Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Dharau inatokea wapi sasa?. Yaan mkeo kumuandalia mdogo wako wa kiume ni dharau?. Aisee ndio nimeona leo, uzuri Mimi nilikulia na kusomea kwa kaka yangu form one mpaka form four, shemeji alikua ananiandalia chakula na wakati mwingine hata kunifulia. Leo hii hapa nilipo si haba, nikiwa naenda nyumbani likizo lazima nipite na kwa brother wangu, siwezi acha mpelekea shemeji zawadi kwa namna nilivyo ishi nae.

Na namjli na kumuheshimu kama mlezi kwangu.

Nahata Mimi siwezi ruhusu mke wangu amdharau kwa namna yeyote ndugu yangu.
Kweli usimsahau shemeji kwa zawadi. Ila upande wangu ningekuwa tofauti maana hata watoto wangu walianza kujifulia nguo zao wakiwa wadogo, hivyo ningekufulia mpaka umri fulani halafu nikuache usonge mbele mwenyewe.
 
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Kumbe dog anawaingizia ela nzr bas jiandae kuchapiwa mkeo
 
Wanawake ni wabinafsi sana, nilipiga marufuku ndugu zake kwangu baada ya wakwangu kufanyiwa figisu na akanuna akaondoka sikupiga simu wala kumtafuata. Karudi na Baba na Mama yake kuomba radhi, nimewarudisha natafakari mpango wa kuishi na wanangu tu.
Safi, kazia hapo hapo.
 
Mkuu, yaani afanye kumfurahisha mwanamke ambaye ameonesha wazi kabisa hapendi ndugu wa mmewe!!?
Nani atawaza kusogea hapo kwake miongoni mwa ndugu zake!!?
Mwanamke siyo ndugu yako aisee, akiamua kukuacha anakuacha na ulishakosana na ndugu zako kwa sababu yake..
Heshima kwako mkuu mleta uzi, umeshaoneshwa una mke wa aina gani. Ongeza umakini vinginevyo wewe au mpwa au wote kwa pamoja mnaweza kukinywea kikombe cha hasira yake.
Kwahiyo una mshaurije mtoa mada, amwache mkewe au afanyaje?

Kuna vitu vinaepukika Mkuu, afunike kombe mwanaharamu apite
 
Hapa ndipo vijana wa kataa ndoa wanachukua point 3.

Binafsi kuna mambo nilikuwaga simuelewi Mzee wangu hadi nilipoingia kwenye ndoa.

Wanawake wanazingua sana kwenye maswala ya ndugu zetu yaani wanahisi wanakumiliki na wanamaamuzi na ukoo wako. Endeleza msimamo kaka na pia naungana na wanaokushauri umpangie chumba dogo.

Ila hapo kwenye kuandaliwa chakula mkuu, mfanye dogo asiwe muoga azoee kuingia jikoni na kujichukulia chakula.
 
Dogo kamaliza form 4. Unataka mkeo amtengee chai kwa heshima na adabu. Ikibidi apige na goti....hivi unamchukulije mkeo?
Au unataka huyo dogo amchukulieje mkeo?
Haja sema hayo uliyandika , tuache utoto jamaa ana hoja nzuri. Huyo nikama mwanae, wanao Huwa unawapa vitafunwa mkononi? Sahani hazipo? Harafu Kuna watu wanawaza ngono tu hii ni dalili ya ujinga
 
Mleta mada ni kama hamjamuelewa, kasema kamleta anko toka kijijini,nilivyomwelewa amaanishi anko ndugu na mama yake,anamaanisha anko mtoto wa dada yake au sio mleta mada,sasa huyu anko mtoto wa dada yake si vibaya kuandaliwa chakula na shangazi yake,kwa maana nyingine huyu ni mtoto wao pia,,kuna ubaya gani hapo kumwandalia mtoto chakula hata kama anakaribiana na shangazi yake kwa umri haina mbaya,mhimu nidhamu na tabia njema izingatiwe kwa pande zote mbili.,
 
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Mnapooa ombeni Mungu kwanza
 
Back
Top Bottom