Nimempa ujauzito mke wa mtu


Nyie ndo mnawaharibu watu kama hao kwa kuwapa ushauri mbaya. Kisheria, ndivyo ilivyo, lakini kuna sababu gani ya kujijengea chuki kama hzio, je, huyo aliyetendewa hivyo, hana ndugu na je, kama ni wewe umefanyiwa hivyo, mtu anajisifu kuwa huwezi kumfanya kitu ungejisikiaje, maana wakati mwingine jivue koti lako, vaa la mtendewa uone imekaaje. Hizo ni chuki za maisha, imeshuhudiwa hasa watu wenye uwezo wa kiefdha wakifanyiwa mambo makubwa ikiwepo kudhuriwa kwa sabau ya vitu kama hivyo.
 

Kweli kabisa, hapo ni hatari sana.
Inabidi huyu Granta afanye juu-chini akaombe msamaha kwa mwenye mke, na apatane naye.
Maana huwezi kujua mwenye mke anaweza kufanya nini, na atafanya hiyo kitu lini.
Unaweza ukajiona shujaa kwa miaka mingi tu, na ukaanza kusahau, ghafla hata hutajua 'umepigwa' kutokea wapi.
 
Last edited by a moderator:

Soma maelezo yake amefanya kwa kutokujua kama ni mke wa mtu,mara ngapi tunakutana na wadada wazuri barabarani na tunaexchnge contact then mahusiano yanaanza kama hajadeclare kua anamtu how could you know na yy anakuambia sina mtu. Pia msichana ndio kamfuata jamaa. Ambacho mdau granta anachokosea ni kujitapa kua hawezi kumfanya lolote mke wa mtu ni sumu hata kama mumewe hana nguvu
 

Mkuu asante kwa maelezo yako mazuri, sikufanya jambo hili nikiwa najua yule ni mke wa MTU, mwanamke mwenyewe ndiye aliyenifool kwa kutoniambia ukweli kama ashaolewa...! Sikufikiri kama kuna siku nitafanya kitendo cha kijinga namna hii
 

Nitaenda kupima magonjwa yote ya zinaa mwezi huu, najutia sana kitendo hiki cha kijinga na aibu, ningelijua mapema ni mke wa mtu nisingefanya uiinga huu
 

Asante kwa mchango wako, naomba kwa Mungu wangu hayo mambo yasinitokee coz sikufanya nikiwa najua kuwa ni mke wa MTU
 

Mkuu, sio kama najitapa LA. Sijui nifanyeje mambo haya yaweze kuisha kwa amani, najua inauma sana kut.o....wa mke
 

Mkuu Domo Zege, nimesoma maelezo yake na kushirikisha ubongo wangu katika kuyachambua na kuona huyu Granta ni mtu wa namna gani, haingii akilini mtu umefanya kosa ambalo hukujua kama ni kosa, halafu badala ya kulijutia, unakuja juu kuwa huwezi kufanywa chochote, ndio maana nikasema, sheria ikishindwa kutoa haki wananchi huchukua sheria mkononi, na kuna baadhi ya wadau hapo juu ukiwemo wewe, wasemshauri kuwa hana kosa kisherie. Nakuunga mkno kuwa kuna makosa kama hayo yanafanywa na watu, lakini ukishagundua, unasikitika, unaachana na hiyo kitu na sio kujitapa, unajitapa nini ilihali wewe ni mavumbi ? Ni wangapi wenye nguvu zaidi yako wamekuwepo na kuitikisa dunia lakini leo hawapo !!! Aidha, fikiria hayo yalitendwa kwa mkeo, mdogo, Dada au shemeji yako, then ukutane na bandiko linalojitapa kama hilo, Tafakari, chukua hatua. Ni aina gani hiyo ya jamii ambayo haiheshimu haki za wengine.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…