Nimemlipia mchepuko Kodi ya nyumba Mil 4.8 kwa mwaka, Mapenzi yameongezeka Mara mbili

Nimemlipia mchepuko Kodi ya nyumba Mil 4.8 kwa mwaka, Mapenzi yameongezeka Mara mbili

Hakika mtafika mbali....

Ukianza ujenzi kwenye kiwanja chako nae mjengee umbali sawia na mlivyopanga.

Kama hujanunua kiwanja au shamba fanya kununua mawili moja liwe lake....

Mdinyo wa shamba/site unakuwaga mtamuuuu....😋😋😋

Kwa hayo makazi mapya ya bibie na utulivu wa nafsi zenu kwenye kupeana, jiandae na mimba na kulea mtoto.

Utamu wa nazi mbatata anaujua mkwezi....🤩🤩.
Daaa nimekumbuka mdinyo. Tulivyoenda shamba aiseee ni mtamu balaaa😍
 
Mungu aturehemu.Sikulaumu mkuu ila nakuonea huruma sababu huenda huyo dada amekumezesha chip kutoka kwa wale waganga.So unaweza ukawa unaendeshwa kwa remote bila wewe kujua (artificial intelligence)
🤣🤣🤣🤣Daaah
 
Sawa jitape atakuja mhuni atakuja kupuga halafu anapewa pesa pia,kama zipo nyingi wekeza kwa familia yako hao wengine hawana shukrani
 
Afu wajamaa wa hivyo huwa wanaendeshwa sanaa na madem...nna jamaa angu nae kampangia dem..ila cha ajabu ni kama jama kawa underdog due hafurukuti...kuna muda hadi dem anampangia siku ya kuja kwake..kuna siku jamaa kajitoa ufahamu...kaenda bila taarifa na kukutana na mwamba mwngine....cha ajabu dem hata mlango hakumfungulia ...aliishia tu kupiga chabo dirishan na kuambiwa umekujaje bila taarifa?
 
Wewe kama mimi tu nikiwa na dem wangu(mchepuko ) mzur kodi na matumizi yake binafsi natimiza 100% but papuchi nayo nachakata sana zaid ya kawaida

Ujue kumlipia dem kodi sio ujinga em check hii hesabu
Usimlipie kodi muwe mnakutana hotel
Hotel ya kawaida tu room ni 70-100
Tuseme kwa mwez msex mara nne so utakuta umetumia zaid ya 300k kwa mwe

Why usitafute master nzur kwa 250 au 300 umweke atulie pale utachakata papuchi hata zaid ya mara kumi kwa mwezi

Kumpangia mchepuko ni ujanja sio ushamba
Na ukirudi kwa mkeo , naye analeta wakulala mpaka Asubuhi wakusukumizia usingizi [emoji12][emoji12][emoji12]
 
Hongera mkuu, maana naona kabisa una zama dhambini na mshahara wa dhambi ni..............eheeeee hivo hivo japo umemalizia kimoyo moyo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mwanamke ni wa ajabu sana mm mwenyewe ni mchepuko wangu na kanambia hiyo hiyo hela na nimelipa. Kuanzia leo nakuachia mkuu asituchanganye!!
 
Afu wajamaa wa hivyo huwa wanaendeshwa sanaa na madem...nna jamaa angu nae kampangia dem..ila cha ajabu ni kama jama kawa underdog due hafurukuti...kuna muda hadi dem anampangia siku ya kuja kwake..kuna siku jamaa kajitoa ufahamu...kaenda bila taarifa na kukutana na mwamba mwngine....cha ajabu dem hata mlango hakumfungulia ...aliishia tu kupiga chabo dirishan na kuambiwa umekujaje bila taarifa?
Hichi ndicho anachokitafuta mtoa mada. Unampangia malaya nyumba kodi ya laki 4 kwa mwezi like fuckinng serious???
 
Back
Top Bottom