Usiogope hata kidogo huna kosa, hujabaka wala kumrubuni kimapenzi ni yeye kakufuata kwa hiari yake. Wewe endelea na mishemishe zako usijipe stress hata kidogo huna kosa kisheria. Nimeshuhudia kesi kama hii jamaa aliachiwa huru. Ila walipimwa DNA test confirm kama mtoto ni wake baada ya confirmation jamaa aliambiwa na mahakama kua ahudumie mtoto.
Nyie ndo mnawaharibu watu kama hao kwa kuwapa ushauri mbaya. Kisheria, ndivyo ilivyo, lakini kuna sababu gani ya kujijengea chuki kama hzio, je, huyo aliyetendewa hivyo, hana ndugu na je, kama ni wewe umefanyiwa hivyo, mtu anajisifu kuwa huwezi kumfanya kitu ungejisikiaje, maana wakati mwingine jivue koti lako, vaa la mtendewa uone imekaaje. Hizo ni chuki za maisha, imeshuhudiwa hasa watu wenye uwezo wa kiefdha wakifanyiwa mambo makubwa ikiwepo kudhuriwa kwa sabau ya vitu kama hivyo.