Nimempenda mtoto wa watu huku

Nimempenda mtoto wa watu huku

Usipokee simu akipiga mara tano mtumie msg, "una dharau sana unanipigiaje simu nyingi hivi, mi na wewe basi siwezi kuwa na mwanamke ananidharau hivi"

Akikung'anga'nia sema upewe nyingine
Hii nimeichukua. Vipi sass kama bado nataka kumkula one last time maana juzi kaniom a hela ya kuongeza mtaji nikampa sasa nataka nimkule kabla ya xmas na new year nisepe zangu. Nipe maujanja hapo
 
Jilipue Tu mkuu
Nimeweka mazoea na yeye Ila sijaona akinizoea ,nimejaribu kupitia komenti na thread zake zote walau nikomenti kwa heshima na kumpa like Ila bado hajaelewa ,Sasa nasubiri siku nilewe niamke asubuhi na uzi wa kueleza yaliyomo kwenye kirindi Cha moyo wangu .

Ombi kwako naomba siku ukiona uzi huo ungana nami kumplease anikubali ,la sivyo mtanipoteza kwa aibu hapa jamvini
 
Back
Top Bottom