Nimempa ujauzito mke wa mtu

Nimempa ujauzito mke wa mtu

Hey,
Updates ni kwamba huyu mwanamke saiv tumepatana tena na haninunii na ujauzito tayari una miezi miwili,kaamua kuzaa,
halafu kuhusu mumewe itajulikana mtoto akizaliwa..uzuri jamaa alihama home,mwanamke kasema akiulizwa na yeye atawauliza kwani yeye ni mke wa nani?
aliyemuoa ndio aliyempa ujauzito,maana jamaa alisepa home bila any official release,so ngoja niendelee kuona itakuwaje...
You are dead mof...
 
Hey,
Updates ni kwamba huyu mwanamke saiv tumepatana tena na haninunii na ujauzito tayari una miezi miwili,kaamua kuzaa,
halafu kuhusu mumewe itajulikana mtoto akizaliwa..uzuri jamaa alihama home,mwanamke kasema akiulizwa na yeye atawauliza kwani yeye ni mke wa nani?
aliyemuoa ndio aliyempa ujauzito,maana jamaa alisepa home bila any official release,so ngoja niendelee kuona itakuwaje...
Mmmmh so hakumuingilia kimwili?

Km hakumuingilia kalikoroga.

Jamaa atajua kbs analea kimeo sio chake...

Huyo mwanamke asishindane na mwanaume eti akiulizwa atajibu so and so..

Alitakiwa km anataka kulea mimba ikiwa ya ndoani amfanye lolote ili mume amlale.....

Hlf tahadhali nawe punguza ukaribu nae...tyr hapo kuna shida ndn ya ndoa ya watu..utaonekana we ndio source.....

Hayo mambo watu wanafanya huku ndoa zao zikiwa safii...ndio maana unakuta mume hastuki km kaangushiwa gari bovu....

Ila kwa wewe....mmmh hebu jiweke mbali usije ukafanywa baya mana utajulikana chap

Narudia DADA asishindane na mwanaume wake.....
 
CHILLAX ndugu yangu....tulia tuliiii

Maana unaweza kuta hata wewe SIO MTOTO WA HUYO UNAYEZANI NI BABA YAKO.....


tena hata wengine humu nao watulie waache kukusakama...hawana uhakika na baba zao maana siri wamezibeba mama zao..sio wao..

We omba toba tu muachie mdada alee zake
Sio mimi. Mzee wangu alishapima DNA kitambo sana na mimi, so my biological father.[emoji23].

Labda kwa hawa wengine wa humu sijajua.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Hey,
Updates ni kwamba huyu mwanamke saiv tumepatana tena na haninunii na ujauzito tayari una miezi miwili,kaamua kuzaa,
halafu kuhusu mumewe itajulikana mtoto akizaliwa..uzuri jamaa alihama home,mwanamke kasema akiulizwa na yeye atawauliza kwani yeye ni mke wa nani?
aliyemuoa ndio aliyempa ujauzito,maana jamaa alisepa home bila any official release,so ngoja niendelee kuona itakuwaje...
Kwa Waislam ni dhambi kubwa sana kumdanganya mtoto baba yake .

Kuzaa nje ya ndoa ni dhambi mbaya sana hasa Kwa Wanawake maana hata iweje hawezi kuitubu na kusema ukweli kuwa huyu mtoto ni WA Fulani. Ataishi Kwa uongo maisha yake yote.

Hali hii inawafanya Wanawake wanakua hasa wale wanaojiita wakristo lakini wa uongo kuishi maisha ya vilio na kudanganywa na manabii wa uongo madhebahuni huku nafsi zao zikiwahukumu kuwa umeidanganya jamii yule mtoto baba yake sio huyo.

Ndio maana zamani za mababu zetu hukumu ya kuzaa nje ya ndoa ilikua ni kifo .

Na hata Sasa ukizaa na mke wa mtu ambaye mume wake ni muumini wa kweli ,mwaminifu Kwenye ndoa yake Hakika adhabu yako inakua ni kifo.
Tatizo ni kuwa wanaume wengi nao ni wachepukaji hivyo inakua ni jino Kwa jino. Lakini usije ukajaribu kwenye ndoa ya mtu mcha Mungu ambaye sio mchepukaji. Utakojoa mchanga muda wote. Uchawi na Dua mbaya zililetwa Duniani Kwa watu wa aina hii.
Kule Tanga kuna wataalam wa kutengeneza kitu kinaitwa Tego. Ukitanua TU miguu ya mkewe unakauka kama gogo. Na Hilo Tego wanapokua wanakuambia ujaribu hata Kwa mnyama kama Mbwa aruke unamuona anavyodambaratika.

