Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Lazima mke achote maji na awakarimu wageni kwa heshima kubwa.

Sisi kwetu ukerewe mama zetu walikuwa wanapiga hadi magoti mbele za mashemeji kwa heshima kubwa.

Nyie wafuga kucha na diploma zenye za kijinga hizo zenye D MBILI mnajifanya wa kisasa kumbe hakuna lolote mavi matupu ndo maana hamuolewi.

Kama huna adabu olewa na baba ako usilete visirani.
Heshima sio lazima magoti na kuchota maji. Shemeji wanalingana umri na watoto waliopo ndani ya nyumba ambao kazi wanapangiwa kujaza maji ndani. Kwa malezi sawa ya wote hizo ni kazi za kawaida ndani ya nyumba yao.
Angalizo, huhitaji lugha kali ku drive a point home
 
una mawazo ya kipepo
Mkuu sio mawazo ya kipepo bali ni uhalisia
Yanatokea sana hii dunia ina watu wa ajabu
Kama ukianza kumkaripia mkeo hivyo, kesho atachana nguo aseme kataka kunibaka
Kesi hizi nimezisimamia nilipokuwa nafanya kazi za matatizo katika jamii

Nikupe ushauri wa kiume mtafutie chumba hata cha bei rahisi la sivyo utapata shida sana Kama mke katokea kumchukia
 
Basi jitahidi ndani ya miezi 3 uwe umemtafutia Chumba cha kupanga, Kuna Vyumba vinapangishwa Kwa shilingi 40,000 hadi 50,000

Ukiweza Fanya hivyo ili kumpa furaha Mke wako

Ndoa yako ikiwa na amani, hupelekea kukupa Utulivu Mwanaume

Lakini ikishaanza migogoro midogo midogo kama hiyo, inaweza kuwa ni tiketi ya kuanza kurudi nyumbani saa nane za Usiku
Kama sehemu ipo kubwa hapo nyumbani kwanini akapange?

Wahindi wanaishi pamoja ukoo mzima kwenye nyumba moja na wana upendo sana wanarithishana biashara na mitaji.

Nyie kuishi na dogo wa form four tu ni nongwa, ulafi wa ugali tu.

Aisee nachukia watu walafi wa maugali.... I hate it deeply and passionately.

Nikimbaini mtu mlafi namcharaza bakora halafu namfukuza.
 
Lazima mke achote maji na awakarimu wageni kwa heshima kubwa.

Sisi kwetu ukerewe mama zetu walikuwa wanapiga hadi magoti mbele za mashemeji zao tena kwa heshima kubwa sana goti linapigwa mpaka linagusa ardhi.

Nyie WAFUGA KUCHA na MAKOPE na diploma zenu za kijinga hizo zenye D MBILI mnajifanya wa kisasa kumbe hakuna lolote mavi matupu ndo maana hamuolewi.

Kama huna adabu olewa na baba ako usilete visirani.
Huyo mwanamke mfuga kucha nilitaka kumjibu kama hivi. Afadhali umenisaidia mkuu.
 
Dogo kamaliza form 4. Unataka mkeo amtengee chai kwa heshima na adabu. Ikibidi apige na goti....hivi unamchukulije mkeo?
Au unataka huyo dogo amchukulieje mkeo?
Muwe mnaelewa mantiki ya somo.

Kushikishwa mandazi na wenyeji ni heshima gani wakati vyombo vipo bila kupata miongozo ya kuvitumia?

Mtoa miongozo ya kiutawala hapo nyumbani ni mwanamke.

Kijana kaja kuishi hapo, inatakiwa apewe muongozo kuanzia chumba chake cha kulala, vyombo vya kusevia chakula na ratiba za usafi wa mazingira ikiwemo choo na bafu nk nk.

Hapo huyo mke hapendi ndugu wa mumewe aishi hapo, ingelikuwa ni ndugu zake hawezi kuwashikisha mandazi mikononi bila kuwapa maelekezo.

Hapo mwanaume anatakiwa kuchukua hatua za kidiplomasia kwanza na zisipotekelezwa achukue hatua madhubuti kukomesha huo upumbaf.
 
