cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kwendraaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakupataje tuyamalize [emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwendraaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakupataje tuyamalize [emoji3][emoji3][emoji3]
Usinifanyie hvo sasaKwendraaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo mkuu, habari ya uzima?
NaniiiKuna mtoto wa mtu nampendaaaaa
Ipo siku nitamtag ajue kwamba anapendwa mno na mimiNaniii
Mwaka unaisha huu mtag saivi tuIpo siku nitamtag ajue kwamba anapendwa mno na mimi
Sema nishamjua acha iwe siri yangu na mimi!Ipo siku nitamtag ajue kwamba anapendwa mno na mimi
Kumtag naogopa ila ipo siku atajua tuu nampendaMwaka unaisha huu mtag saivi tu
Hahahahaa sema ni nani unaweza kuta ukawa umenisaidia pakubwa kufikisha ujumbeSema nishamjua acha iwe siri yangu na mimi!
Mmh sitaki ugomvi na mtu ila mnaheshimiana sana sasa sijui ndo umefall hapo ndugu yangu 🤣Hahahahaa sema ni nani unaweza kuta ukawa umenisaidia pakubwa kufikisha ujumbe
Hahahahaa nitumie hata jina pm basi kuepusha ugomviMmh sitaki ugomvi na mtu ila mnaheshimiana sana sasa sijui ndo umefall hapo ndugu yangu 🤣
Usimsumbue Mke wangu,,Joannah
Sio mwezi wa kujaribu bahatiKwa mwanaume, huu ni mwezi wa kukaa kimachale sana...
Sitaki tena nishapata mwingine
Hahahahaha, hakuna wakunificha zaidi yako, ila tu majukumu ndio mengi ,rafiki🥰🥰😍😍😍🥰Hivi nani anayekuficha hivyo my hubby jamani?
Mtoto wako? Kivipi ?Hahaha huyo ni mtoto wangu mkuuu