Kwa hiyo achana na wake za watu kabisa. Unabahati unaingia Kwa watu wa hovyohovyo. Ungekua umeshasahaulika kitambo. Ukaacha mtoto asiye na baba.

Hata huyo Mwanamke huenda alikua ni kero Kwa mumewe Kwa sababu yako. Mpaka mumewe akaamua kuwa mlevi.
Wengine hatungekimbilia kwenye ulevi kabla ya kukuimbia wimbo wa parapanda.

Kule Pemba wanakuonya usiposikia Kuna Dua zinawekwa panapostahili halafu wewe na huyo Mwanamke mnaanza kumgombania huyo mwanaume.
Yaani mnagombana haswaa,wewe unataka mwanaume huyo akuingilie nyuma na Mwanamke anakuambia unamwache mume wake mana wewe ni shoga.
Dunia ni nzuri Kwa watu wazuri na mbaya Kwa wabaya.
Wanaume tunaweza kuoa hata wake wengi na kufunga nao ndoa halali kabisa kama manabii walivyofanya zamani. Hivyo kuingia kwenye ndoa ya mtu mwenye kamke kake kamoja ni jambo la kutangaza kifo TU Wala hakuna namna nyingine.

Akishaokewa na mtu Mwingine achana naye hata kama anakudanganya kuwa alikua anakupenda wewe. Ni uongo huyo ni uzao mbaya wa kishetani. Tamaa ndiyo inayomwendesha. Amekimbilia pesa akazikosa. Anakuja kwako eti utamridhisha kimapenzi. Sio kweli. Mapenzi yanapaliliwa Kuna siku atapata Mwingine na ataona alichelewa atakimbilia Huko mtaakua watatu Sasa. Hatuwezi kuishi hivyo kama viumbe wasio na akili.
 
Wakuu kwema?

Mwenzenu nina kisanga hapa, kuna mwanamke ni ex wangu, ila yeye aliolewa na wenye pesa kwa sherehe kubwa baada ya kuona mimi sieleweki na sina mpango wa kuwa mtumwa wa ndoa, jamaa yake saiv amekuwa mlevi na kiaina ni kama ameikacha familia, so mkewe baada ya kuona jamaa kasahau majukumu yake ya kindoa, ndio akaamua kunicheki, sababu alikuwa mtu wangu na amenona,nikamualika kwangu.

Hee si ikaonekana tunakumbushia ya zamani, mwanamke akanogewa akawa anakuja mara nyingi,Vsi nimeishia kumjaza tumbo, sasa anahaha kuitoa mi nimemwambia azae tu sishiriki dhambi ya uuaji, hata kama dhambi zote ni sawa, ila bora nibakie na ya uzinzi kuliko uuaji.

So swali langu ni kwa malaya wenzangu vipi ilikuwaje kwa aliyewahi kukutana na mkasa wa aina hii? Na aliumalizaje, maana wiki ya 3 sasa nimenuniwa na sielewi nini kinaendelea huko upande wa pili.
Mkuu unaenda kulima shamba la jirani halafu unategemea kuvuna. Umetoa msaada so piga kimya
 
Kwa Waislam ni dhambi kubwa sana kumdanganya mtoto baba yake .

Kuzaa nje ya ndoa ni dhambi mbaya sana hasa Kwa Wanawake maana hata iweje hawezi kuitubu na kusema ukweli kuwa huyu mtoto ni WA Fulani. Ataishi Kwa uongo maisha yake yote.

Hali hii inawafanya Wanawake wanakua hasa wale wanaojiita wakristo lakini wa uongo kuishi maisha ya vilio na kudanganywa na manabii wa uongo madhebahuni huku nafsi zao zikiwahukumu kuwa umeidanganya jamii yule mtoto baba yake sio huyo.

Ndio maana zamani za mababu zetu hukumu ya kuzaa nje ya ndoa ilikua ni kifo .

Na hata Sasa ukizaa na mke wa mtu ambaye mume wake ni muumini wa kweli ,mwaminifu Kwenye ndoa yake Hakika adhabu yako inakua ni kifo.
Tatizo ni kuwa wanaume wengi nao ni wachepukaji hivyo inakua ni jino Kwa jino. Lakini usije ukajaribu kwenye ndoa ya mtu mcha Mungu ambaye sio mchepukaji. Utakojoa mchanga muda wote. Uchawi na Dua mbaya zililetwa Duniani Kwa watu wa aina hii.
Kule Tanga kuna wataalam wa kutengeneza kitu kinaitwa Tego. Ukitanua TU miguu ya mkewe unakauka kama gogo. Na Hilo Tego wanapokua wanakuambia ujaribu hata Kwa mnyama kama Mbwa aruke unamuona anavyodambaratika.

