Nimemlipia mchepuko Kodi ya nyumba Mil 4.8 kwa mwaka, Mapenzi yameongezeka Mara mbili

Nimemlipia mchepuko Kodi ya nyumba Mil 4.8 kwa mwaka, Mapenzi yameongezeka Mara mbili

Wengine hivyo vitu vyao vimechanjiwa siyo bure
Hii kitu niliwai kuisikia kwa dem mmoja hiv yeye ukitoka nae ukajiloga kwenda kavu kavu (kama kakuelewa ni lazma akulazimishe muende kavu kwa njia yeyote ile) hapo umekwisha utafanya chochote atakacho kuambia. Et aliendaga kwa mtaalam akachanjwa kunako papuchi ili awateke watu
 
Nilikua nikipata shida sana na moja ya mchepuko wangu uliokua ukikaa sana mbali. Chukulia mfano Tegeta na Mbagala. Ilinipa wakati mgumu sana kwa maana kuna muda nachelewa kurudi home alafu nakosa sababu za msingi.

Option iliyobakia ilikua ni kumhamishia viunga vya karibu, sio karibu kihivyo. Chukulia mfano K/Nyama na Sinza. Alinieleza hana pesa ya Kodi Ila amepanta sehemu nzuri na iko private. Kodi laki 4, na mwenyewe anataka mwaka.

Bila hiyana nikaazama mfukoni na nikalipa ili niendelee kula utamu. Ni utamu kweli, huwa sinaga kabisa mazoea na pisi mbovu. Bila kugharamia hawa Watoto wazuri utaishia kula kwa macho tu. Vizuri gharama.

Baada ya kumhamishia karibu, sasa hivi mapenzi yameongezeka sana
utakuwa unalaana ya ukoo trace back to the clan history
 
Ha
Nilikua nikipata shida sana na moja ya mchepuko wangu uliokua ukikaa sana mbali. Chukulia mfano Tegeta na Mbagala. Ilinipa wakati mgumu sana kwa maana kuna muda nachelewa kurudi home alafu nakosa sababu za msingi.

Option iliyobakia ilikua ni kumhamishia viunga vya karibu, sio karibu kihivyo. Chukulia mfano K/Nyama na Sinza. Alinieleza hana pesa ya Kodi Ila amepanta sehemu nzuri na iko private. Kodi laki 4, na mwenyewe anataka mwaka.

Bila hiyana nikaazama mfukoni na nikalipa ili niendelee kula utamu. Ni utamu kweli, huwa sinaga kabisa mazoea na pisi mbovu. Bila kugharamia hawa Watoto wazuri utaishia kula kwa macho tu. Vizuri gharama.

Baada ya kumhamishia karibu, sasa hivi mapenzi yameongezeka
 
Nilikua nikipata shida sana na moja ya mchepuko wangu uliokua ukikaa sana mbali. Chukulia mfano Tegeta na Mbagala. Ilinipa wakati mgumu sana kwa maana kuna muda nachelewa kurudi home alafu nakosa sababu za msingi.

Option iliyobakia ilikua ni kumhamishia viunga vya karibu, sio karibu kihivyo. Chukulia mfano K/Nyama na Sinza. Alinieleza hana pesa ya Kodi Ila amepanta sehemu nzuri na iko private. Kodi laki 4, na mwenyewe anataka mwaka.

Bila hiyana nikaazama mfukoni na nikalipa ili niendelee kula utamu. Ni utamu kweli, huwa sinaga kabisa mazoea na pisi mbovu. Bila kugharamia hawa Watoto wazuri utaishia kula kwa macho tu. Vizuri gharama.

Baada ya kumhamishia karibu, sasa hivi mapenzi yameongezeka sana
Hawanaga maana hawa unalipa kodi wewe ila kuna mhuni pembeni anakula
 
Mleta mada mchepuko wako una akili za Wema Sepetu...Million tano kasoro ya Kuhongwa nimpe mwenye nyumba nimerogwa?hapo nimeshamiliki kipande changu Cha ardhi square mita kadhaa poa kabisaa,,,,
 
Hakika mtafika mbali....

Ukianza ujenzi kwenye kiwanja chako nae mjengee umbali sawia na mlivyopanga.

Kama hujanunua kiwanja au shamba fanya kununua mawili moja liwe lake....

Mdinyo wa shamba/site unakuwaga mtamuuuu....😋😋😋

Kwa hayo makazi mapya ya bibie na utulivu wa nafsi zenu kwenye kupeana, jiandae na mimba na kulea mtoto.

Utamu wa nazi mbatata anaujua mkwezi....🤩🤩.
naomba nikununulie shamba tukadinyanye huko shamba nipata ushuhuda wako
 
Wewe kama mimi tu nikiwa na dem wangu(mchepuko ) mzur kodi na matumizi yake binafsi natimiza 100% but papuchi nayo nachakata sana zaid ya kawaida

Ujue kumlipia dem kodi sio ujinga em check hii hesabu
Usimlipie kodi muwe mnakutana hotel
Hotel ya kawaida tu room ni 70-100
Tuseme kwa mwez msex mara nne so utakuta umetumia zaid ya 300k kwa mwe

Why usitafute master nzur kwa 250 au 300 umweke atulie pale utachakata papuchi hata zaid ya mara kumi kwa mwezi

Kumpangia mchepuko ni ujanja sio ushamba
What a math! Kuna aliye tayari tupractise hii hesabu?
 
Na ndiyo hayo hayo maanake yanayozungukaga kutwa kushinda na kulala kwa kuridhia kufanyiwa vyovyote iwezekanavyo kwa Waganga wa kienyeji ilimradi tu ajimilikishe jumla Mume wa Mtu bila ya kujali madhara yoyote yale yatayoipata familia ya Mume wa Mtu kama hivi [emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2162333View attachment 2162334
Duh!hii picha kwa hisani ya shosti take anae myuda eskariot
 
mshamba wakuja ngoja upigiwe na wahuni

Hivi ulimwengu wa leo kuna mtu anafuga mchepuko huku akiamini kwamba yupo pekee yake?? Seriously?
Hata mke/mme ndani ya familia ni ngumu kuwa pekee yako..wanaliwa na kula sana......sembuse mchepuko?
Tuwe serious kidogo basi wajameni au mnasemaje??? (in Uhuru Kenyatta's voice)..
 
Back
Top Bottom