Nimempata mwanamke wa kizungu ila lugha haipandi nifanyeje?

Mkuu muajiri mkalimani wa kizanaki GENTAMYCINE ila ukichelewa kumpa malipo atakusagia kunguni na anaweza akasepa na demu wako!
 
Ushawahi check movie inaitwa "Get Out"?
Kuna mwanamke wa Kimarekani yeye kazi yake ilikuwa kudate Waafrika na Blacks peke yake. Baada ya muda anakupeleka wa wazazi wake alafu wanashirikiana kukuuza kwa wazungu wenye pesa. Oh yeah! Wanachukua ubongo au kitu kama hicho.
 
Mpakie mkongo atajifunza kiswahili mpaka kinyumbani
 
Umemuokota sehemu au? Na kama hujuwi kiingereza ulimpataje? Au umeambiwa I love you ukajuwa umepata mpenzi? Wazungu ni kawaida yao kusema I love you bila kumanisha ni wapenzi.
 
Umemuokota sehemu au? Na kama hujuwi kiingereza ulimpataje? Au umeambiwa I love you ukajuwa umepata mpenzi? Wazungu ni kawaida yao kusema I love you bila kumanisha ni wapenzi.
 
Mkuu futa wazo la kuomba hela kwanini tuna tanguliza njaa sana we unajua kama wazungu akili zao na sisi zinawaza mambo tofauti na Mzungu wanapenda kujua Tabia za jamii kabla ya kuingia nayo kwenye Ushirika na Wazungu washajua ukiwa na Wafrika yeye atapenda pesa tu na siyo Mapenzi, ukiwanae na umuombi pesa anakua ana shangaa kimoyo moyo, Maana wananchi tumeshazoeshwa wanzungu wana pesa na Matajiri kitu ambacho siyo kweli Tanzania hii kuna watu wa kawaida wana pesa wazungu wanasubiri.
 
Wewe panda ndege tu kiingereza utajulia hukohuko London. Ukichelewa wahuni watamjaza mimba
 
Muongo wewe lete hbr zingine Acha ujinga wako huo
 
Weee kwenu Dodoma au? Mbona una asilibya kua omba omba? Nan alkuambia ukiwa na urafk na mzungu unabadilka unakua omba omba ?naye ana stress za kwao na anahitaj kukaa bila kuongezewa stress!! Kaa utulie tafuta pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…