Kwa hiyo achana na wake za watu kabisa. Unabahati unaingia Kwa watu wa hovyohovyo. Ungekua umeshasahaulika kitambo. Ukaacha mtoto asiye na baba.

Hata huyo Mwanamke huenda alikua ni kero Kwa mumewe Kwa sababu yako. Mpaka mumewe akaamua kuwa mlevi.
Wengine hatungekimbilia kwenye ulevi kabla ya kukuimbia wimbo wa parapanda.

Kule Pemba wanakuonya usiposikia Kuna Dua zinawekwa panapostahili halafu wewe na huyo Mwanamke mnaanza kumgombania huyo mwanaume.
Yaani mnagombana haswaa,wewe unataka mwanaume huyo akuingilie nyuma na Mwanamke anakuambia unamwache mume wake mana wewe ni shoga.
Dunia ni nzuri Kwa watu wazuri na mbaya Kwa wabaya.
Wanaume tunaweza kuoa hata wake wengi na kufunga nao ndoa halali kabisa kama manabii walivyofanya zamani. Hivyo kuingia kwenye ndoa ya mtu mwenye kamke kake kamoja ni jambo la kutangaza kifo TU Wala hakuna namna nyingine.

Akishaokewa na mtu Mwingine achana naye hata kama anakudanganya kuwa alikua anakupenda wewe. Ni uongo huyo ni uzao mbaya wa kishetani. Tamaa ndiyo inayomwendesha. Amekimbilia pesa akazikosa. Anakuja kwako eti utamridhisha kimapenzi. Sio kweli. Mapenzi yanapaliliwa Kuna siku atapata Mwingine na ataona alichelewa atakimbilia Huko mtaakua watatu Sasa. Hatuwezi kuishi hivyo kama viumbe wasio na akili.
mkuu umetema nyongo...
 
Wakuu kwema?

Mwenzenu nina kisanga hapa, kuna mwanamke ni ex wangu, ila yeye aliolewa na wenye pesa kwa sherehe kubwa baada ya kuona mimi sieleweki na sina mpango wa kuwa mtumwa wa ndoa, jamaa yake saiv amekuwa mlevi na kiaina ni kama ameikacha familia, so mkewe baada ya kuona jamaa kasahau majukumu yake ya kindoa, ndio akaamua kunicheki, sababu alikuwa mtu wangu na amenona,nikamualika kwangu.

Hee si ikaonekana tunakumbushia ya zamani, mwanamke akanogewa akawa anakuja mara nyingi,Vsi nimeishia kumjaza tumbo, sasa anahaha kuitoa mi nimemwambia azae tu sishiriki dhambi ya uuaji, hata kama dhambi zote ni sawa, ila bora nibakie na ya uzinzi kuliko uuaji.

So swali langu ni kwa malaya wenzangu vipi ilikuwaje kwa aliyewahi kukutana na mkasa wa aina hii? Na aliumalizaje, maana wiki ya 3 sasa nimenuniwa na sielewi nini kinaendelea huko upande wa pili.
Mrejesho , maana Ni mwezi wa nane huu.
 
Kwa Waislam ni dhambi kubwa sana kumdanganya mtoto baba yake .

Kuzaa nje ya ndoa ni dhambi mbaya sana hasa Kwa Wanawake maana hata iweje hawezi kuitubu na kusema ukweli kuwa huyu mtoto ni WA Fulani. Ataishi Kwa uongo maisha yake yote.

Hali hii inawafanya Wanawake wanakua hasa wale wanaojiita wakristo lakini wa uongo kuishi maisha ya vilio na kudanganywa na manabii wa uongo madhebahuni huku nafsi zao zikiwahukumu kuwa umeidanganya jamii yule mtoto baba yake sio huyo.

Ndio maana zamani za mababu zetu hukumu ya kuzaa nje ya ndoa ilikua ni kifo .

Na hata Sasa ukizaa na mke wa mtu ambaye mume wake ni muumini wa kweli ,mwaminifu Kwenye ndoa yake Hakika adhabu yako inakua ni kifo.
Tatizo ni kuwa wanaume wengi nao ni wachepukaji hivyo inakua ni jino Kwa jino. Lakini usije ukajaribu kwenye ndoa ya mtu mcha Mungu ambaye sio mchepukaji. Utakojoa mchanga muda wote. Uchawi na Dua mbaya zililetwa Duniani Kwa watu wa aina hii.
Kule Tanga kuna wataalam wa kutengeneza kitu kinaitwa Tego. Ukitanua TU miguu ya mkewe unakauka kama gogo. Na Hilo Tego wanapokua wanakuambia ujaribu hata Kwa mnyama kama Mbwa aruke unamuona anavyodambaratika.

