Nimemlipia mchepuko Kodi ya nyumba Mil 4.8 kwa mwaka, Mapenzi yameongezeka Mara mbili

Nimemlipia mchepuko Kodi ya nyumba Mil 4.8 kwa mwaka, Mapenzi yameongezeka Mara mbili

Hehehe hapa naona kuna watu wa aina mbalimbali

Kuna wale wasio na hela ila wana skill, kuna wenye hela hawana skill na kuna wasio, wenye hela na wasio na skill na wenye hela na skill

Wenye hela na skill wako pembeni wanalike tu comment za upande wowote. Wanaelewa kulingana na lengo lako na mwanamke inabidi utumie karata inayofanya kazi kwake huyo mwanamke

Wenye hela bila skill wanasupport hili swala kwa kuwa ndio njia ambayo imewaletea mafanikio kwao. Silaumu jambo hili, you use whatever tools are effective.

Wenye skill bila pesa wanalalamika kwa kuona ni upotevu wa pesa. Hawa nao nawaelewa kwa kuwa wanaegemea katika skill zao pekee. Kwa bahati mbaya kuna milango skill pekee hazitoshi japo nalo si ishu kwa kuwa huwezi kumpata kila mwanamke hata uwe bilionea na player kama Diamond in one.

Wasio na skill na pesa ndio wanaleta matusi na mada za nje ya suala linaloongelewa. Aidha kutokana na experience mbaya kupambana na mtu mwenye hela katika mapenzi au basi tu kwa kutofurahia linaloendelea. (Kuna wengine pia ambao hawapo katika kundi hili ila nao wanaleta haya masimango)

Kitu cha msingi tu ni mtoa mada aendelee kuenjoy maisha ili mradi anajua his life in general imesimama vizuri. Asifall in love tu maana italeta changamoto za kushindwa kubalance mambo ya mchepuko na main family huko mbeleni.
 
Mimi nilitumia hiyo pesa kwa muda wa miaka mitano japokua yangu ilizidi kidogo hapo nikaonekana mzinzi njoo muone huyu alietumia kwa ajili ya kodi tu ili apate papuchi kwa kuibia

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hehehe hapa naona kuna watu wa aina mbalimbali

Kuna wale wasio na hela ila wana skill, kuna wenye hela hawana skill na kuna wasio, wenye hela na wasio na skill na wenye hela na skill

Wenye hela na skill wako pembeni wanalike tu comment za upande wowote. Wanaelewa kulingana na lengo lako na mwanamke inabidi utumie karata inayofanya kazi kwake huyo mwanamke

Wenye hela bila skill wanasupport hili swala kwa kuwa ndio njia ambayo imewaletea mafanikio kwao. Silaumu jambo hili, you use whatever tools are effective.

Wenye skill bila pesa wanalalamika kwa kuona ni upotevu wa pesa. Hawa nao nawaelewa kwa kuwa wanaegemea katika skill zao pekee. Kwa bahati mbaya kuna milango skill pekee hazitoshi japo nalo si ishu kwa kuwa huwezi kumpata kila mwanamke hata uwe bilionea na player kama Diamond in one.

Wasio na skill na pesa ndio wanaleta matusi na mada za nje ya suala linaloongelewa. Aidha kutokana na experience mbaya kupambana na mtu mwenye hela katika mapenzi au basi tu kwa kutofurahia linaloendelea. (Kuna wengine pia ambao hawapo katika kundi hili ila nao wanaleta haya masimango)

Kitu cha msingi tu ni mtoa mada aendelee kuenjoy maisha ili mradi anajua his life in general imesimama vizuri. Asifall in love tu maana italeta changamoto za kushindwa kubalance mambo ya mchepuko na main family huko mbeleni.
Hii summary ndio inaelezea kidume kwa hali halisi kabisa😂
 
Ogopa mwanamke anayetegemea shimo lake kuishi mkuu. Pia inaonekana hajajitegemea kiuchumi. Akitokea mwingine akamhamishia kwa apartment masaki hauna chako.
Mwanamke Hana upendo Bali anategemea kusaidiwa kimaisha. Na haupo pekee.
Sema ni mentality yako tu. Na hapo wengine wanaenda kumla humohumo ulimpopangishia. Yaani maisha ya me hayana bingwa. Unamnunulia gari nikimpiga full tank, ameisha.ukimfungulia duka nikiwa mteja wake namuachia chenji chenji za soda analiwa.

