Nimempa ujauzito housegirl, wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto

Nimempa ujauzito housegirl, wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto

Ambao hatufanyi sawa ni hii tabia ya kuwa na housigelo. Mnawadhulumu watoto wa watu kwa ubinafsi wenu.
Kwanza hili la housigelo liangaliwe. Housegelo wanapaswa kuwa watu wazima walipwe vizuri. Kama hamna hela hiyo basi kila mtu apambane na watoto wake mwenyewe.

Mnajiita superwoman huku mnawakandamiza watoto wa wenzenu tuu. Weka mwanamke mwenzio akulele watoto na umlipe vizuri. Aaje na aondoke zake ndio tuone huo usuperwoman wako.
Naona umehamia kwenye ubinafsi sasa. Hahahaaa.

Sasa ubinafsi na usupa woman unahusiana vipi na mimba we nae. 🤣
 
Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.

Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu na narudi nyumbani kumla house girl.

Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar,
Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.

Tuna miezi mitatu hataki nimguse.

Nitachomokaje?
Wakati unasasambua mbona haukutuomba msaada....maliza mwenyewe
 
Sijaoa kwa sababu sina uwezo wa kutunza mke na watoto.
Kwangu mie nilishasema mke wangu ataleta mature maid tena wakuja na kuondoka. Sio mtu analeta vitoto alafu anajidaibyeye ni mke. Pumbafu kabisa.
Ukitaka kuwa mama zaa acha kazi lea mtoto mpaka anapofika 2years. Mimi mume kazi yangu ni kukuhudumia wewe. Mambo ya kutesa watoto wa wengine ilikukufurahisha wewe siwezi.
Ndio maana nasema women nyie ni selfish sana u only think about urself. Mbona hamuwafikirii hao watoto wa wanawake wenzenu?
Ila mwanaume akigegeda ndio mnashupaza shingo kuwa wanaume wabaya
Kwa hiyo kutokuwafikiria hao watoto wa wenzetu ndo sababu ya Mwanaume kuacha kazi zake na kurudi nyumbani kumla housegirl?
 
Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.

Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu na narudi nyumbani kumla house girl.

Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar,
Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.

Tuna miezi mitatu hataki nimguse.

Nitachomokaje?
Tubu kwa mkeo maisha yaendelee na pia lea watoto wako wote.
 
Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.

Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu na narudi nyumbani kumla house girl.

Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar,
Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.

Tuna miezi mitatu hataki nimguse.

Nitachomokaje?
Dahhh . mkuu uko kwenye mapito ...ila fanya hili litakusaidia ,, kama kweli mimba ni yako shuka chini mbembeleze mkeo then timua housegirl lea hiyo mimba huko huko atakakokuwa ,lea huyo mtoto maisha mengine yanaendeleee tubu mbele ya wadhamini wa ndoa yako na mbele za mungu then badilisha life style mrudie Muumba wako,akuepushe na majaribu mengine kama hayo ...
 
Wewe komaa na watoto wako wewe kama wewe usitake watoto wa mwanamke mwenzio ndio akulele watoto wako.

Ajiri mwanmke mtu mzima aje na kuondoka kama hutaki mumeo kutia mimba housigelo.
Uzuri mi naishi na wadada wa kazi kwa zaidi ya miaka 14 sasa na Mr hajawahi fanya huo upuuzi.

Kikubwa acheni tabia ya kuwadharau hao wasichana wa kazi huku mkiona hawana thamani pia kabla ya kufanya hayo yote mufikirie na watoto sababu leo huyu umempa mimba kesho nani atakulelea watoto.
 
Ambao hatufanyi sawa ni hii tabia ya kuwa na housigelo. Mnawadhulumu watoto wa watu kwa ubinafsi wenu.
Kwanza hili la housigelo liangaliwe. Housegelo wanapaswa kuwa watu wazima walipwe vizuri. Kama hamna hela hiyo basi kila mtu apambane na watoto wake mwenyewe.

Mnajiita superwoman huku mnawakandamiza watoto wa wenzenu tuu. Weka mwanamke mwenzio akulele watoto na umlipe vizuri. Aaje na aondoke zake ndio tuone huo usuperwoman wako.
😂😂😂
 
Siyo uondoke tu na talaka juu na umfidie milioni mia za kuondoa mfadhaiko aliopata.

Ukome
Mhh!!! Sasa milioni Mia mwalimu atoe wapi na ndo wametoka KUJENGA nyumba kwa pamoja na ukute Kila upande umekopa bank!! Wasameheane TU kitanda hakizai haramu maisha mengine yaendelee japo house girl ndo mganga mkuu kwenye hili Jambo lao
 
Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.

Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu na narudi nyumbani kumla house girl.

Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar,
Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.

Tuna miezi mitatu hataki nimguse.

Nitachomokaje?
Hayo ni matokeo ya usaliti wa ndoa yako....Ukome
 
Back
Top Bottom