Nimemlipia mchepuko Kodi ya nyumba Mil 4.8 kwa mwaka, Mapenzi yameongezeka Mara mbili

Nimemlipia mchepuko Kodi ya nyumba Mil 4.8 kwa mwaka, Mapenzi yameongezeka Mara mbili

Hakika mtafika mbali....

Ukianza ujenzi kwenye kiwanja chako nae mjengee umbali sawia na mlivyopanga.

Kama hujanunua kiwanja au shamba fanya kununua mawili moja liwe lake....

Mdinyo wa shamba/site unakuwaga mtamuuuu....😋😋😋

Kwa hayo makazi mapya ya bibie na utulivu wa nafsi zenu kwenye kupeana, jiandae na mimba na kulea mtoto.

Utamu wa nazi mbatata anaujua mkwezi....🤩🤩.
kwaiyo kuna wakati ukienda saiti au shamba na mwenzako mnaweza kupata cha fasta😅 inaruhusiwa kabisa kitalaamu
 
Mi nimewaza tu huyo kaka mganga atakua na matumizi gani na hio round about ya dada mteja, maana sio kwa kulishikilia uno hilo lililovishwa shanga.
Mi niko mbali huku lakini baada kuona tu hio style alieyokaa dada mteja wakati anaangusha yai mimi huku mbooooooooo imesimama.
Waganga wanafaidi sana jamani.
😂😂😂😂😂Unawaza ujinga!wanafaidi na wanalipwa juu pesa mlizohonga vijana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unawaza ujinga!wanafaidi na wanalipwa juu pesa mlizohonga vijana
Daaahhh we acha tu, ninaamini kabisa huyo mganga zaidi ya hilo likanzu alilolivaa hana nguo nyingine aliyovaa, hapo ni suala la kunyanyua kanzu juu halafu unamwambia huyo dada ashikilie kiti vizuri ili amuingizie dawa.
 
Nilikua nikipata shida sana na moja ya mchepuko wangu uliokua ukikaa sana mbali. Chukulia mfano Tegeta na Mbagala. Ilinipa wakati mgumu sana kwa maana kuna muda nachelewa kurudi home alafu nakosa sababu za msingi.

Option iliyobakia ilikua ni kumhamishia viunga vya karibu, sio karibu kihivyo. Chukulia mfano K/Nyama na Sinza. Alinieleza hana pesa ya Kodi Ila amepanta sehemu nzuri na iko private. Kodi laki 4, na mwenyewe anataka mwaka.

Bila hiyana nikaazama mfukoni na nikalipa ili niendelee kula utamu. Ni utamu kweli, huwa sinaga kabisa mazoea na pisi mbovu. Bila kugharamia hawa Watoto wazuri utaishia kula kwa macho tu. Vizuri gharama.

Baada ya kumhamishia karibu, sasa hivi mapenzi yameongezeka sana
Ndo huyu mwwnye mwanya mdogo mbona pia huwa namgonga
 
Kodi ikiisha utamlipia tena au atarudi kwenye uwezo wake?
 
Mkuu mchepuko wako n babukubwa kinomaa hata ww mkwanja inaoneka upo maana c KWA gari ile ulikuja nayo paleee n shdaaa,naiman mafundi wameshamaliza ukarabati na kashaamiaa shemeji na vile mtaa ule hauna kelele nyingi bc n burudan gari unapak ndan ya geti,mm n boda boda wa mchepuko wako mkuu
Daaaah nyue watu mnasiri nyingi, jamaa akupige milioni umpe ubuyu
 
Daaahhh we acha tu, ninaamini kabisa huyo mganga zaidi ya hilo likanzu alilolivaa hana nguo nyingine aliyovaa, hapo ni suala la kunyanyua kanzu juu halafu unamwambia huyo dada ashikilie kiti vizuri ili amuingizie dawa.
Ha haaaaaaa mkuu acha wivu!acha mganga afanye kazi yake!
 
Daaahhh we acha tu, ninaamini kabisa huyo mganga zaidi ya hilo likanzu alilolivaa hana nguo nyingine aliyovaa, hapo ni suala la kunyanyua kanzu juu halafu unamwambia huyo dada ashikilie kiti vizuri ili amuingizie dawa.
We jamaa bwana [emoji23]
 
Mi sinaga shobo na madem michepuko, si kwamba sina hela
Gest naendaga za 20 hadi 25 mhimu pawepo AC, parkingi ya ndani na nikiingia gari isionekane nje, pia pawe pakimya coz nagongana siku nzima kama ni saa nne basi mzigo unawashwa hadi mbili usiku.tukimalizana dem namchana tunaachana, biashars za kupeana majukumu sitakagi kabisa
 
Mi sinaga shobo na madem michepuko, si kwamba sina hela
Gest naendaga za 20 hadi 25 mhimu pawepo AC, parkingi ya ndani na nikiingia gari isionekane nje, pia pawe pakimya coz nagongana siku nzima kama ni saa nne basi mzigo unawashwa hadi mbili usiku.tukimalizana dem namchana tunaachana, biashars za kupeana majukumu sitakagi kabisa
Tatizo la hao wa kununua Lazima utumie condom.
Hapo Ndo Tatizo chief[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
H
Yaani mzee Kazingua,ana binti yake yupo pale airport Ni mshkaji wangu nashindwa hata kumpa salamu za pongezi kwa kupata mama wali ye sawa kiumri....kweli ni Vyema kuzingatia stage,nakuunga mkono aliruka stage
Ahahha!ila muache tu..huenda wameridhia kama familia..sema kama ameshndwa hata kuamka kweny kiti sidhan kama ana muda mrefu wa ku survive!!!
 
Back
Top Bottom