I feel you, I feel you!
Angalia usim-spoil, boys are very clever kwa mama zao.
I will assassinate you with my bear hands, NO WAY!
Mtoto, wengine bado Eiyer hajanipa! Na who says hawezi nihandle?
jana nilimona Khadijah Kopa na mumewe mpya Clouds tv..lol
nikasema hawa mbona kama Kaunga na Eiyer? lol
Anzia kwake kwanza, si unaona anavyonichonganisha na mai lavu wangu!
Yuko shule dear, hata kama ningependa nisingeweza! Halafu yeye mwenyewe hapendi, kinajifanya kikubwa na kinatake care of me mostly! "A man of the house" ndivyo anavyojiita!
sifikirii kumtelekeza mtoto lakini pia sifikirii kumuoa mama yake mbaya zaidi sihitaji kuwa na watoto wa mama tofauti.
lakini jamaa hampendi....raha ya ndoa kupendana.....mapenzi ya kuoneana huruma hayafai....
kaka mwenye thread.....nakushauri fuata moyo wako.....
La umenikosha sana mdogo wangu. Nakuomba sana tena sana jitahidi na mwombe Mungu akusaidie kuanza kumpenda huyo dada na mlee mimba hiyo kwa upendo. Mfunge ndoa na kuanza maisha ya pamoja. Hizo hisia za kutompenda zitaondoka ukiamua kwamba sasa moyo wangu naumwaga kwa huyu na utampenda sana umwone wa thamani kwako. Ubarikiwe sanaWanajamvi nafuatilia kwa makini kabisa ushauri mnaonipa, nashukuru kwa kuwa baadhi yenu mmenielewa vyema na mnajaribu kuvaa viatu vyangu kabla ya kushauri. Hili naliona vizuri kupitia ushauri mnaonipa though some advices are bitter
Pia naheshimu sana ushauri wa baadhi ya wanajamvi ambao kwao jambo la muhimu kwa sasa ni kulaumu, nadhani hawa kwao ukweli kwamba jambo hili tayari limeshatokea (kwamba tayari mimba ipo) na halizuiliki tena si kipaumbele.
Labda nikiri tu kuwa kupitia uzi huu, hali ya kuchanganyikiwa na kushindwa kujua nini nifanye imepungua na kwakweli napata mwanga. Hapa nakubali kuwa "problem shared lead to problem solved"...
Naheshimu mawazo ya kila mmoja wenu, na naahidi mwishowe nitawashirikisha uamuzi nitakaofikia, bado nafuatilia ushauri mnaonipa
sifikirii kumtelekeza mtoto lakini pia sifikirii kumuoa mama yake mbaya zaidi sihitaji kuwa na watoto wa mama tofauti.
We kaunga miaka 11 yote hiyo fanya upate mwingine utaumia sana nyonga kwa mtoto wa pili inaweza hata kuleta ukilema mi nilishashuhudia
habari!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 34, ni mwanafunzi wa Masters katika chuo kimoja hapa nchini. Nimehitimu chuo kikuu UCLAS (kwa sasa Ardhi Univeversity) mwaka 2008.Wakati nipo chuoni mwaka wa kwanza nilitokea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi mwenzangu,mahusiano ambayo mwanzoni sikuona kama yangefika mbali kwani hata jinsi yalivyoanza ilikuwa katika mazingira ambayo hakuna hata mmoja wetu aliyetarajia.
Tulihitimu chuo mwaka 2008 bahati nzuri kila mmoja wetu akapata kazi ingawa ni mikoa tofauti. Mara kadhaa nilimwambia umuhimu wa kuachana kwani nilihisi kuwa sitakuwa na furaha katika familia hama tutaoana lakini alipinga na kulia sana akidai kuwa yeye ananipenda sana. Nakumbuka wakati tuko chuoni alitaka hata kuacha chuo kwasababu yangu. Sikuwa tayari kuona hili linatokea hivyo niliendelea na mahusiano naye nikitafuta namna nitakavyoachana naye kwa amani.
Tuliendelea na mahusiano hayo ingawa sikuwa na furaha nayo na bahati mbaya niseme mwezi februari mwaka huu amenambia ana ujauzito wangu. Sifikirii kabisa suala la yeye kutoa mimba kwani kwa umri wangu nataka kuwa na mtoto. Nakumbuka katika mahusiano yetu sikuwahi kuishi naye kama mke wangu mtarajiwa hivyo mambo ninayopenda mke wangu awe nayo na tabia ninazopenda wala sikumuhimiza ayafanye.
Naomba ushauri nifanyeje nimechanganyikiwa, sitaki kuwa na watoto wa mama tofauti tofauti na pia nataka sana mtoto wake azaliwe salama?
Kubali yeye akuoe wewe!
Inaelekea binti huyo anakupenda kwa dhati.pili binti anaujauzito wako hivi Mungu unataka akuoneshe nini ili ujue huyo ndio chaguo lako.
Pole kwa mawazo yako finyu ambayo hayana uwezo wa kupambanua mambo kwani we ulivyo ingia kwenye uhusiano ulikuwa unamaana gani licha ya hivyo mlipo kuwa faragha ulisahau kutumia dawa ya penzi.
Sina mengi ya kuandika maana Ndoa umeitaka mwenyewe.
Preta sikubaliani nawe kabisa. Huwezi k#t*mb@n@ kavukavu na mtu usiyempenda (karne ya VVU k#t*mb@n@ kavukavu ni kipimo cha upendo uliotukuka). Huyo ni muongo wa kutupa. Ingawa mdada baada ya kuona haambiwi suala la ndoa akatumia kanuni yenu, sijui mnaiita PMU. Pia k#t*mb@n@ kavukavu lazima ujiandae na gharama zake. Huyo ngurumbili ya kiume ni mshezi tu wa tabia.lakini jamaa hampendi....raha ya ndoa kupendana.....mapenzi ya kuoneana huruma hayafai....
kaka mwenye thread.....nakushauri fuata moyo wako.....
Preta sikubaliani nawe kabisa. Huwezi k#t*mb@n@ kavukavu na mtu usiyempenda (karne ya VVU k#t*mb@n@ kavukavu ni kipimo cha upendo uliotukuka). Huyo ni muongo wa kutupa. Ingawa mdada baada ya kuona haambiwi suala la ndoa akatumia kanuni yenu, sijui mnaiita PMU. Pia k#t*mb@n@ kavukavu lazima ujiandae na gharama zake. Huyo ngurumbili ya kiume ni mshezi tu wa tabia.
Ndimi Bazazi!