Views: 25
Mjinga ww 2005 upo darasa la Saba?

Kipindi Cha kesi ya ugaidi ya mbowe tulidhani tunajadili na mtu mzima kumbe we ni pimbi tu.

Mello fanya mabadiliko kidogo ili mtu akiwa anatoa au kuchangia mada tuone japo umri wa muhusika kwenye screen.

Wengi humu watanielewa
 
Back
Top Bottom