Muwe mnaelewa mantiki ya somo.

Kushikishwa mandazi na wenyeji ni heshima gani wakati vyombo vipo bila kupata miongozo ya kuvitumia?

Mtoa miongozo ya kiutawala hapo nyumbani ni mwanamke.

Kijana kaja kuishi hapo, inatakiwa apewe muongozo kuanzia chumba chake cha kulala, vyombo vya kusevia chakula na ratiba za usafi wa mazingira ikiwemo choo na bafu nk nk.

Hapo huyo mke hapendi ndugu wa mumewe aishi hapo, ingelikuwa ni ndugu zake hawezi kuwashikisha mandazi mikononi bila kuwapa maelekezo.

Hapo mwanaume anatakiwa kuchukua hatua za kidiplomasia kwanza na zisipotekelezwa achukue hatua madhubuti kukomesha huo upumbaf.
tayari nimeanza kuchukua hatua mapema tu
 
Kama sehemu ipo kubwa hapo nyumbani kwanini akapange?

Wahindi wanaishi pamoja ukoo mzima kwenye nyumba moja na wana upendo sana wanarithishana biashara na mitaji.

Nyie kuishi na dogo wa form four tu ni nongwa, ulafi wa ugali tu.

Aisee nachukia watu walafi wa maugali.... I hate it deeply and passionately.

Nikimbaini mtu mlafi namcharaza bakora halafu namfukuza.
Wengi tunachukia hizi tabia za wake zetu

Kiasili Wanawake wengi hawapendi ndugu za Waume zao

Tena wakati mwingine hadi Mama Mzazi wa Mwanaume anafukuzwa kwenye nyumba ya mtoto wake na Mkwe wake (Mke wa mtoto wake wa kiume)

Mwanaume usipokuwa na msimamo lazima hayo yatakutokea
 
Wa
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Wakija ndugu zao wanawake utashangaa mke anajikomba komba uwanunulie kuku ndugu zake na mambo ya ajabu ajabu... Mpangishie dogo huyo ni ndugu Yako hawezi kukuacha lakini Mwanamke muda wowote mbele
 
Wa

Wakija ndugu zao wanawake utashangaa mke anajikomba komba uwanunulie kuku ndugu zake na mambo ya ajabu ajabu... Mpangishie dogo huyo ni ndugu Yako hawezi kukuacha lakini Mwanamke muda wowote mbele
ndo ivyo mkuu niliona kule kijijini atapauka tu na ndo kamaliza form 4, apa anapiga salon, nitafanya ivyo ila kwa sasa hata mwezi hajamaliza
 
Wengi tunachukia hizi tabia za wake zetu

Kiasili Wanawake wengi hawapendi ndugu za Waume zao

Tena wakati mwingine hadi Mama Mzazi wa Mwanaume anafukuzwa kwenye nyumba ya mtoto wake na Mkwe wake (Mke wa mtoto wake wa kiume)

Mwanaume usipokuwa na msimamo lazima hayo yatakutokea
MWANAUME USIETIA KILEO KINYWANI WAZAZI WAKO HAWAWEZI KUHESHIMIWA NA MKE WAKO COZ UNAKUWA UPO UPO LAKINI ANAYETIA KILEO KILA SIKU SIMU ZINAPIGWA KWA WAZAZI JAMANI LEO AMEFANYA HIV KESHO VILE halafu wazazi wakija mrume anaacha siku kazaa mke anaombea wabaki wazazi Wakiondoka unatoa lock 🔐
 
Wengi tunachukia hizi tabia za wake zetu

Kiasili Wanawake wengi hawapendi ndugu za Waume zao

Tena wakati mwingine hadi Mama Mzazi wa Mwanaume anafukuzwa kwenye nyumba ya mtoto wake na Mkwe wake (Mke wa mtoto wake wa kiume)

Mwanaume usipokuwa na msimamo lazima hayo yatakutokea
ni upumbavu kushuhudia ndgu zako Wananyanyaswa huku unaona
 
Back
Top Bottom