Tipstipstor
JF-Expert Member
- Nov 29, 2021
- 1,528
- 3,352
Tumia pesa hiyo kumpendezesha mkeo!! Unatumia pesa kumtengeneza mwanamke wa nje na unamsahau mkeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani kila mtu anaoenda kuishi stoo chief?[emoji4]Baada ya kulipa hiyo hela umedinya vidudu hivihivi tunavyo dinya na sisi au .....? Kwanza huyo mwanamke Hana akiki hiyo hela Bora angetafuta chumba Cha hata laki hizo nyingine anunuliwe plot ....Ila kwa sababu jamaa na demu wote vilaza ndio maana wamefanya huo upuuzi
Hataki akamwambie baba yake ampangie
We mtu unanivutia sanaUnataka sanamu lako lijengwe wapi?
Mwanaume unataka kusaidiwa? Acheni kulalamikaHongera sana. Ila angekuja jamaa yako au mshkaji akuombe hata elfu 50 ya kutatua changamoto inayomkabili, utampa saundi za maisha magumu aisee hela haikai.
NashukuruWe mtu unanivutia sana
Alaf nikitaka kuja kukusalim pm imefungwaNashukuru
Aaiyaa..Basi tenaAlaf nikitaka kuja kukusalim pm imefungwa
Nitext mkuu tafadhali nipate japo salam yakoAaiyaa..Basi tena
Funguo ya mlango wa pm sinaNitext mkuu tafadhali nipate japo salam yako
Sawa mkuu ila nimesoma nyuzi nyingi na kukuta comment zako basi nikajikuta nnavutiwa na weweFunguo ya mlango wa pm sina
Nashukuru Sana mpendwa wanguSawa mkuu ila nimesoma nyuzi nyingi na kukuta comment zako basi nikajikuta nnavutiwa na wewe
Hii ubarikiwe uje nipea Pm MkuuNashukuru Sana mpendwa wangu
Ubarikiwe
HeheheHii ubarikiwe uje nipea Pm Mkuu
Unakuta mwenzio anaingia anakula bureNilikua nikipata shida sana na moja ya mchepuko wangu uliokua ukikaa sana mbali. Chukulia mfano Tegeta na Mbagala. Ilinipa wakati mgumu sana kwa maana kuna muda nachelewa kurudi home alafu nakosa sababu za msingi.
Option iliyobakia ilikua ni kumhamishia viunga vya karibu, sio karibu kihivyo. Chukulia mfano K/Nyama na Sinza. Alinieleza hana pesa ya Kodi Ila amepanta sehemu nzuri na iko private. Kodi laki 4, na mwenyewe anataka mwaka.
Bila hiyana nikaazama mfukoni na nikalipa ili niendelee kula utamu. Ni utamu kweli, huwa sinaga kabisa mazoea na pisi mbovu. Bila kugharamia hawa Watoto wazuri utaishia kula kwa macho tu. Vizuri gharama.
Baada ya kumhamishia karibu, sasa hivi mapenzi yameongezeka sana