Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Usipokee simu akipiga mara tano mtumie msg, "una dharau sana unanipigiaje simu nyingi hivi, mi na wewe basi siwezi kuwa na mwanamke ananidharau hivi"Ni vibomu kila sehemu kwanza ngoja nimbwage huyu mrembo.
Wazee m atumia mbinu ga i kuwabwaga pisi kali
Mie nimefanya breakups kwanza tutaapologies februaryKwa mwanaume, huu ni mwezi wa kukaa kimachale sana...
Anafaa na za ndani ndani nasikia anajua kushenyenta.......usitunyime ubuyu wanao πΉMbona unanitisha ndugu yangu? Hafai kwa matumizi?
Mbwagie huku kwangu mkuu,Ni vibomu kila sehemu kwanza ngoja nimbwage huyu mrembo.
Wazee m atumia mbinu ga i kuwabwaga pisi kali
Hii nimeichukua. Vipi sass kama bado nataka kumkula one last time maana juzi kaniom a hela ya kuongeza mtaji nikampa sasa nataka nimkule kabla ya xmas na new year nisepe zangu. Nipe maujanja hapoUsipokee simu akipiga mara tano mtumie msg, "una dharau sana unanipigiaje simu nyingi hivi, mi na wewe basi siwezi kuwa na mwanamke ananidharau hivi"
Akikung'anga'nia sema upewe nyingine
Unapenda k mzabzab .huzichoki.staafu.me nishastaafu yani sina time na sex kabisa Nina miaka 2 sasa almost.nyege zikija naenda kwa mwamposa kukemeaπ€£π€£π€£ Usajori mpya muhimu sana sii unajua mwanaume lazima uwe na mademu watatu siku pisi ikisema ikubwage u apakujishikiza
asikwambie mtu mwanamke kupata mimba angali anamtoto mdogo huwa anataman ardhi ipasuke aingiemoHahaha alijazwa analea tena,ata wakipishana mienzi sita sita sio mbaya,maandiko yanasema zaeni mkaujaze ulimwengu
Jilipue Tu mkuuSiku nitakayo amua kumsema ninaye mpenda hapa jamvini na akinikataa mbele yenu ndiyo sitarudi tena mpaka jukwaani kwenu hata kwa dawa
Kwahiyo haujui inavyoombwa??? πHii nimeichukua. Vipi sass kama bado nataka kumkula one last time maana juzi kaniom a hela ya kuongeza mtaji nikampa sasa nataka nimkule kabla ya xmas na new year nisepe zangu. Nipe maujanja hapo
Yaani Mimi mtu akiniambia habari za kugegedana tena aongezee na swala la kutaka mtoto nakimbia na chupi mkononi kabisa weeee weeeasikwambie mtu mwanamke kupata mimba angali anamtoto mdogo huwa anataman ardhi ipasuke aingiemo
Nimateso
Mwache mwenzio bas πππ kama betry lipo low je asijchajiπ€π€π€ππ½ββοΈππ½ββοΈMiss siunalea wew?
Kwa hiyo mmeamua kunisagia sumu na kunipeperushia ndege wangu sio?Hivi huu ni mwezi wa ngapi vile?
Nimeweka mazoea na yeye Ila sijaona akinizoea ,nimejaribu kupitia komenti na thread zake zote walau nikomenti kwa heshima na kumpa like Ila bado hajaelewa ,Sasa nasubiri siku nilewe niamke asubuhi na uzi wa kueleza yaliyomo kwenye kirindi Cha moyo wangu .Jilipue Tu mkuu