Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Kwetu wakurya kawaida sana!Yaani unamwambia mkeo amuandalie huyo dogo chakula na isijirudie tena? Pole yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwetu wakurya kawaida sana!Yaani unamwambia mkeo amuandalie huyo dogo chakula na isijirudie tena? Pole yake
Sema sisi wanaume wavumilivu sana.niko kwenye ndoa 31 yrs now kijana, na wajukuu kibao, muda wakuolewa nilishaupita miaka mingi kijana wangu.
Roho mbaya ipi hapo sasa..?Wanawake acheni roho mbaya.
Mnakuwa wachoyo hadi aibu, Mnaumia ndugu kula ugali.
Hapana, mchanganyiko..tena hata sio kwa wazazi..ugenini...na tuliongozwa kwa mstari...We umekulia nyumba yenye wanawake watupu ?
Kweli usimsahau shemeji kwa zawadi. Ila upande wangu ningekuwa tofauti maana hata watoto wangu walianza kujifulia nguo zao wakiwa wadogo, hivyo ningekufulia mpaka umri fulani halafu nikuache usonge mbele mwenyewe.Dharau inatokea wapi sasa?. Yaan mkeo kumuandalia mdogo wako wa kiume ni dharau?. Aisee ndio nimeona leo, uzuri Mimi nilikulia na kusomea kwa kaka yangu form one mpaka form four, shemeji alikua ananiandalia chakula na wakati mwingine hata kunifulia. Leo hii hapa nilipo si haba, nikiwa naenda nyumbani likizo lazima nipite na kwa brother wangu, siwezi acha mpelekea shemeji zawadi kwa namna nilivyo ishi nae.
Na namjli na kumuheshimu kama mlezi kwangu.
Nahata Mimi siwezi ruhusu mke wangu amdharau kwa namna yeyote ndugu yangu.
tabia gani mkuu?[emoji53]Sema sisi wanaume wavumilivu sana.
Kuna jamaa kakuvulimia miaka yote hiyo na hizi tabia zako.
Sass akiingia jikoni si utasema amekuingilia jikoni kwako?Tena wa kishamba sana...
Kijana aliyemaliza form four eti asubiri kipikiwa na kuwekewa chakula mezani...
Bullshit🚮🚮🚮
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,
Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.
Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"
Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.
Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Kumbe dog anawaingizia ela nzr bas jiandae kuchapiwa mkeoDogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,
Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.
Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"
Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.
Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Mbn povumjinga baba yako.
Safi, kazia hapo hapo.Wanawake ni wabinafsi sana, nilipiga marufuku ndugu zake kwangu baada ya wakwangu kufanyiwa figisu na akanuna akaondoka sikupiga simu wala kumtafuata. Karudi na Baba na Mama yake kuomba radhi, nimewarudisha natafakari mpango wa kuishi na wanangu tu.
Kwahiyo una mshaurije mtoa mada, amwache mkewe au afanyaje?Mkuu, yaani afanye kumfurahisha mwanamke ambaye ameonesha wazi kabisa hapendi ndugu wa mmewe!!?
Nani atawaza kusogea hapo kwake miongoni mwa ndugu zake!!?
Mwanamke siyo ndugu yako aisee, akiamua kukuacha anakuacha na ulishakosana na ndugu zako kwa sababu yake..
Heshima kwako mkuu mleta uzi, umeshaoneshwa una mke wa aina gani. Ongeza umakini vinginevyo wewe au mpwa au wote kwa pamoja mnaweza kukinywea kikombe cha hasira yake.
Haja sema hayo uliyandika , tuache utoto jamaa ana hoja nzuri. Huyo nikama mwanae, wanao Huwa unawapa vitafunwa mkononi? Sahani hazipo? Harafu Kuna watu wanawaza ngono tu hii ni dalili ya ujingaDogo kamaliza form 4. Unataka mkeo amtengee chai kwa heshima na adabu. Ikibidi apige na goti....hivi unamchukulije mkeo?
Au unataka huyo dogo amchukulieje mkeo?
na ataiona pepo..una mawazo ya kipepo
Mnapooa ombeni Mungu kwanzaDogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,
Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.
Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"
Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.
Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.