Mpaka utakapoweza kuvaa viatu vya uhusika ndio utajua unachokifanya kina impact gani!Mkuu si mzee alisema tufyatue
Pole mkuu kwani ina miezi mingapi hiyoMkuu unanitania wakati mwenzako nina magumu
Fanya kuiroga mimba isikue mpaka mumewe atakaporudi akapiga show ndipo uruhusu ianze kukua...Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Nilianza mazoea na mdogo mdogo na huyu dada ambaye sikujua kama kaoelewa au laa,
Kumbe kuna baadh ya watu walikuwa wananionea huruma sana kwa ukaribu wangu na yule dada, wakijiuliza na wasipate majibu ya kwamba kwanini niko penzin na mke wa mtu tena bila kificho
Kwakweli mimi yule dada nilimuuliza kuhusu kama ana mme lakin alikataa na kudai hana mme
Alikuwa ana kuja kufua nguo zangu na kufanya usafi gheto kama kawaida then napiga show la kufa mtu anaenda zake
Sasa juz kaja kunambia et ana mimba yangu sasa mimi huwaga sikatai mimba maana had muda huu nina watoto kama 7 wote wa kuchapa mimba sehemu tofaut tofaut, baada ya kunambia hivyo nikamwambia hakuna shida zaa tu wangu
Leo kanitumia msg kanambia hajui atakuja kumwambia nini mme wake, nikamuuliza kwan una mme akasema ndiyo nina mume sema sikukwambia aisee nimechoka mwenyewe wadau
Nimemwambia mama mmoja hapa kanambia alikuwaga ananishangaa na kunihurumia sana kutembea na mke wa mtu, lakin mimi nimemwambia nilikuwaga sijui jaman
Kanihurumia sana na kanipa pole nyingi sana
Ninalo mwaka huu wazee
Naomben ushaur wenu wadau nifanyeje
LONDON BABY
Umeshamtomba mara ngapi mpaka usishitukie kama ameolewa hujawahi hata kutaka kumtembelea kwakeAmani iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Nilianza mazoea na mdogo mdogo na huyu dada ambaye sikujua kama kaoelewa au laa, kumbe kuna baadhi ya watu walikuwa wananionea huruma sana kwa ukaribu wangu na yule dada, wakijiuliza na wasipate majibu ya kwamba kwanini niko penzini na mke wa mtu tena bila kificho.
Kwakweli mimi yule dada nilimuuliza kuhusu kama ana mume lakini alikataa na kudai hana mume
Alikuwa ana kuja kufua nguo zangu na kufanya usafi gheto kama kawaida then napiga show la kufa mtu anaenda zake.
Sasa juzi kaja kunambia eti ana mimba yangu sasa mimi huwaga sikatai mimba maana hadi muda huu nina watoto kama 7 wote wa kuchapa mimba sehemu tofauti tofauti, baada ya kunambia hivyo nikamwambia hakuna shida zaa tu wangu.
Leo kanitumia SMS kaniambia hajui atakuja kumwambia nini mume wake, nikamuuliza kwani una mume akasema ndiyo nina mume sema sikukwambia aisee nimechoka mwenyewe wadau.
Nimemwambia mama mmoja hapa kanambia alikuwaga ananishangaa na kunihurumia sana kutembea na mke wa mtu, lakini mimi nimemwambia nilikuwa sijui jamani.
Kanihurumia sana na kanipa pole nyingi sana.
Ninalo mwaka huu wazee.
Naombeni ushauri wenu wadau nifanyeje.
LONDON BABY
mmewe mgeuze msukule umuhamishie gamboshi,
akiketa za kuletwa mle nyama