Nimemlipia mchepuko Kodi ya nyumba Mil 4.8 kwa mwaka, Mapenzi yameongezeka Mara mbili

Nimemlipia mchepuko Kodi ya nyumba Mil 4.8 kwa mwaka, Mapenzi yameongezeka Mara mbili

Nilikua nikipata shida sana na moja ya mchepuko wangu uliokua ukikaa sana mbali. Chukulia mfano tegeta na mbagala.

Ilinipa wakati mgumu sana kwa maana Kuna muda nachelewa kurudi home alafu nakosa sababu za msingi.

Option iliyobakia ilikua ni kumhamishia viunga vya karibu, sio karibu kihivyo. Chukulia mfano Knyama na sinza.

Alinieleza hana pesa ya Kodi Ila amepanta sehemu nzuri na iko private. Kodi laki 4, na mwenyewe anataka mwaka.

Bila hiyana nikaazama mfukoni na nikalipa ili niendelee kula utamu. Ni utamu kweli, huwa sinaga kabisa mazoea na pisi mbovu.

Bila kugharamia hawa Watoto wazuri utaishia kula kwa macho tu. Vizuri gharama.

Baada ya kumhamishia karibu, Sasa hivi mapenzi yameongezeka sana
Ukirudi kwako wahuni wanajipigia bure
 
Hii kama sio Chai,Nyie wadada Mbinguni Mtapasikia tu kwa mnvyomfanya mtoto wa Mwanamke mwenzenu!
Sasa mdada kakosa nini jamani jamaa yake si kaamua mwenyewe kutoa hiyo pesa sidhan kama kalazimishwa
 
Mh details znafanana kwa mbali na kademu changu fulani kimehamia maeneo fulan hivi karbun na kodi ni hyo hyo! Alafu jana tu kalinilazimisha nlale nako hapo mpka morng
 
Nilikua nikipata shida sana na moja ya mchepuko wangu uliokua ukikaa sana mbali. Chukulia mfano tegeta na mbagala.

Ilinipa wakati mgumu sana kwa maana Kuna muda nachelewa kurudi home alafu nakosa sababu za msingi.

Option iliyobakia ilikua ni kumhamishia viunga vya karibu, sio karibu kihivyo. Chukulia mfano Knyama na sinza.

Alinieleza hana pesa ya Kodi Ila amepanta sehemu nzuri na iko private. Kodi laki 4, na mwenyewe anataka mwaka.

Bila hiyana nikaazama mfukoni na nikalipa ili niendelee kula utamu. Ni utamu kweli, huwa sinaga kabisa mazoea na pisi mbovu.

Bila kugharamia hawa Watoto wazuri utaishia kula kwa macho tu. Vizuri gharama.

Baada ya kumhamishia karibu, Sasa hivi mapenzi yameongezeka sana
Hongera!!! Subiri akuzalie, hapo itapendeza zaidi
 
Siku michongo ikienda kombo ukose hata kod ya mwez, ndo utaisoma namba..huku unapewa maneno ya dhihaka na kidume mwenzio anapewa unavyo pewa hivi sasa, sidhan kama hizo raha utazkumbuka tena.

Jenga, wajengee wazazi, boresha uchumi wako, na wanao, kama vyote hivyo tayari, basi hakikisha zaka na sadaka unatoa, ili ujiwekee hazina mbinguni, kuliko hayo matatizo unayo palilia hapo.
 
Nilikua nikipata shida sana na moja ya mchepuko wangu uliokua ukikaa sana mbali. Chukulia mfano tegeta na mbagala.

Ilinipa wakati mgumu sana kwa maana Kuna muda nachelewa kurudi home alafu nakosa sababu za msingi.

Option iliyobakia ilikua ni kumhamishia viunga vya karibu, sio karibu kihivyo. Chukulia mfano Knyama na sinza.

Alinieleza hana pesa ya Kodi Ila amepanta sehemu nzuri na iko private. Kodi laki 4, na mwenyewe anataka mwaka.

Bila hiyana nikaazama mfukoni na nikalipa ili niendelee kula utamu. Ni utamu kweli, huwa sinaga kabisa mazoea na pisi mbovu.

Bila kugharamia hawa Watoto wazuri utaishia kula kwa macho tu. Vizuri gharama.

Baada ya kumhamishia karibu, Sasa hivi mapenzi yameongezeka sana
Mungu aturehemu.Sikulaumu mkuu ila nakuonea huruma sababu huenda huyo dada amekumezesha chip kutoka kwa wale waganga.So unaweza ukawa unaendeshwa kwa remote bila wewe kujua (artificial intelligence)
 
Mm sijawai kumlipia manzi chumba Wala kageto tu na Bado nawal pisi Kali tu na mm
Nyie walipieni s amlali Mara kwa Mara mle tutawasadia kuwalinda pindi mrudipo kwa wake zenu ss tuatitwa kwenda kupeleka fire

Note
Wakat fln mwak 2020 nilikuwa nashare demu na mtu mmoja kigog wa serekalini mpka alivyokuja tumbuliwa ila Bado Yuko vzr ingawa pia demu Niko nae mbalii kwa sas ila najipigia popote
Nilisha mla had kweny hgari yake piga Sana tu
 
Siku utakapowakuta vidume wenzako wamejilaza humo ndani na wanamtafuna bure mchepuko utafanya nini?
 
Back
Top Bottom