Nimempa ujauzito housegirl, wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto

Azinie na mwanamke Hana akili kabisa, afanya Jambo litalomwangamiza nafsi yake', atapata jeraha na kuvunjiwa heshima Wala fedheha take haitafutika! TUBIA UOVU WAKO USAMEHEWE. Mwombe mkeo msamaha kwanza Mana umekosea Sana assume yeye angebeba mimba isiyo yako ungejisikiaje?
 
Sasa wee ulionaga wapi watu wakichepuka wanatumia ndom? Ndom labda anachepuka kwa malaya. Mnajidanganya sana nyie watu
Basi tumetofautiana aisee na ndio maana magonjwa yatawasumbua mno mtu anaejali familia akitingwa kutumia ndomu kawaida mno ila kizazi hiki hakina Elimu yeyote kuhusu hizi mambo ndio maana mtashinda humu kuomba ushauri baada ya kuharibu...
 
Basi tumetofautiana aisee na ndio maana magonjwa yatawasumbua mno mtu anaejali familia akitingwa kutumia ndomu kawaida mno ila kizazi hiki hakina Elimu yeyote kuhusu hizi mambo ndio maana mtashinda humu kuomba ushauri baada ya kuharibu...
Wewe usiangalie sample yako tuu. Ukweli ni kwamba watu wanachepuka kabu kavu tuu wanaochepuka nankutumia ndom ni wale wanaoenda kugegeda malaya.
 
Ah ujanja kuwahiana yeye ndio mjanja kamuwagi wife maan wanawake hawa wanakulia tyming tuu wanakubambikia mtoto. Tena wao ndio the worst kind of evil
 
Walimu wa kiume wamekiwa ovyo sana miaka hii alafu ni hawana ela ya kutafuta wadada huko mtaani wanafata k za bure Kwa mahaousegirl na vibint na wake za watu Tena Hawa wa vijijini ndo mafala kabisa Ndo maana mnalogwa sana
Wewe sasa kama mbususu mmefanya mtaji wacha tukajipoze kwenye bei rahisi. Thats just simple economics. Wee mwenyewe umesema hawana hela sasa wafanyaje🤣🤣🤣🤣 sio kila mwanaume anaweza endelea piga nyeto ya mlenda vuguvugu mika nenda rudi.

Pili wazazi wengi hawawajali watoto wao ndio maana wanaishia kuliwa. Wee mtoto wako ukimlea vizuri hawezi kuliwa na mwalimu. Uzembe ni wa wazazi tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…