Hivi huwa huoni humu several times tu wanaume walowahi kununua au wanaonunua wakijisifia kabisa kununua au wakisema kabisa!!!Sehemu za starehe kunaingia watu wa aina zote. Kwahio wewe ukiwepo hapo nikivutiwa nikakutokea maanake unauza na mimi nanunua? Btw mtu anaenunua hawezi kukaa kujipanga eti nimtuokeeje yule wakati inajulikana nikukubaliana bei tu....
'niliona msichana akanivutia nikapanga mikakati nimuingieje' hii statement kwenu inaonesha mtu anapanga kununua?!!
Kwahiyo uligundua baada ya kuziungumza nae? Basi ungerekebisha pale ktk maelezo yako ukaweka hivyo maana kwa namna ulivyoandika its like ulipomuona ulijua kabisa anajiuza hivyo ukaanza mikakati ya namna ya kumnunua. Sijui umenielewa!!!Wewe habari za wanaojiuza tuache sisi. Let me tell u this, wanawake wa siku hizi kwenye kumbi za starehe huwezi kujua nani ni nani mpaka muongee ndio utajua,vingine ni hisia tu. Huyu ni mtu ninaemfahamu ninaemjua inside out nikiongea nae few minutes i know if she is up to no good!
...got nothing to do with me.Hivi huwa huoni humu several times tu wanaume walowahi kununua au wanaonunua wakijisifia kabisa kununua au wakisema kabisa!!!
Badala ya kuwaona wanaokuambia hivyo ni wajinga au hawatumii common sense ungeelewa kwanza ni nini kinawafanya waseme hivyo.
Hapana.Kwahiyo uligundua baada ya kuziungumza nae? Basi ungerekebisha pale ktk maelezo yako ukaweka hivyo maana kwa namna ulivyoandika its like ulipomuona ulijua kabisa anajiuza hivyo ukaanza mikakati ya namna ya kumnunua. Sijui umenielewa!!!
Okey....got nothing to do with me.
Haya.Hapana.
Wewe mwenyewe mbona ulienda kununua paleWeekend hii iliopita kwenye misele yangu ya usiku nilipita viwanja fulani maarufu kwa kutembelewa na wazungu wengi sana. Nilipofika hapo katika kuangazaangaza kwenye kona fulani nikaona msichana ambae alinivutia sana.
Nikawa napanga mikakati nimuingieje. Baada ya kumtupia jicho nikahisi kama namfahamu, nikajipitisha pale la haula kumbe ni ex wangu ambae mimi nilikuwa mwanaume wake wa kwanza na hatujaonana kama miaka mitatu hivi.
Alishtuka sana aliponiona na mimi sikutegemea kumkuta mazingira yale na mitego aliokaa. Nikamuuliza maswali mawili matatu anajikanyaga nikaamua nipotezee tukachat mawili matatu nikachukua namba yake nikaondoka eneo lile nikamwacha.
Kesho yake nikamtafuta nikaemdelea kumhoji nini kinaendelea kwenye maisha yake mpaka amefikia hatua hio. Najuta kumuuliza kwani alinitukana sana (wenyewe wanaita kuchamba) na kusema mimi ndio moja ya sababu yuko alivyo leo na akaamua kuniblock kabisa whatsapp. Hapa nilipotangu juzi namtafuta hapokei simu.
Haswaaaaaaaaa!!!!! Waswahili wanasema ngoma droo...!!!!Hajatambua kuwa huo mstari ndipo alipojichanganya, ndio maana watu wanamwambia hivyo.
Nimejikuta nacheka kwa sauti..... !!!!Kwani na wewe si ulikua mawindoni, wote mlikua eneo moja la tukio mnawinda. Pambaneni na hali zenu, msituchoshe
Mkuu ulikosea, kwanini hukumuungisha kwenye biashara yake?Weekend hii iliopita kwenye misele yangu ya usiku nilipita viwanja fulani maarufu kwa kutembelewa na wazungu wengi sana. Nilipofika hapo katika kuangazaangaza kwenye kona fulani nikaona msichana ambae alinivutia sana.
Nikawa napanga mikakati nimuingieje. Baada ya kumtupia jicho nikahisi kama namfahamu, nikajipitisha pale la haula kumbe ni ex wangu ambae mimi nilikuwa mwanaume wake wa kwanza na hatujaonana kama miaka mitatu hivi.
Alishtuka sana aliponiona na mimi sikutegemea kumkuta mazingira yale na mitego aliokaa. Nikamuuliza maswali mawili matatu anajikanyaga nikaamua nipotezee tukachat mawili matatu nikachukua namba yake nikaondoka eneo lile nikamwacha.
Kesho yake nikamtafuta nikaemdelea kumhoji nini kinaendelea kwenye maisha yake mpaka amefikia hatua hio. Najuta kumuuliza kwani alinitukana sana (wenyewe wanaita kuchamba) na kusema mimi ndio moja ya sababu yuko alivyo leo na akaamua kuniblock kabisa whatsapp. Hapa nilipotangu juzi namtafuta hapokei simu.
Najuta kumuuliza kwani alinitukana sana (wenyewe wanaita kuchamba) na kusema mimi ndio moja ya sababu yuko alivyo leo na akaamua kuniblock kabisa whatsapp. Hapa nilipotangu juzi namtafuta hapokei simu.
Nipe namba yake mkuu nijaribu bahati kama ntafika beiWeekend hii iliopita kwenye misele yangu ya usiku nilipita viwanja fulani maarufu kwa kutembelewa na wazungu wengi sana. Nilipofika hapo katika kuangazaangaza kwenye kona fulani nikaona msichana ambae alinivutia sana.
Nikawa napanga mikakati nimuingieje. Baada ya kumtupia jicho nikahisi kama namfahamu, nikajipitisha pale la haula kumbe ni ex wangu ambae mimi nilikuwa mwanaume wake wa kwanza na hatujaonana kama miaka mitatu hivi.
Alishtuka sana aliponiona na mimi sikutegemea kumkuta mazingira yale na mitego aliokaa. Nikamuuliza maswali mawili matatu anajikanyaga nikaamua nipotezee tukachat mawili matatu nikachukua namba yake nikaondoka eneo lile nikamwacha.
Kesho yake nikamtafuta nikaemdelea kumhoji nini kinaendelea kwenye maisha yake mpaka amefikia hatua hio. Najuta kumuuliza kwani alinitukana sana (wenyewe wanaita kuchamba) na kusema mimi ndio moja ya sababu yuko alivyo leo na akaamua kuniblock kabisa whatsapp. Hapa nilipotangu juzi namtafuta hapokei simu.
Jaribu kumtafuta chimbo lake,ila mkuu ulikosea kumuuliza kwenye simu na ilikuwa mapema,cha kufanya wewe ungejifanya haujui kinachoendelea baada ya kupeana contact umtafute na umualike sehemu tulivu,ikiwezekana mpige kaz ndiyo uanze kumdadisi kwa utulivuHapokei simu, hajibu sms,whatsapp blocked
Nimuwowe au nimuoe?Pole kwa yaliyokukuta tafuta simu nyingine mtafute au mpe mtu aongee nae ajifanye anataka kumnunua wakutane sehemu uende umface ukaongee nae kuwa umeumizwa na anayofanya kama unaweza msaidia mtaji msaidie au kama unamsamehe umuwowe pia sawa