KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Natabiri baada ya Xmas na mwaka mpya lazima uje kulia hapa wewe jamaa kuwa amekutukana kwa kukuita mtu mrefu kwenda chini🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natabiri baada ya Xmas na mwaka mpya lazima uje kulia hapa wewe jamaa kuwa amekutukana kwa kukuita mtu mrefu kwenda chini🤣
Bana weee usinipangie maisha mimi 😀😀😀😀Huko ndo kabisaaa hatariii, kimbia haraka sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuambia ukweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bana weee usinipangie maisha mimi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nakupataje tuyamalize 😀😀😀Nakuambia ukweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eeh kumbe mfupi?Lazima tumwambie ukweli kuwa watu wafupi mna hasira zipo karibu sana ili kikinuka asije kutulaumu🤣
Nilimuambia saa tano usikuMkuu we mjanja sana, umechelewa kujibu ili asikuone maharage ya mbeya.
Baada myWow! karibu kwenye ulimwengu wa kenzy, hapa vilivyo vigumu hulegea! vichachu huwa vitamu na huzuni huwa vicheko!.
Hatimae malaika kaamua kushuka mwenyewe..😂😍😍
mimi nimeuliza tu mkuu😂Kwa hiyo mmeamua kunisagia sumu na kunipeperushia ndege wangu sio?
Sawa mkuu nilikuwa nakukumbusha huo mtego😂December namimi ni member..🤣
sawaSawa mkuu nilikuwa nakukumbusha huo mtego😂
si mnasema ni mshangazi mbona maonyo ni mengi sana...🤣Christmas,mwaka mpya,ada .
si mnasema ni mshangazi mbona maonyo ni mengi sana...🤣
Aiseetunaijua iyo...
loose goat ndio mwezi wenu huu
shalom! To yeyeAisee