Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Hii laana unayotafuta kwa mkeo na watoto utakuja kupigwa tukio na huyo malaya wala hautokaa uamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What the https://jamii.app/JFUserGuide. Dah!Kuna njemba ilimnunulia mchepuko nyumba. Alipofukuzwa kazi walihamia kwenye vyumba viwili vya kupanga yeye na mke wake.
Mapenzi yalimzidi yeye alikua paymaster general na mrembo alijimilikisha nyumba.What the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala. Dah!
Inamaana hakuandika jina lake?
Halafu ukute hela ya kodi ni mkopo kutoka bayport kmmqeUtakuta familia yako inajua hauna pesa dhambi gharama sana
Duh! Hapa sidhani nitafanya kwa kweli, kuna ndugu wa kutosha ukigawa 20k tu watu watano unapata dhawabu.Mapenzi yalimzidi yeye alikua paymaster general na mrembo alijimilikisha nyumba.
Sasa usimwite mchepuko ita mke mdogo,kama umempangishia nyumba huyo si mchepuko.Ukiangalia hayo hutafanya kitu
Piga gharama unayolipia hotel halaf uone mjinga wewe au mm
Mm ni wakuja? Hunijui vizurimshamba wakuja ngoja upigiwe na wahuni
Mie unazani napinga hapana wewe hudumia tu tena hiyo ndogo bora kumjengea kabisaMichepuko lazima iliwe
Wewe tulia tuli tunza watoto tuu
200 kwa siku kwa mwezi ni laki 6, hivyo ingenigharimu zaidi ya hapoWanaume waliozaliwa mikoani mna shida Sana!
Utakuta huyo demu yupo Badoo,Tantan,Tinder analiwa kwa elfu ishirini kwa usiku.
Una hesabu Kali Sana aiseeMchanganuo wa 4.8 Milioni kwangu kwa sasa
Injini 2rz- 3.5M
Gearbox 700k
Diffu 600k
Lile daladala langu lingekuwa Jipya.. Anyway tuendeleee kutumia pesa ndiyo matumizi mengine.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nachojali ni kula kwa Sasa, hayo ya baadae sijui na naweza pia kumuachaSiku michongo ikienda kombo ukose hata kod ya mwez, ndo utaisoma namba..huku unapewa maneno ya dhihaka na kidume mwenzio anapewa unavyo pewa hivi sasa, sidhan kama hizo raha utazkumbuka tena.
Jenga, wajengee wazazi, boresha uchumi wako, na wanao, kama vyote hivyo tayari, basi hakikisha zaka na sadaka unatoa, ili ujiwekee hazina mbinguni, kuliko hayo matatizo unayo palilia hapo.
Akili za kiswahili hiziMungu aturehemu.Sikulaumu mkuu ila nakuonea huruma sababu huenda huyo dada amekumezesha chip kutoka kwa wale waganga.So unaweza ukawa unaendeshwa kwa remote bila wewe kujua (artificial intelligence)
Siku ukijichanganya na ww unaliwaMm sijawai kumlipia manzi chumba Wala kageto tu na Bado nawal pisi Kali tu na mm
Nyie walipieni s amlali Mara kwa Mara mle tutawasadia kuwalinda pindi mrudipo kwa wake zenu ss tuatitwa kwenda kupeleka fire
Note
Wakat fln mwak 2020 nilikuwa nashare demu na mtu mmoja kigog wa serekalini mpka alivyokuja tumbuliwa ila Bado Yuko vzr ingawa pia demu Niko nae mbalii kwa sas ila najipigia popote
Nilisha mla had kweny hgari yake piga Sana tu
Njoo na ww nikulipie, Ila sharti uwe na churaunakuta uko kwa dada yako umemaliza kuosha vyombo umewashiwa WIFI na mtoto wa dada unaanza sumbua