Nimemkumbuka Nasma Hamisi Kidogo aliyemtikisa Khadija Kopa kwenye taarabu

🎢🎡unasemwa wewe sanamu la Micheline unaambiwa wewe usojua kushineπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸŽΆπŸŽΆπŸŽΆ
 
🎢🎡unasemwa wewe sanamu la Micheline unaambiwa wewe usojua kushineπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸŽΆπŸŽΆπŸŽΆ
Ngoma sii yako🎢🎢
Waivalia kibwayaaa🎢🎢
Mbele hucheziiii nyuma hutikisikiii🎢🎢🎡

🀣🀣Jamani
 
Ngoma sii yako[emoji445][emoji445]
Waivalia kibwayaaa[emoji445][emoji445]
Mbele hucheziiii nyuma hutikisikiii[emoji445][emoji445][emoji444]

[emoji1787][emoji1787]Jamani
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! yani makavu bila chenga
 
Huyu kifo chake aligongwa na gari alikuwa anaenda Diamond jubilee kwa mguu kwenye tamasha, wakati huo hata bodaboda hamna, Inasikitisha.

Kama sio ajali ya gari, jamaa angekuwa jukwaani muda huu
 
Huyo ni mtu mzima mbona....

Ukikadiria umri wake ni late 20's au early 30's hivi.
 
Kuna nyimbo ilikua best kwangu hasa mistari ya mwisho mwisho ...."Mambo nale nale umechekwa sana" halafu kuna "nampa maandazi na chai ya tangawizi" sijui hata jina la wimbo.
 
watu wanaosikiliza taarabu kwa wanawake naonaga kama mashangingi ya kimalaya yanayotoa mlango wa uwani, huwa nawadharau sana yaani. ila kwa wanaume naaminigi ni mashoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…