Kwa hiyo achana na wake za watu kabisa. Unabahati unaingia Kwa watu wa hovyohovyo. Ungekua umeshasahaulika kitambo. Ukaacha mtoto asiye na baba.

Hata huyo Mwanamke huenda alikua ni kero Kwa mumewe Kwa sababu yako. Mpaka mumewe akaamua kuwa mlevi.
Wengine hatungekimbilia kwenye ulevi kabla ya kukuimbia wimbo wa parapanda.

Kule Pemba wanakuonya usiposikia Kuna Dua zinawekwa panapostahili halafu wewe na huyo Mwanamke mnaanza kumgombania huyo mwanaume.
Yaani mnagombana haswaa,wewe unataka mwanaume huyo akuingilie nyuma na Mwanamke anakuambia unamwache mume wake mana wewe ni shoga.
Dunia ni nzuri Kwa watu wazuri na mbaya Kwa wabaya.
Wanaume tunaweza kuoa hata wake wengi na kufunga nao ndoa halali kabisa kama manabii walivyofanya zamani. Hivyo kuingia kwenye ndoa ya mtu mwenye kamke kake kamoja ni jambo la kutangaza kifo TU Wala hakuna namna nyingine.

Akishaokewa na mtu Mwingine achana naye hata kama anakudanganya kuwa alikua anakupenda wewe. Ni uongo huyo ni uzao mbaya wa kishetani. Tamaa ndiyo inayomwendesha. Amekimbilia pesa akazikosa. Anakuja kwako eti utamridhisha kimapenzi. Sio kweli. Mapenzi yanapaliliwa Kuna siku atapata Mwingine na ataona alichelewa atakimbilia Huko mtaakua watatu Sasa. Hatuwezi kuishi hivyo kama viumbe wasio na akili.
Kutubu kwa dhambi mkuu, inaendana sambamba na kusema ukweli kwa yule uliyemkosea mkuu Kama hio kuingiza mtoto ndani ya ndoa.
 
Hey,
Updates ni kwamba huyu mwanamke saiv tumepatana tena na haninunii na ujauzito tayari una miezi miwili,kaamua kuzaa,
halafu kuhusu mumewe itajulikana mtoto akizaliwa..uzuri jamaa alihama home,mwanamke kasema akiulizwa na yeye atawauliza kwani yeye ni mke wa nani?
aliyemuoa ndio aliyempa ujauzito,maana jamaa alisepa home bila any official release,so ngoja niendelee kuona itakuwaje...
Sasa inategemeana na jamaa kaondoka lini na mimba inamda gani Sasa.
Kwani yeye kaondoka lini?.
Lakini bro kumbuka pia Ni dhambi kumsingizia damu yako mwanaume mwingine sio ya uzinzi tuu , maana hata wewe umeshiriki kwenye hio dhambi. Akijifungua mchukue mtoto.
Ndo maoni yangu.
 
Muombe Mungu akusamehe maana wewe na huyo mwanamke mna laana,utajiona mjanja lakini una hatari kubwa sana.
 
Wakuu kwema?

Mwenzenu nina kisanga hapa, kuna mwanamke ni ex wangu, ila yeye aliolewa na wenye pesa kwa sherehe kubwa baada ya kuona mimi sieleweki na sina mpango wa kuwa mtumwa wa ndoa, jamaa yake saiv amekuwa mlevi na kiaina ni kama ameikacha familia, so mkewe baada ya kuona jamaa kasahau majukumu yake ya kindoa, ndio akaamua kunicheki, sababu alikuwa mtu wangu na amenona,nikamualika kwangu.

Hee si ikaonekana tunakumbushia ya zamani, mwanamke akanogewa akawa anakuja mara nyingi,Vsi nimeishia kumjaza tumbo, sasa anahaha kuitoa mi nimemwambia azae tu sishiriki dhambi ya uuaji, hata kama dhambi zote ni sawa, ila bora nibakie na ya uzinzi kuliko uuaji.

So swali langu ni kwa malaya wenzangu vipi ilikuwaje kwa aliyewahi kukutana na mkasa wa aina hii? Na aliumalizaje, maana wiki ya 3 sasa nimenuniwa na sielewi nini kinaendelea huko upande wa pili.
Mrejesho bro
 
Back
Top Bottom