Nimempa mimba mke wa mtu lakini mumewe yuko mbali kikazi

Mme wake ni mmoja wa wale wanajeshi wetu wanaolinda na kuangalia usalama kule Congo.
Nasikia wanarudi hivi karibuni.
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
 
Msubili Mme mwenzako mshauliane
 
We jamaa nikiona uzi wako nataman nikufanyaje sijui za ovyo ovyo sana ningekuwa Mod wewe ni wa life ban kabisa
 
We jamaa nikiona uzi wako nataman nikufanyaje sijui za ovyo ovyo sana ningekuwa Mod wewe ni wa life ban kabisa
Pole sana mkuu punguza hasira mungu alisema tupendane
 
Alaf acha kujisifia bana kuwa na watoto wa nje 7 sio sifa boy ujinga huo ww wazazi wako wange kuzaa nje waanze kutamba hivyoo acha upimbi ww subir mumewarud ukamuombe msamaha yeye kwanza kisha nfio umuombe mungu msamaha maana mungh hawez kusamehe
Duh nakuona umefura kwa hasira alifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…