Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Namuunga mkono akunyime kabisa! Kwa kuwa angekupa ungekuwa umenunua na si kwa ajili ya mapenzi; Hivyo ashikilie msimamo huo huo. Kuna wasichana wanaojitambua wasiotaka kufanywa hovyo hovyo hasa kama hajakupenda!We mbulula tu umeshindwa kusoma saikolojia ya mtu,tumia akili usitumie nguvu na nikuhakikishie tu ukiacha papara basi utampata kirahisi sana,
Huyo dada anaweza asiwe bikira kama unavodhani(au akawa nayo that is not a big deal) unachotakiwa kufanya ni kujenga kwanza ukaribu naye akuamini kwanza(hapa lazima ujue watu wanatofautiana)sasa mwenzangu anaona upo kwake kwa ajili ya sex tu ndo maana anasita kozi anaona ukishapata unachokitaka utakimbia,
Kwa mfano baada ya kuona yuko hivo ilibid ujifanye hujali sana kuhusu hilo na pia shida ndogondogo ungemsaidia lakini hii ya nipe nikupe inaaply kwa baadhi ya watu
We mbulula tu umeshindwa kusoma saikolojia ya mtu,tumia akili usitumie nguvu na nikuhakikishie tu ukiacha papara basi utampata kirahisi sana,
Huyo dada anaweza asiwe bikira kama unavodhani(au akawa nayo that is not a big deal) unachotakiwa kufanya ni kujenga kwanza ukaribu naye akuamini kwanza(hapa lazima ujue watu wanatofautiana)sasa mwenzangu anaona upo kwake kwa ajili ya sex tu ndo maana anasita kozi anaona ukishapata unachokitaka utakimbia,
Kwa mfano baada ya kuona yuko hivo ilibid ujifanye hujali sana kuhusu hilo na pia shida ndogondogo ungemsaidia lakini hii ya nipe nikupe inaaply kwa baadhi ya watu
Ila anayejitambua ukitanguliza sex pia hatokuelewa mimi binafsi mtu anayetanguliza ngono hatuwezi elewana yaan na shida ya mwandishi alitaka kula kimasihara,sio kila mtu analiwa kimasiharaWanawake wa kisasa ukicheka nao.. wanaweza kukuuzia ukimwi kwa gharama kubwa.
Mwanamke anataka hela yako kwa kisingizio anakusoma huyo hafai. Yaani kukusoma ndio akulie hela zako unazozipata kwa tabu,, Mwanamke mstaarabu hawezi kuomba hela kwa mwanaume ambaye hana mahusiano naye au hamtaki
Ila anayejitambua ukitanguliza sex pia hatokuelewa mimi binafsi mtu anayetanguliza ngono hatuwezi elewana yaan na shida ya mwandishi alitaka kula kimasihara,sio kila mtu analiwa kimasihara
Huyu binti ambaye niliwahi kuleta taarifa yake ya kuninyima mzigo licha ya kulala kwake siku 2.
Wadau walitoa maoni yao nikawaelewa. Nikambana kwanini alifanya vile akasema ni woga tu( nahisi ni bikira).
Nikaendelea naye chatting and so.
Kaniomba nimwongezee pesa alipie chumba nikampa ahadi. Leo jioni/usiku nimempelekea nimemsihi anipe mzigo kaniambia siku nyingine atanipa. Nimetumia nguvu nikaona haelekei mwisho naweza kubaka bure. Nikavaa nguo nimetoka bila kumuaga na pesa sijampa. Kwakweli kanifanyia uhuni sana.
Kwa hyo ulishavua na nguo kabisa?Huyu binti ambaye niliwahi kuleta taarifa yake ya kuninyima mzigo licha ya kulala kwake siku 2.
Wadau walitoa maoni yao nikawaelewa. Nikambana kwanini alifanya vile akasema ni woga tu( nahisi ni bikira).
Nikaendelea naye chatting and so.
Kaniomba nimwongezee pesa alipie chumba nikampa ahadi. Leo jioni/usiku nimempelekea nimemsihi anipe mzigo kaniambia siku nyingine atanipa. Nimetumia nguvu nikaona haelekei mwisho naweza kubaka bure. Nikavaa nguo nimetoka bila kumuaga na pesa sijampa. Kwakweli kanifanyia uhuni sana.