bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Una uhakika hana ngoma? Be careful kijana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa sio kwa huo ugwadu aliokua nao nahisi hata demu ameogopa maana kufika na kufika tu kavua nguo zote ndio akaanza kuomba mzigo 🤣🤣🤣🤣🤣Kwa hyo ulishavua na nguo kabisa?
Ule Uzi umeharibu sana watu acha tu. Pengine alitaka kuja simulia masihara yake kama wengine, ko alikua anajaribu masihara za wengine kama zitafanya kazi kwake.Ila anayejitambua ukitanguliza sex pia hatokuelewa mimi binafsi mtu anayetanguliza ngono hatuwezi elewana yaan na shida ya mwandishi alitaka kula kimasihara,sio kila mtu analiwa kimasihara
[emoji3][emoji3][emoji3]Kwa hyo ulishavua na nguo kabisa?
Mwenzako kanyimwa chululuuu ety halafu unampongeza [emoji23]HUYU DADA MWENZANGU JAMANI NAMPONGEZA MNO HATUKO KUUZA HAPA JAMANI ...JIHESHIMUNI WABABA...wish nimuone na kumpongeza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Kwa hyo ulishavua na nguo kabisa?
Uishi miaka mingi mfalme....Huyu binti ambaye niliwahi kuleta taarifa yake ya kuninyima mzigo licha ya kulala kwake siku 2.
Wadau walitoa maoni yao nikawaelewa. Nikambana kwanini alifanya vile akasema ni woga tu( nahisi ni bikira).
Nikaendelea naye chatting and so.
Kaniomba nimwongezee pesa alipie chumba nikampa ahadi. Leo jioni/usiku nimempelekea nimemsihi anipe mzigo kaniambia siku nyingine atanipa. Nimetumia nguvu nikaona haelekei mwisho naweza kubaka bure. Nikavaa nguo nimetoka bila kumuaga na pesa sijampa. Kwakweli kanifanyia uhuni sana.
Kwa hyo ulishavua na nguo kabisa?
Asante sanaUishi miaka mingi mfalme....
Huyu kaamua kujifariji tuDemu kapanga chumba, alafu awe bikira!. Haiwezekani nitabisha mwaka mzima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jmnJamaa sio kwa huo ugwadu aliokua nao nahisi hata demu ameogopa maana kufika na kufika tu kavua nguo zote ndio akaanza kuomba mzigo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]