Nimempa mimba mwanamke asiye mke wangu

Bi grace alitoa warning Kama hukuona, hukusikia?

Mkuu, nakuonea huruma maana ikigundulika fire lake hapo hata extinguisher 10 hazitofua dafu!

Huku kitaa nmesikia minong'ono heti dawa ya wanaume wachepukaji ni fire tu!
 
Uwe makini kuliko kuja kutesa mtoto Bora kutoa kuliko kujumlisha na ukimrudia kitanasa Tena kizazi Kiko wazi

Acha kushauri watu tabia mbaya, kutoa mimba ni dhambi kubwa.[emoji1614][emoji36]
 
Wewe jamaa Nan kaniroga fanya kweli ujue nani kakuroga, yaani kutia mimba ndo unajiona hauna thamani..!![emoji1614][emoji36]
 
Mbususu ule mwenyewe uje utuombe ushauri pambana na hali yako mkuu
 
Acha kushauri watu tabia mbaya, kutoa mimba ni dhambi kubwa.[emoji1614][emoji36]
Bora kutolewa kuliko mtoto kuteseka kwa zinaa zenu, mtoto huna ada ya kumpeleka feza kwanini uzae kwa starehe zako, watoto walikutuma
 
Ulivyokuwa unamwagia ndani , ulitegemea yaote mahindi ?! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lea mwanao huyo acha ujinga wa eti atoe mimba .
 
Habar wanajukwaa,

Mimi ni baba wa MKE mmoja wa ndoa na mtoto mmoja mwanzoni mwa mwezi February niliamua kuazisha mahusiano na mwanamke wa nje ya ndo yaan asiye Mke wangu tumekuwa tukisafri mikoa mbalimbali kwa Siri bila mama watoto wangu kujua.
nimehakiki kweli ama mimba na nimemwambia kutoa hataki kabisa hzo habari ndg zangu nifanyaje Mimi nimechanganyikiwa kabsa..! MAJUTO NI MJUKUU

Ushauri wangu
Usimuoneshe kupaniki..lichukulie hilo very casual.. Ukionesha taharuki umekwisha. Utakuwa mtumwa wake mwanzo mwisho
 
Lea mimba na mtoto akitoka ...epusha angalia mambo ya Neema na Zungu
 
Bora kutolewa kuliko mtoto kuteseka kwa zinaa zenu, mtoto huna ada ya kumpeleka feza kwanini uzae kwa starehe zako, watoto walikutuma

Ni bora mtoto asome kayumba au asisome ila sio kumkatili kwa kumuua.

We mwenyewe hujasoma FEZA, kwahiyo uliteseka kama zao la zinaa?
 
Sema utam utam 🀣🀣🀣🀣🀣
Muwage mnagegeda malaya nyie kama tayari una mke kuondokana na hizi stress za kijinga
 
Nan kaniroga nadhani hizi mada hazina uhalisia .ni za kutunga na hii sio fair..maana mtu anaweza kujikunja na kukushauri kumbe ni fiction

 
Mume akileta ufedhuli wake navunja ndoa..sitaki upumbaf
 
Acha Woga Wewe Nakukumbusha Jiwe Alisema Hapendwi Mtu Inapendwa Pesa. Hofu Ni Mbaya Sana Hata Kwenye COVID 19
Sasa Hivi Elimu Ni Bure Atasoma Tu

Nunua Mchanga Lory Moja Kuzimia Nyumba Yako
Aione Grace Hii
πŸ˜₯πŸ˜£πŸ˜πŸ™„πŸ˜ΆπŸ˜‘πŸ˜πŸ˜
 
Mtanie mkeo mwambie ' Katoto kangu kakikua nakaleta nakuzawadia uwe na watoto 2 ' halafu kaa kimya jifanye kama hujaropoka.
Ndivyo nilivyofanya mimi
 
Habar wanajukwaa,

Mimi ni baba wa MKE mmoja wa ndoa na mtoto mmoja mwanzoni mwa mwezi February niliamua kuazisha mahusiano na mwanamke wa nje ya ndo yaan asiye Mke wangu tumekuwa tukisafri mikoa mbalimbali kwa Siri bila mama watoto wangu kujua.
Wakati ulipokuwa unafika kileleni ulifikiri kinachokutoka ni kamasi au sanitaiza? Wajibika kwa uzembe wako kuwaruhusu mabeberu watue bila kuwavisha barakoa.
 
Unaitwa Nan kaniroga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…