Nimemkumbuka Zacharia Hans Pope. Watoto wake Leo hii wanateseka na mali alizoacha baba yao

Nimemkumbuka Zacharia Hans Pope. Watoto wake Leo hii wanateseka na mali alizoacha baba yao

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Zacharia alizaliwa mwaka 1956 na kufariki mwaka 2021.apumzike nimemkumbuka kwa ushujaa wake
👉Harakati za uanajeshi tangu mwaka 1973-1982
👉Kifungo cha maisha jela 1982-1995 Baada ya jaribio la kutaka kumpindua Mwl. nyerere
👉Harakati za biashara hadi kuwa moja ya wadau muhimu wa club ya simba tangu 2004-2021 umauti ulimpofika(Furaha ya milele umpe ebwana na mwanga wa milele umuangazie. Amina)

Ila kisa cha kuandika uzi ni Baada ya video kuiona clip nitakayoiattach hapa vijana wake marehemu hans wakitoa malalamiko yao

👉Kuna la kujifunza hapa haswa kwa mtu unapofikisha miaka 40 na kuendelea kuanza kuandaa wosia mapema(japo wahenga wanasema kuandaa wosia ama kitabu ni kujichulia kifo)
 
Zacharia alizaliwa mwaka 1956 na kufariki mwaka 2021.apumzike nimemkumbuka kwa ushujaa wake
👉Harakati za uanajeshi tangu mwaka 1973-1982
👉Kifungo cha maisha jela 1982-1995 Baada ya jaribio la kutaka kumpindua Mwl. nyerere
👉Harakati za biashara hadi kuwa moja ya wadau muhimu wa club ya simba tangu 2004-2021 umauti ulimpofika(Furaha ya milele umpe ebwana na mwanga wa milele umuangazie. Amina)

Ila kisa cha kuandika uzi ni Baada ya video kuiona clip nitakayoiattach hapa vijana wake marehemu hans wakitoa malalamiko yao

👉Kuna la kujifunza hapa haswa kwa mtu unapofikisha miaka 40 na kuendelea kuanza kuandaa wosia mapema(japo wahenga wanasema kuandaa wosia ama kitabu ni kujichulia kifo)
 
Zacharia alizaliwa mwaka 1956 na kufariki mwaka 2021.apumzike nimemkumbuka kwa ushujaa wake
👉Harakati za uanajeshi tangu mwaka 1973-1982
👉Kifungo cha maisha jela 1982-1995 Baada ya jaribio la kutaka kumpindua Mwl. nyerere
👉Harakati za biashara hadi kuwa moja ya wadau muhimu wa club ya simba tangu 2004-2021 umauti ulimpofika(Furaha ya milele umpe ebwana na mwanga wa milele umuangazie. Amina)

Ila kisa cha kuandika uzi ni Baada ya video kuiona clip nitakayoiattach hapa vijana wake marehemu hans wakitoa malalamiko yao

👉Kuna la kujifunza hapa haswa kwa mtu unapofikisha miaka 40 na kuendelea kuanza kuandaa wosia mapema(japo wahenga wanasema kuandaa wosia ama kitabu ni kujichulia kifo)
Hakika ZHP alikuwa mpambanaji haswa.
 
Aisee this guy was very generous. Mungu amrehemu huko aliko. Our paths crossed very very briefly na alishanisaidia bila hata kujali tumefahamiana muda mfupi kiasi gani
Yule mzee alikuwa jeshi kweli ,we fikiria unafungwa miaka zaidi ya kumi na unarudi kitaa unakuwa tajiri vile .
Nilipenda spirit yake ya uvumilivu na harakati za utafutaji
 
Obviously
Watoto wake wameongea kwa uchungu mno lakini nani anajali "who care"?Ushauri
Kama mzee unaondoka duniani na unajua unamali ni vyema kuacha wosia ulionyooooka
MADOGO WANATESEKA BURE!!!?
 
Zacharia alizaliwa mwaka 1956 na kufariki mwaka 2021.apumzike nimemkumbuka kwa ushujaa wake
👉Harakati za uanajeshi tangu mwaka 1973-1982
👉Kifungo cha maisha jela 1982-1995 Baada ya jaribio la kutaka kumpindua Mwl. nyerere
👉Harakati za biashara hadi kuwa moja ya wadau muhimu wa club ya simba tangu 2004-2021 umauti ulimpofika(Furaha ya milele umpe ebwana na mwanga wa milele umuangazie. Amina)

Ila kisa cha kuandika uzi ni Baada ya video kuiona clip nitakayoiattach hapa vijana wake marehemu hans wakitoa malalamiko yao

👉Kuna la kujifunza hapa haswa kwa mtu unapofikisha miaka 40 na kuendelea kuanza kuandaa wosia mapema(japo wahenga wanasema kuandaa wosia ama kitabu ni kujichulia kifo)

View: https://youtu.be/waLXndkjZ-0?si=o7_MLO9FfV457tp0
 
Zacharia tumefanya Basic( military) training pamoja Kurasini.
Tulikuwa tunaishi hema moja( Yale mahema ya jeshi ya watu 10,20).
Unasema familia yake ina matatizo gani?
Pita kwa millard ayo utaiona habari
 
Obviously
Watoto wake wameongea kwa uchungu mno lakini nani anajali "who care"?Ushauri
Kama mzee unaondoka duniani na unajua unamali ni vyema kuacha wosia ulionyooooka
MADOGO WANATESEKA BURE!!!?
Kwani ni nani anataka kudhulumu Urithi wa watoto!? Watoto waende mahakamani na watapata haki yao, mtu mwenye mali akifa matapeli hawakosekani kujichomeka kwenye mali za Marehemu!!
 
Tatizo tumekuwa rahisi sana kudanganywa na watu mbele ya kamera , ukiona watoto wa vigogo wnalalamika sio kwamba wanateseka ila kuna kikubwa zaidi wanakitamani na wamekosa ujanja au wamezidiwa hapo wanataka viongozi wakubwa wawatazame ili wapewe konection zaidi ila kuhusu kuwa na maisha magumu hilo halipo mkuu
 
Back
Top Bottom