Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Yeah faza hausi ajifunge kanga ampikie amuandalie ππππSasa hebu mpe ushauri faza. Huyo dogo kwa mtazamo wako unataka aandaliwe chakula na nani? Aingie jikoni akajiandalie? Au amuandalie yeye mwenyewe faza haus?? Toa maoni mkuu
Na hapo ndio maneno huanza, mtoto anafanyishwa kazi usiku na mchana...kazi kweli kweli..Kumheshimu mke wako siyo kumuogopa. Wewe unaona sΓ wa kumuamuru mkeo awe Γ nanwandalia mtoto wa dada yako chakula? Mtoto wa dada yako ni mtoto wako, sΓ sa badala Γ tumwe jikoni akachukue chai sasa nae awe kidume kama baba mwenye nyumba aandaliwe chakula mezani?
Keshapikiwa inatosha.
Wewe naona unamchokoza sana chogo mkuu mi namuogopa huyooo
Blaza chogo ana tag la ajabu ajabu an ππππMimi siogop tusi lolote mkuu sema tuu siku hz naish kwenye manhood sitaki Tena kurushiana maneno....
BRAZA CHOGO umelala sitaki uamke utanipa shida kutembea ππ
Naona Juzi kakutag kwenye jamaa alopigwa selfie ya tako na mkewe ππ nikuwa nacheka kinomaBlaza chogo ana tag la ajabu ajabu an ππππ
Hapo kwenye kumuandalia chai ninapingana na wewe mkuu..yap heshima first.
My maaan. Mwamba huyu hapa..Wanawake ni wabinafsi sana, nilipiga marufuku ndugu zake kwangu baada ya wakwangu kufanyiwa figisu na akanuna akaondoka sikupiga simu wala kumtafuata. Karudi na Baba na Mama yake kuomba radhi, nimewarudisha natafakari mpango wa kuishi na wanangu tu.
Yule chogo jau sana mkuu ahahahahNaona Juzi kakutag kwenye jamaa alopigwa selfie ya tako na mkewe ππ nikuwa nacheka kinoma
KΓ ma maneno yataanza sababu kaambiwa chai iko tayari achukue anywe, hapo hakuna familia tena.Na hapo ndio maneno huanza, mtoto anafanyishwa kazi usiku na mchana...kazi kweli kweli..
Huoni hata aibu kujiaibisha? Soma paragraph ya pili,View attachment 3196698
Kwa Nia njema tu,
Unapendaga majibizano yasiyo na tija π€ mstari wa mwisho unasemaje? Hapo au upewe MIWANI hujaona nucta then hapo baada ya nucta na neno CHAKULA.
Salamaleko.
Kwa hiyo umeona Hilo ndio kosa pekee kwenye huu Uzi sio?Yaani unamwambia mkeo amuandalie huyo dogo chakula na isijirudie tena? Pole yake