cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Hiii alipigwa kijembe mama aliyezaa maana sis mama zetu walitunyaSanamu la Michelin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiii alipigwa kijembe mama aliyezaa maana sis mama zetu walitunyaSanamu la Michelin
🎶🎵unasemwa wewe sanamu la Micheline unaambiwa wewe usojua kushine👌👌👌🎶🎶🎶[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787] ila taarabu [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!
Achia [emoji445]ngazi bibii mchuma unaondoka huooo[emoji445][emoji445][emoji444][emoji444]
Achia ngazi bibii mchuma unaondoka huooo [emoji444] [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shepu kama shepu
hatari sana! Na roho itawauma sio kitoto
N [emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji8]!!
Ngoma sii yako🎶🎶🎶🎵unasemwa wewe sanamu la Micheline unaambiwa wewe usojua kushine👌👌👌🎶🎶🎶
Nakwambia!! Taarabu ujumbe wake mkavu balaa afu direct!![emoji445][emoji444]unasemwa wewe sanamu la Micheline unaambiwa wewe usojua kushine[emoji108][emoji108][emoji108][emoji445][emoji445][emoji445]
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! yani makavu bila chengaNgoma sii yako[emoji445][emoji445]
Waivalia kibwayaaa[emoji445][emoji445]
Mbele hucheziiii nyuma hutikisikiii[emoji445][emoji445][emoji444]
[emoji1787][emoji1787]Jamani
😂😂Acha tu[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! yani makavu bila chenga
Huyu kifo chake aligongwa na gari alikuwa anaenda Diamond jubilee kwa mguu kwenye tamasha, wakati huo hata bodaboda hamna, Inasikitisha.
Naendelea Kukusanya, idadi ya wakubwa zangu humu ili wakisema jambo humu nikae kimya tuMuwe mnaamkia baba zenu sasa tuliopo humu
Si kuna wale wenye wameambiwa kuna kunya na kuzaa wamelipuka mapovu balaa😄😄, hawawajui vizuri hawa watu wa rusha roho wengi wameanza kufuatilia Bongo fleva.Nakwambia!! Taarabu ujumbe wake mkavu balaa afu direct!!
....Those days...👊👊👊Mrema aka bwana harusi mpya mjini alipenda kuupiga wakati wa kampeni zake mwaka 2000!😂😂😂😂😂
Huyo ni mtu mzima mbona....Mjinga ww 2005 upo darasa la Saba?
Kipindi Cha kesi ya ugaidi ya mbowe tulidhani tunajadili na mtu mzima kumbe we ni pimbi tu.
Mello fanya mabadiliko kidogo ili mtu akiwa anatoa au kuchangia mada tuone japo umri wa muhusika kwenye screen.
Wengi humu watanielewa
😂😂😂😄 Usinisahau kwenye orodha yako.Naendelea Kukusanya, idadi ya wakubwa zangu humu ili wakisema jambo humu nikae kimya tu
Sijui Koppa alimtibua nini maza maana kachana humu hatariOih sanamu la michelin hupendeziii hata ujirembe unatishaaaa....[emoji445][emoji445]
Instruments sasa balaa wanapiga vinanda hatari
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Waswahili utawaweza?Jambo dogo tu,watachambana hadi unayesikia aibu utaona!Hao ndiyo waswahili!😂😂😂😂Sijui Koppa alimtibua nini maza maana kachana humu hatari
Kuna watoto wengi sana humu, acha nicheke tu.Muwe mnaamkia baba zenu sasa tuliopo humu
Kuna nyimbo ilikua best kwangu hasa mistari ya mwisho mwisho ...."Mambo nale nale umechekwa sana" halafu kuna "nampa maandazi na chai ya tangawizi" sijui hata jina la wimbo.Maisha yana kwenda kasi jamani.udongo unakula watu sana.
Taarabu ya kipindi cha nyuma ilikuwa nzuri na ilikwenda sambamba na bendi miaka hiyo. Kuna kipindi taarabu ilikuwa na vijembe mpaka majirani wakawa wanagombana. Nasma Hamisi kwenye nyimbo zake zilikuwa na mchuano na Khadija Kopa kwa vijembe.
kama mpaka leo angekuwepo hata khadija kopa angekuwa bado na taarabu yake ileile. Sawa na Kanumba na Rey, Akudo na Fm Academia n.k
R.I.P
watu wanaosikiliza taarabu kwa wanawake naonaga kama mashangingi ya kimalaya yanayotoa mlango wa uwani, huwa nawadharau sana yaani. ila kwa wanaume naaminigi ni mashoga.Maisha yana kwenda kasi jamani.udongo unakula watu sana.
Taarabu ya kipindi cha nyuma ilikuwa nzuri na ilikwenda sambamba na bendi miaka hiyo. Kuna kipindi taarabu ilikuwa na vijembe mpaka majirani wakawa wanagombana. Nasma Hamisi kwenye nyimbo zake zilikuwa na mchuano na Khadija Kopa kwa vijembe.
kama mpaka leo angekuwepo hata khadija kopa angekuwa bado na taarabu yake ileile. Sawa na Kanumba na Rey, Akudo na Fm Academia n.k
R.I.P