Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Hongera utakuwa umeshapata mtaji 🤣🤣🤣Ubarikiwe nimefanya hivyo na kesho natumiwa pesa kama dolla 5000 hv
Japo hujasema huyo Manzi ni wa Taifa gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera utakuwa umeshapata mtaji 🤣🤣🤣Ubarikiwe nimefanya hivyo na kesho natumiwa pesa kama dolla 5000 hv
Mapema sana kusema shida zako kwa Mzungu.. VumiliaManzi katokea kunielewa. Kaniomba namba yangu ya whatsp nimempa juzi karudi kwao london nachat nae ila ile kilugha ya kidato sometime ananiuliza naishia kukaa kimya sometime nagoogle dictionary ndio nimjibu yaani nashindwa hata kumwambia bongo pagumu nitumie hela nifanyeje wakuu,
Asante kwa muongozo vp anafaa 🖕🖕🖕click expand kwenye coment yako ila haya mambo yatanishinda mana anauliza kazi yangu na je tz kuna fursa ganiMapema sana kusema shida zako kwa Mzungu.. Vumilia
Soma mtandao jinsi ya kuwini mapenzi ya kizungu.. Utafurahia milele
Na lazima useme una kazi akiukoza kiwango ndio utaje kidogo.. Ila usiombe pesa
Koroga Sukari vizuriiiii, mapenzi mbele muhimu kwa hao watu na kuonyesha uaminifu![]()
Sio nitakupigia saa 2 unajisahau au unafikiri ukimwekesha ndio unawini utampoteza
Wewe kama huwezi weka ka excuse then timiza
Kuna baridi kule sasa, hivyo mpe raha na kwenye simu mapenzi maneno matamu..
Naandika natamani wangu anipe maneno matamu now.. Mbantu wangu mTZ mwenzangu amalize ubizi anipe Sukari nami niikorogeeee eeeeh weekend
Chat gpt mkuu huku unajifua kwa rasi simba
NilipofikiaMwambie ukweli kuwa lugha yako mama ni swahili
Lakini endelea kuchapia na huku ukijinoa kwa wataalam wa english huku ukiendelea kutumia fursa hiyo.
Mwambie ukweli kuwa lugha yako mama ni swahili
Lakini endelea kuchapia na huku ukijinoa kwa wataalam wa english huku ukiendelea kutumia fursa hiyo.
Nilipofikia
Aisee!Acha upoyoyo, watu tunagegeda mabubu na story ziñapanda sembuse huyo anayeongea?
Kuwa serious kidogo.