Nimempenda mtoto wa watu huku

Nimempenda mtoto wa watu huku

Aisee nimejikuta nampenda huyu member KENZY
Mfuatilieni .jamaa ana kitu apewe ulinzi
Mimi nimemjua Jana tu
Kama hajaoa naombeni mniweke pale ndugu zanguni.
Napenda kufurahi Mimi
Kenzy nitakucheki saa tano usiku pm
Wow! karibu kwenye ulimwengu wa kenzy, hapa vilivyo vigumu hulegea! vichachu huwa vitamu na huzuni huwa vicheko!.

Hatimae malaika kaamua kushuka mwenyewe..😂😍😍
 
Huyo kijana KENZY namjua ni mfupi ana kipara na mnene ana kitambi
haha! mkuu maandishi tu nimepata baby siku nikiweka picha yangu humu warembo wote watajaa pm!..🤣
Mimi ndo ile sukari ya warembo unayosikia ikitamkwa nakuwashusha warembo udenda!
 
haha! mkuu maandishi tu nimepata baby siku nikiweka picha yangu humu warembo wote watajaa pm!..🤣
Mimi ndo ile sukari ya warembo unayosikia ikitamkwa nakuwashusha warembo udenda!
Naona umechotwa umejaa haha.
Mleta uzi amefanikiwa sana
 
Back
Top Bottom