Nimempenda mtoto wa watu huku

Nimempenda mtoto wa watu huku

Usiweke moyo wako ulivyo peupe ..
Wewe ni mtu mkubwa sana ujue.
Mi mzima mkuu
😂 😂 mimi ni mtanzania mnyonge To yeye niko hapa kuwakumbusha upinzani zoezi la kuboresha daftari linazidi kuchanja mbuga wasilaze masikio
 
Bila Shaka huyu alikuwa Makenzi.
1733919578406.jpg
 
Aisee nimejikuta nampenda huyu member KENZY
Mfuatilieni .jamaa ana kitu apewe ulinzi
Mimi nimemjua Jana tu
Kama hajaoa naombeni mniweke pale ndugu zanguni.
Napenda kufurahi Mimi
Kenzy nitakucheki saa tano usiku pm

Naskia ameoa hko mafinga na ana watoto wawili
 
Nimeweka mazoea na yeye Ila sijaona akinizoea ,nimejaribu kupitia komenti na thread zake zote walau nikomenti kwa heshima na kumpa like Ila bado hajaelewa ,Sasa nasubiri siku nilewe niamke asubuhi na uzi wa kueleza yaliyomo kwenye kirindi Cha moyo wangu .

Ombi kwako naomba siku ukiona uzi huo ungana nami kumplease anikubali ,la sivyo mtanipoteza kwa aibu hapa jamvini
Tatizo id
 
Back
Top Bottom