What your name? My name pipa given no your number whsp nikamp ndio hvy mkuu nilivyo mpa akanitomgoza mana niliona my darlng nyingi na i love nikajua tayari sasa huku mbele ndio tatizoMara ya kwanza mlielewanaje na mlitumia lugha gani?Mwambie mtumie lugha mliyoitumia kwa mara ya kwanza.
Acha upoyoyo, watu tunagegeda mabubu na story ziñapanda sembuse huyo anayeongea?Manzi katokea kunielewa. Kaniomba namba yangu ya whatsp nimempa juzi karudi kwao london nachat nae ila ile kilugha ya kidato sometime ananiuliza naishia kukaa kimya sometime nagoogle dictionary ndio nimjibu yaani nashindwa hata kumwambia bongo pagumu nitumie hela nifanyeje wakuu,
Download keyboard ya translationManzi katokea kunielewa. Kaniomba namba yangu ya whatsp nimempa juzi karudi kwao london nachat nae ila ile kilugha ya kidato sometime ananiuliza naishia kukaa kimya sometime nagoogle dictionary ndio nimjibu yaani nashindwa hata kumwambia bongo pagumu nitumie hela nifanyeje wakuu,
Kumbe mara ya kwanza alikuelewa?Endelezeni mlipoishia hivyohivyo au muone Ras Simba akunoe.What your name? My name pipa given no your number whsp nikamp ndio hvy mkuu nilivyo mpa akanitomgoza mana niliona my darlng nyingi na i love nikajua tayari sasa huku mbele ndio tatizo
Madam 🤣🤣🤣hihihihiiiiii mwambie “sorry English is not my first language” halafu shusha ki brokeni chako.
Kwan ina tafsiri lugha
Sawa ngoja niende whatsap
Picha?Manzi katokea kunielewa. Kaniomba namba yangu ya whatsp nimempa juzi karudi kwao london nachat nae ila ile kilugha ya kidato sometime ananiuliza naishia kukaa kimya sometime nagoogle dictionary ndio nimjibu yaani nashindwa hata kumwambia bongo pagumu nitumie hela nifanyeje wakuu,
🤣🤣🤣What your name? My name pipa given no your number whsp nikamp ndio hvy mkuu nilivyo mpa akanitomgoza mana niliona my darlng nyingi na i love nikajua tayari sasa huku mbele ndio tatizo