Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha kumpangishia dogo chumba kaama wengine wanavyomshauri jamaa, amwambie tu dogo asijali achukulie poa tu kwa mambo madogomadogo anayomtreat yule mwanamke na kwamba asiogope kumweleza jamaa kama kuna jambo siliaz lenye sura mbaya atatendewa.Kwahiyo una mshaurije mtoa mada, amwache mkewe au afanyaje?
Kuna vitu vinaepukika Mkuu, afunike kombe mwanaharamu apite
Umesema sahihi Mkuu, japo wamwelekeze huyo Dogo kuhusu kusaidia kazi ndogo ndogo za hapo nyumbaniHakuna cha kumpangishia dogo chumba kaama wengine wanavyomshauri jamaa, amwambie tu dogo asijali achukulie poa tu kwa mambo madogomadogo anayomtreat yule mwanamke na kwamba asiogope kumweleza jamaa kama kuna jambo siliaz lenye sura mbaya atatendewa.
Vinginevyo atafunika hilo kombe hadi lini!?
Je hawatapata mgeni mwingine!?
Huyo mwanamke atamwendesha jamaa kama atakuwa wa kufunika kombe, visa havitaishia hapo. Akiona anashindwa kuishi atakavyo mwanaume anasepa tu akaishi anavyotaka.
😂Hahahaha..............Kuna Wanaume hawanywi, lakini wake zao wanakoma Kwa makandokando yao
Wanapiga mashine Kila sketi, lakini ukiwaangalia usoni utasema Papa Francis 😜
atazidai akalipe mchezoKwanini boss
Kwamba ungalikuwa wewe ungeliwa..!!Akimla tulia tuliii
Shemela weweeee..!!!😂 huyu faza hausi mjinga sana.....
We jitafakari..!!yap heshima first.
Kweli bwn, ubinadamu kazi sana.Umesema sahihi Mkuu, japo wamwelekeze huyo Dogo kuhusu kusaidia kazi ndogo ndogo za hapo nyumbani
Akishaanza kutengewa Chai, kesho atataka akatandikiwe Kitanda na Shemeji yake
Sasa mwanamke analeta visa kwa shemeji tusemeje?Kwamba ungalikuwa wewe ungeliwa..!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu hapo kwenye ulafi wa maugali aisee hakika wanawake karibi asilimia 90 ni walafi wa maugali na wabinafsi na wana roho mbaya na ukitaka kumjua mkeo subiri ndugu zako waje kwako wakae hata siku mbili…