Sio mbayaIla alikuwa shoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mbayaIla alikuwa shoga
Inasikitisha. Na taarab saivi ni kama imepoteza mwelekeo
Haijapoteza muelekeo sema huna ushabiki nazo mkuuInasikitisha. Na taarab saivi ni kama imepoteza mwelekeo
Ni shida ni kama taarabu imefunikwa na vigodoro na singelihii modern taarabu ya Sasa ni kiboko.
kizazi kipya kilichovurugwa.
Kama kwenye vigodoro wakianza kupiga zile za zamani uwanja unakuwa umetulia.ngoja Sasa waanze za kisasa wanatibuka
Sijasikia taarab ikitingisha jiji kama zamaniHaijapoteza muelekeo sema huna ushabiki nazo mkuu
Karibu uswazi na shughuli za waswahili.Sijasikia taarab ikitingisha jiji kama zamani
Najua mtaani bado ipo na mimi nasikiliza taarabu sana ila niambie msanii gani wa taarabu anayetrend saivi au wimbo gani wa taarabu upo kwenye trendKaribu uswazi na shughuli za waswahili.
Y2K
Modern Taarabu ya leo ni kutingisha mtindi na makalio basi🤣🤣Sijasikia taarab ikitingisha jiji kama zamani
Uzee tena 🤣🤣🤣
Yani huu upepo wa kutingisha makalio upite tu maana imekuwa keroModern Taarabu ya leo ni kutingisha mtindi na makalio basi[emoji1787][emoji1787]
Ila sanamu la michelin sista ilimuingia aisee na alipanikii kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila sanamu la michelin sista ilimuingia aisee na alipanikii kweli
Saizi watoto wa kiume na watikisa usasa huo🤣🤣Yani huu upepo wa kutingisha makalio upite tu maana imekuwa kero
Karibu uswazi na shughuli za waswahili.
Hata hizo ulizozitaja mkuu bado sio taarab za kizamani. Hizo zote ni modern na zipo mpk sasa sema sio mpenzi WA taarab huwezi kuzifaham.Siku hizi taarabu zenu vurugu nyingi.
Raha ya taarabu ilikuwa mduara wanawake mbele wanaume nyuma.
Mnazunguka.
Hapo inapigwa riziki mafungu saba,paka mapepe,nimekinai umasikini wangu n.k
Mara zinapigwa za Omar kopa,mzee issa matona n.k
Kuja kushtuka saa 9 usiku.
Wanaanza kupiga bongo fleva.kipindi hicho hakuna singeli