Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kale kavocha ka buku huwa unajimwambafy nako leo umepata mpinzaniLeo ndo nimejua kweli mimi sijui kuhonga.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kale kavocha ka buku huwa unajimwambafy nako leo umepata mpinzaniLeo ndo nimejua kweli mimi sijui kuhonga.....
Vizuri gharama na vizuri vinaliwa na wengi, kama swala ni pesa imeisha hiyo akipewa pesa anakusahau wewe pia vile vile, bado wale wajuba ambao hawana pesa na demu wako kaanguka huko sasa wale wanapiga show sio chini ya kiwango,Nilikua nikipata shida sana na moja ya mchepuko wangu uliokua ukikaa sana mbali. Chukulia mfano Tegeta na Mbagala. Ilinipa wakati mgumu sana kwa maana kuna muda nachelewa kurudi home alafu nakosa sababu za msingi.
Option iliyobakia ilikua ni kumhamishia viunga vya karibu, sio karibu kihivyo. Chukulia mfano K/Nyama na Sinza. Alinieleza hana pesa ya Kodi Ila amepanta sehemu nzuri na iko private. Kodi laki 4, na mwenyewe anataka mwaka.
Bila hiyana nikaazama mfukoni na nikalipa ili niendelee kula utamu. Ni utamu kweli, huwa sinaga kabisa mazoea na pisi mbovu. Bila kugharamia hawa Watoto wazuri utaishia kula kwa macho tu. Vizuri gharama.
Baada ya kumhamishia karibu, sasa hivi mapenzi yameongezeka sana
Mbinu za kivita hiziWewe kama mimi tu nikiwa na dem wangu(mchepuko ) mzur kodi na matumizi yake binafsi natimiza 100% but papuchi nayo nachakata sana zaid ya kawaida
Ujue kumlipia dem kodi sio ujinga em check hii hesabu
Usimlipie kodi muwe mnakutana hotel
Hotel ya kawaida tu room ni 70-100
Tuseme kwa mwez msex mara nne so utakuta umetumia zaid ya 300k kwa mwe
Why usitafute master nzur kwa 250 au 300 umweke atulie pale utachakata papuchi hata zaid ya mara kumi kwa mwezi
Kumpangia mchepuko ni ujanja sio ushamba
Haahaaa nimeona picha za mzee wangu Mrema yupo tayari kwa ndoa nimesikitika Sana juu yake....kaamua kujiongeza maradhi?
Hahah!ameona vijana tunafaidi sanaa....ila namtatea mzee wetu...muda mwngi hakula ujana..alikuwa mkereketwa wa siasa na kuvuka stage ya kwenda kidimbwi ma samak samaki...muache amalizie stg yake ili aweze pumzika kwa amaniHaahaaa nimeona picha za mzee wangu Mrema yupo tayari kwa ndoa nimesikitika Sana juu yake....kaamua kujiongeza maradhi?
nahofia asije kuua mtu bure akapata kesiHivi ulimwengu wa leo kuna mtu anafuga mchepuko huku akiamini kwamba yupo pekee yake?? Seriously?
Hata mke/mme ndani ya familia ni ngumu kuwa pekee yako..wanaliwa na kula sana......sembuse mchepuko?
Tuwe serious kidogo basi wajameni au mnasemaje??? (in Uhuru Kenyatta's voice)..
Yaani mzee Kazingua,ana binti yake yupo pale airport Ni mshkaji wangu nashindwa hata kumpa salamu za pongezi kwa kupata mama wali ye sawa kiumri....kweli ni Vyema kuzingatia stage,nakuunga mkono aliruka stageHahah!ameona vijana tunafaidi sanaa....ila namtatea mzee wetu...muda mwngi hakula ujana..alikuwa mkereketwa wa siasa na kuvuka stage ya kwenda kidimbwi ma samak samaki...muache amalizie stg yake ili aweze pumzika kwa amani
Ila Kuna watu wanajua kujizima data jamani!sio kwa kuhonga hukoMi sio bahili ila sihongi ili unikubalie😅
Daaahhhh akili za wanawake banaaa.Na ndiyo hayo hayo maanake yanayozungukaga kutwa kushinda na kulala kwa kuridhia kufanyiwa vyovyote iwezekanavyo kwa Waganga wa kienyeji ilimradi tu ajimilikishe jumla Mume wa Mtu bila ya kujali madhara yoyote yale yatayoipata familia ya Mume wa Mtu kama hivi [emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2162333View attachment 2162334
Kumpangia mchepuko ni ujanja sio ushamba
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Noma sana mshikaji wanguYaani mzee Kazingua,ana binti yake yupo pale airport Ni mshkaji wangu nashindwa hata kumpa salamu za pongezi kwa kupata mama wali ye sawa kiumri....kweli ni Vyema kuzingatia stage,nakuunga mkono aliruka stage
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mtie ujinga tuNakupongeza chief.
Afu Apo ukikuta barobaro anavizia Mali yako, ruksa kumkata kidevu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja,Kwani kaka mkubwa DeepPond anasemaje?
Usichekee!Ni mambo ya kusikitika,Yule dada Hana tofauti na Klyn wa Mengi😂[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Noma sana mshikaji wangu
Hiyo pupu inakaushwa inasagwa na mizizi,ukipikiwa kitu inawekwa ule mpenzi😄...kwa Nini usihonge nyumba sasaDaaahhhh akili za wanawake banaaa.
Sasa hapo mganga anamkunyisha mteja wake kwenye chungu, halafu akimaliza kukunya mganga ndio mwenye jukumu la kumtawaza huyo mdada kisha anauingizia dawa kwenye hicho kikunyio chake.
Sipati picha harufu iliyotawala kwenye hicho chumba cha kaka mganga.
Kwa hiyo hii Ni kamba?Mwenye uwezo wa kutoa iyo pesa hawez kuandika masimulizi ya issue kama hii...
Mi nimewaza tu huyo kaka mganga atakua na matumizi gani na hio round about ya dada mteja, maana sio kwa kulishikilia uno hilo lililovishwa shanga.Hiyo pupu inakaushwa inasagwa na mizizi,ukipikiwa kitu inawekwa ule mpenzi[emoji1]...kwa Nini usihonge nyumba sasa
Watu wapo on mission my dearUsichekee!Ni mambo ya kusikitika,Yule dada Hana tofauti na Klyn wa Mengi[emoji23]