Nikuulize tu mama yako umeshawahi muhonga Bei gani..
Unakuja kuji proud kweli hapa mtandaoni jamani wanaume tumeisha kabisa.
Ukiwa unatumia gharama kula maku ujue iyo maku sio yako. Wapo wanaoila bila ya kuitolea Mia mbovu trust me niga.
Mwanamke Kama anakuelewa nakuambia anachohitaji ni wewe na sio your materialistic things zako.
Ujue na wao wanapenda Kama sie na wapo tayari kuhonga Kama wewe unavyohonga.
Nilishawahi ishi na nesi moja ivi loji akiwa na likizo yote. Tulitumia hela ikaisha akaanza kuwapiga mizinga wale wote kiherehere wanaomshobokeaga Ila hawataki. Wakawa wanatuma hela tunazitumia.

Ila enjoi bana hela ni zako ni jasho lako hatupangiani matumizi.

Sema nilikuwa nakupa hints za Hawa viumbe.
Umeshaona wanatishia kujinyonga kisa kuachwa ujue hapo wamependa.
Wanaume wasio na skills wanatumia pesa kupata matokeo kisha wanajiona mabingwa. Ukitumia hela jua penzi linakuwa la kifurushi tu
 
Hehehe hapa naona kuna watu wa aina mbalimbali

Kuna wale wasio na hela ila wana skill, kuna wenye hela hawana skill na kuna wasio, wenye hela na wasio na skill na wenye hela na skill

Wenye hela na skill wako pembeni wanalike tu comment za upande wowote. Wanaelewa kulingana na lengo lako na mwanamke inabidi utumie karata inayofanya kazi kwake huyo mwanamke

Wenye hela bila skill wanasupport hili swala kwa kuwa ndio njia ambayo imewaletea mafanikio kwao. Silaumu jambo hili, you use whatever tools are effective.

Wenye skill bila pesa wanalalamika kwa kuona ni upotevu wa pesa. Hawa nao nawaelewa kwa kuwa wanaegemea katika skill zao pekee. Kwa bahati mbaya kuna milango skill pekee hazitoshi japo nalo si ishu kwa kuwa huwezi kumpata kila mwanamke hata uwe bilionea na player kama Diamond in one.

Wasio na skill na pesa ndio wanaleta matusi na mada za nje ya suala linaloongelewa. Aidha kutokana na experience mbaya kupambana na mtu mwenye hela katika mapenzi au basi tu kwa kutofurahia linaloendelea. (Kuna wengine pia ambao hawapo katika kundi hili ila nao wanaleta haya masimango)

Kitu cha msingi tu ni mtoa mada aendelee kuenjoy maisha ili mradi anajua his life in general imesimama vizuri. Asifall in love tu maana italeta changamoto za kushindwa kubalance mambo ya mchepuko na main family huko mbeleni.
Me rijali kabisa unacheka "hehehe" daaaah...! Ama kweli Wanaume tunazidi kuisha [emoji849][emoji26]
 
Hehehe hapa naona kuna watu wa aina mbalimbali

Kuna wale wasio na hela ila wana skill, kuna wenye hela hawana skill na kuna wasio, wenye hela na wasio na skill na wenye hela na skill

Wenye hela na skill wako pembeni wanalike tu comment za upande wowote. Wanaelewa kulingana na lengo lako na mwanamke inabidi utumie karata inayofanya kazi kwake huyo mwanamke

Wenye hela bila skill wanasupport hili swala kwa kuwa ndio njia ambayo imewaletea mafanikio kwao. Silaumu jambo hili, you use whatever tools are effective.

Wenye skill bila pesa wanalalamika kwa kuona ni upotevu wa pesa. Hawa nao nawaelewa kwa kuwa wanaegemea katika skill zao pekee. Kwa bahati mbaya kuna milango skill pekee hazitoshi japo nalo si ishu kwa kuwa huwezi kumpata kila mwanamke hata uwe bilionea na player kama Diamond in one.

Wasio na skill na pesa ndio wanaleta matusi na mada za nje ya suala linaloongelewa. Aidha kutokana na experience mbaya kupambana na mtu mwenye hela katika mapenzi au basi tu kwa kutofurahia linaloendelea. (Kuna wengine pia ambao hawapo katika kundi hili ila nao wanaleta haya masimango)

Kitu cha msingi tu ni mtoa mada aendelee kuenjoy maisha ili mradi anajua his life in general imesimama vizuri. Asifall in love tu maana italeta changamoto za kushindwa kubalance mambo ya mchepuko na main family huko mbeleni.
Kwahyo ndugu we upo kwenye kundi gan hapo[emoji39]

M naenjoy comment za wajuba tu hapa[emoji2956]

lakn kiukweli kwa mwanamke mwenye akili anaejua kabsa ana date na mme wamtu, alafu agusii swala la kurasimishwa kua nyumba ndogo au ata mtoto, n kwamba we n ktega uchum chake,.

akijitingisha akaona ayumbi[emoji3] lipu umelipuliwa[emoji847][emoji1787]

Kama atakua analijua hilo na amesha frame namna ya kulikabili[emoji39] wala sina hiana[emoji6] tumia pesa ikuzoee..

