nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
una mawazo ya kipepoAkimla tulia tuliii
Sawa.Yaani unamwambia mkeo amuandalie huyo dogo chakula na isijirudie tena? Pole yake
Anahisi anakumudu. Jitafakaridogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,
juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli. badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikua anamuandalia. nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.
majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijajununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"
visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.
akili wanawake hawana aisee dogo anatuingizia ela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua ilo. ujinga tu hawa watu.
😂 huyu faza hausi mjinga sana.....Yaani unamwambia mkeo amuandalie huyo dogo chakula na isijirudie tena? Pole yake
Inashangaza sana 😢😂 huyu faza hausi mjinga sana.....
si kaona dogo katinga kitu new amesens tu sijamwambia mimi.Kama kujipakulia msosi mbona simple tuu...... Hata nisipoandaliwa fresh ishu asinikunjie sura ama mdomo ndo ntashindwa kula
Kingine so lazima ukinunua kitu Cha dogo wife ajue......
Wanawake walio wengi ni wabinafsi na wachoyo hasa kwa ndugu wasio wake
yap heshima first.Dogo kamaliza form 4. Unataka mkeo amtengee chai kwa heshima na adabu. Ikibidi apige na goti....hivi unamv unamchukulije mkeo?
Au unataka huyo dogo amchukulieje mkeo?
Sawa.Inashangaza sana 😢
Hahaha balaa tupuWanawake ni wabinafsi sana, nilipiga marufuku ndugu zake kwangu baada ya wakwangu kufanyiwa figisu na akanuna akaondoka sikupiga simu wala kumtafuata. Karudi na Baba na Mama yake kuomba radhi, nimewarudisha natafakari mpango wa kuishi na wanangu tu.
Huyo mkeo Ana umri gani?dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,
juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli. badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikua anamuandalia. nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.
majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijajununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"
visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.
akili wanawake hawana aisee dogo anatuingizia ela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua ilo. ujinga tu hawa watu.
mjinga baba yako.😂 huyu faza hausi mjinga sana.....
hahaHilo shati ulinunua kwenye duka la Mzize? Kama ndio mwache anune tu. Yanga Bingwa.