Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

I feel you, I feel you!

Angalia usim-spoil, boys are very clever kwa mama zao.

Yuko shule dear, hata kama ningependa nisingeweza! Halafu yeye mwenyewe hapendi, kinajifanya kikubwa na kinatake care of me mostly! "A man of the house" ndivyo anavyojiita!
 
Yuko shule dear, hata kama ningependa nisingeweza! Halafu yeye mwenyewe hapendi, kinajifanya kikubwa na kinatake care of me mostly! "A man of the house" ndivyo anavyojiita!

We kaunga miaka 11 yote hiyo fanya upate mwingine utaumia sana nyonga kwa mtoto wa pili inaweza hata kuleta ukilema mi nilishashuhudia
 
sifikirii kumtelekeza mtoto lakini pia sifikirii kumuoa mama yake mbaya zaidi sihitaji kuwa na watoto wa mama tofauti.

Asee, kwa kuwa umenizidi umri, ila ningekurushia konde through JF. Sasa umeomba ushauri wa nini hapo? Hukuwa ukifikiria haya yote kabla? If you real mean hiyo nyekundu then ifanyie kazi hiyo blue.:angry:

lakini jamaa hampendi....raha ya ndoa kupendana.....mapenzi ya kuoneana huruma hayafai....
kaka mwenye thread.....nakushauri fuata moyo wako.....

Lakini amesema hafikirii kuwa na watoto kwa wamama tofauti, unless aoe anayempenda na wasipate mtoto huko, hapo atakuwa ametimiza Blue na nyekundu hapo juu.
 
La umenikosha sana mdogo wangu. Nakuomba sana tena sana jitahidi na mwombe Mungu akusaidie kuanza kumpenda huyo dada na mlee mimba hiyo kwa upendo. Mfunge ndoa na kuanza maisha ya pamoja. Hizo hisia za kutompenda zitaondoka ukiamua kwamba sasa moyo wangu naumwaga kwa huyu na utampenda sana umwone wa thamani kwako. Ubarikiwe sana
 
oa baba mtoto wa ujanani huyo jitahidini muongeze fastafasta kabla sperm hazijalegea mthamini kama alivyokuthamini ufaudu vizuri ulichokua ukifaudu.usitake kumtia mwenzio doa kisha umuachie ahangaike nalo jinsi ya kulitoa.nahic umeshanunua tayari na suti ya harusi kamnunulie mwenzio madela
 
Dawa ya penzi ulikuwa uwijui au ulipanga ili uje utuulize?

Cha msingi kubali matokeomsubiri mtoto mlee pamoja
 
Mbona umeshatoa uamuzi ??????

Hutaki mtoto wa nje, na mimba hutoi, Sasa unauliza nini??

Jiandae tu kuishi na huyo mtu wako na utayafurahia maisha bila wasiwasi maana utakua umetimiza ndoto zako za kutokuwa na mtoto wa nje na wala kutoa mimba, \jambo ambalo ni zuri sana
 
sifikirii kumtelekeza mtoto lakini pia sifikirii kumuoa mama yake mbaya zaidi sihitaji kuwa na watoto wa mama tofauti.

sasa unataka usaidiweje? maana kila kitu hufikirii kufanya
 

athari za NGONO ZEMBE,,,HUMPENDI+KAVUKAVU,,,,
 
miaka mitano penzini na mtu usiyempenda.!!
 



Mimba sio kiashirio cha Upendo!! Hauwezi Kufunga ndoa na Mtu kwa sababu tu unataka watoto wote wazaliwe na Mama Mmoja,au kuogopa kueleweka vibaya na jamii au kuogopa Kuuvunja Moyo Wa Mtu!! Msingi wa Uhusiano wowote ni UPENDO kwa pande zote mbili!! Mtu asijidanganya kama anaweza kuishi na mtu asiyempenda,HAIWEZEKANI,hata kama huyo Mwenza ni Muadilifu na ana Mapenzi kiasi gani,Uhusiano huo Utavunjika tu Mbele ya Safari!!
Hudumia Mtoto na Mama,Lakini yeye aendelee na Maisha yake tu!!
 
lakini jamaa hampendi....raha ya ndoa kupendana.....mapenzi ya kuoneana huruma hayafai....
kaka mwenye thread.....nakushauri fuata moyo wako.....
Preta sikubaliani nawe kabisa. Huwezi k#t*mb@n@ kavukavu na mtu usiyempenda (karne ya VVU k#t*mb@n@ kavukavu ni kipimo cha upendo uliotukuka). Huyo ni muongo wa kutupa. Ingawa mdada baada ya kuona haambiwi suala la ndoa akatumia kanuni yenu, sijui mnaiita PMU. Pia k#t*mb@n@ kavukavu lazima ujiandae na gharama zake. Huyo ngurumbili ya kiume ni mshezi tu wa tabia.

Ndimi Bazazi!
 
Last edited by a moderator:

uwiiiiii Bazazi.....umeua ujue.....BTW.....nimekumiss sana......
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…