Ila Kama anaenda enda kwamba my wangu, nakupenda sana bila ww siwez kupumua[emoji3] wewee mi simo[emoji41]

Ok m nipo kwenye hilo kund la wasio na hela wala skill, sasa sijui unanisaidiaje hasa hilo la hela[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwahyo ndugu we upo kwenye kundi gan hapo[emoji39]

M naenjoy comment za wajuba tu hapa[emoji2956]

lakn kiukweli kwa mwanamke mwenye akili anaejua kabsa ana date na mme wamtu, alafu agusii swala la kurasimishwa kua nyumba ndogo au ata mtoto, n kwamba we n ktega uchum chake,.

akijitingisha akaona ayumbi[emoji3] lipu umelipuliwa[emoji847][emoji1787]

Kama atakua analijua hilo na amesha frame namna ya kulikabili[emoji39] wala sina hiana[emoji6] tumia pesa ikuzoee..

Ila Kama anaenda enda kwamba my wangu, nakupenda sana bila ww siwez kupumua[emoji3] wewee mi simo[emoji41]

Ok m nipo kwenye hilo kund la wasio na hela wala skill, sasa sijui unanisaidiaje hasa hilo la hela[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi niko kwenye upande wa kula kwa urefu wa kamba yangu kipesa na skill. Unfortunately kama nilivyosema hapo juu kuna milango utaingia kwa skill na kuna milango utaingia kwa pesa. Na mara nyingine utahitaji both.

Ila hii haimaanishi kuwa unaweza kupata kila msichana. Wengine wanapitia trauma, wengine dont need to be with someone, wengine wameshachukuliwa na kuwekwa patamu na mwingine pamoja na sababu nyingine mbalimbali.
 
FB_IMG_16480985116663686.jpg
 
Dah, kweli maisha hayako fair! Mim natafuta mtaji million moja pekee! Mwanaume mwenzangu anahonga kodi 4 millions. Wacha niendelee kuwaita shem!
Usijari unaweza kuwa unawaita shem huku unawala tena ww ukawa unapewa zaid ya yule anayeitwa sweetheart
 
Ogopa mwanamke anayetegemea shimo lake kuishi mkuu. Pia inaonekana hajajitegemea kiuchumi. Akitokea mwingine akamhamishia kwa apartment masaki hauna chako.
Mwanamke Hana upendo Bali anategemea kusaidiwa kimaisha. Na haupo pekee.
Sema ni mentality yako tu. Na hapo wengine wanaenda kumla humohumo ulimpopangishia. Yaani maisha ya me hayana bingwa. Unamnunulia gari nikimpiga full tank, ameisha.ukimfungulia duka nikiwa mteja wake namuachia chenji chenji za soda analiwa.

Nikuulize tu mama yako umeshawahi muhonga Bei gani..
Unakuja kuji proud kweli hapa mtandaoni jamani wanaume tumeisha kabisa.
Ukiwa unatumia gharama kula maku ujue iyo maku sio yako. Wapo wanaoila bila ya kuitolea Mia mbovu trust me niga.
Mwanamke Kama anakuelewa nakuambia anachohitaji ni wewe na sio your materialistic things zako.
Ujue na wao wanapenda Kama sie na wapo tayari kuhonga Kama wewe unavyohonga.
Nilishawahi ishi na nesi moja ivi loji akiwa na likizo yote. Tulitumia hela ikaisha akaanza kuwapiga mizinga wale wote kiherehere wanaomshobokeaga Ila hawataki. Wakawa wanatuma hela tunazitumia.

Ila enjoi bana hela ni zako ni jasho lako hatupangiani matumizi.

Sema nilikuwa nakupa hints za Hawa viumbe.
Umeshaona wanatishia kujinyonga kisa kuachwa ujue hapo wamependa.


Umeandika ukweli na uhalisia kabisa.

Isipokuwa hapo mwishoni Penye kutishia kujinyonga nilitaka kukupa angalizo kuwa sio kila anaetishia kujinyonga anamaanisha hasa kujinyonga , la hasha wengine ni fix tu.

Wengine wanajiliza uongo na kutishia uongo kutaka kujinyonga!

Hilo tu kaka vinginevyo umeandika uhalisia kabisa wa yanayofanyika kwenye jamii.

Wajinga ndio waliwao mwache aliwe.!
 
Ukute Wapwa zake wanahangaika na Ada za Shule na mahitaji mbali mbali wakimuomba hela anasema hana lakini kwa malaya ana spend a lot [emoji108][emoji108]

Akijakukwama hao wapwa ndio atawaganda wamsaidie.

Shangazi au bibi zake wanamahitaji chungu nzima wengine dawa , sukari n.k lakini hawahidumii anakuwa mwepesi wa kutunza mchepuko! [emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom