Nimempenda lakini hatufahamiani

Nimempenda lakini hatufahamiani

Hana,angekua na hela mambo yangekua yameshajipa wala asingefika huku kuja kulia lia kuomba msaada

ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]
[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Rubiikimimi[emoji85]
 
Habari wakuu

Nimetokea kumpenda Binti wa kitanzania

Kuna siku nimejaribu kuongea naye.... Maongezi yalikuwa hivi

Zehoes :Mambo VIP?

Binti :safi!!!

Zehoes :Unaitwa nani??

Binti :staki

Zehoes :naomba namba za simu bidada

Binti :staki

Zehoes :mmmhh

Mwisho wa maongezi...


Nilijiona sina thamani lakini bado nampenda huyu Binti ...

Ombi langu kwenu mlionitangulia kuja mjini... Nahitaji Binti tufahamiane naye...Hivyo nipeni mautundu ya kufanya awe wangu....

Msinishambulie kwa mapovu jamani... Nipeni ushauri namna ya kumpata huyu
Penda kula nae chipsi mayai kama wanaume wa Dar wafanyavyo
 
yeah huwa namtolea mimacho tu... Mara kibao anajipitisha hapa offisini kwangu
mwanaume lazma uwe na comfidence hasa kwa hawa viumbe..mfuate muda ambao yupo mwenyewe ongea nae ishu za kawaida kwa muda alafu hit the point mshike mkono then sogea zaidi karibu yake muda wa usiku itakua vizuri(utakua na comfidence zaidi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hichi kitu sikipendi it once happened to me,dem nmekutana nae road namp hi anajbu kam hataki,naomb namb et "sina simu" akat nmemuona nayo nilihisi vbaya ,since then hua sishobokei dem ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una papara na unaweza ukawa na mawazo ya uovu, siku ya kwanza kuongea uliuliza maswali magumu sana, jina na namba ya simu, ungempa muda angekuelewa maana watoto wa kike wana saikolojia ya kuzaliwa kwa KUSIKILIZA, ndio maana kuna msemo usemao WANAWAKE HUPENDA KWA KUSIKIA NA WANAUME KWA KUONA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jina kakukatalia bado ukamuomba namba ya simu
hivi nyie wa mikoani mna matatizo gani ??

labda mmezoea kupigana ngwala vichakani kisha mnamalizana
Aibu naona mimi

Itakua katoto haka
 
Back
Top Bottom