Nimempiga mfanyakazi mwenzangu baada ya kula mbele yangu na akijua mie nimefunga

Nimempiga mfanyakazi mwenzangu baada ya kula mbele yangu na akijua mie nimefunga

Ujinga mie sitaki hata kidogo yaani mie nimefunga swaumu kwenye mwezi huu mtukufu wa ramadhani halafu kuna lijinga limoja likakaa mbele yangu na kuanza kula bytes zake na sharubati lakini nikamdhalisha oyaa mie nimefunga sihitaji kero hata kidogo lakini nafikiri kwa ujeuri wake akaanza kuniongelea majibu ya kijinga

Akawa ananipa kashfa juu ya kashifa kwamba kufunga utafunga wewe? Aisee nilichukia bwana nikampiga kofi mbili na ngumi akaanguka chini na kuzimia pale pale aisee nimechanganyikiwa hapa na ukizingatia mtu mwenyewe niliyempiga ni mwanamke daaah najuta sana aisee😩😩😩😩
Wewe hauna akili
 
Wewe haujafunga, wanaofunga hawasemi na ni wavumilivu kwa wengine. Wewe umebadirisha ratiba ya kula chakula tu, maana wanaofunga hawapigani na hawana hasira za aina hiyo. Kukataa kula uamue mwenyewe halafu upige wanaokula. Shida kweli kweli
Huyu itakuwa kufulia kumemlazimisha ashinde njaa.🤣🤣🤣
 
Ujinga mie sitaki hata kidogo yaani mie nimefunga swaumu kwenye mwezi huu mtukufu wa ramadhani halafu kuna lijinga limoja likakaa mbele yangu na kuanza kula bytes zake na sharubati lakini nikamdhalisha oyaa mie nimefunga sihitaji kero hata kidogo lakini nafikiri kwa ujeuri wake akaanza kuniongelea majibu ya kijinga

Akawa ananipa kashfa juu ya kashifa kwamba kufunga utafunga wewe? Aisee nilichukia bwana nikampiga kofi mbili na ngumi akaanguka chini na kuzimia pale pale aisee nimechanganyikiwa hapa na ukizingatia mtu mwenyewe niliyempiga ni mwanamke daaah najuta sana aisee😩😩😩😩
bora ufungulie tu. kufunga ni juu yako na Mungu wako, siye wengine hatpaswi hata kujua wala kujizuia kwa lolote
 
Ujinga mie sitaki hata kidogo yaani mie nimefunga swaumu kwenye mwezi huu mtukufu wa ramadhani halafu kuna lijinga limoja likakaa mbele yangu na kuanza kula bytes zake na sharubati lakini nikamdhalisha oyaa mie nimefunga sihitaji kero hata kidogo lakini nafikiri kwa ujeuri wake akaanza kuniongelea majibu ya kijinga

Akawa ananipa kashfa juu ya kashifa kwamba kufunga utafunga wewe? Aisee nilichukia bwana nikampiga kofi mbili na ngumi akaanguka chini na kuzimia pale pale aisee nimechanganyikiwa hapa na ukizingatia mtu mwenyewe niliyempiga ni mwanamke daaah najuta sana aisee[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Bro nenda kituo cha polisi kilichokaribu yako ukaripoti hilo tukio la uvunjifu wa amani na kujeruhi kwa kukusudia, halafu punguza hasira
 
Ujinga mie sitaki hata kidogo yaani mie nimefunga swaumu kwenye mwezi huu mtukufu wa ramadhani halafu kuna lijinga limoja likakaa mbele yangu na kuanza kula bytes zake na sharubati lakini nikamdhalisha oyaa mie nimefunga sihitaji kero hata kidogo lakini nafikiri kwa ujeuri wake akaanza kuniongelea majibu ya kijinga

Akawa ananipa kashfa juu ya kashifa kwamba kufunga utafunga wewe? Aisee nilichukia bwana nikampiga kofi mbili na ngumi akaanguka chini na kuzimia pale pale aisee nimechanganyikiwa hapa na ukizingatia mtu mwenyewe niliyempiga ni mwanamke daaah najuta sana aisee😩😩😩😩
ulichokifanya sio sahihi.Mimi nimefunga lakini kila mda niko kwenye page za chakula na niko fresh tu 😂
 
Ujinga mie sitaki hata kidogo yaani mie nimefunga swaumu kwenye mwezi huu mtukufu wa ramadhani halafu kuna lijinga limoja likakaa mbele yangu na kuanza kula bytes zake na sharubati lakini nikamdhalisha oyaa mie nimefunga sihitaji kero hata kidogo lakini nafikiri kwa ujeuri wake akaanza kuniongelea majibu ya kijinga

Akawa ananipa kashfa juu ya kashifa kwamba kufunga utafunga wewe? Aisee nilichukia bwana nikampiga kofi mbili na ngumi akaanguka chini na kuzimia pale pale aisee nimechanganyikiwa hapa na ukizingatia mtu mwenyewe niliyempiga ni mwanamke daaah najuta sana aisee😩😩😩😩
Kama ulishindwa Kuvumilia mpaka akamaliza ulishindwa nini kutoka nje kidogo akala akamaliza ukarudi ndani kwahio kama umefunga wewe wengine ndio wasile. itoshe kusema we ni fala wa mwisho
 
Ujinga mie sitaki hata kidogo yaani mie nimefunga swaumu kwenye mwezi huu mtukufu wa ramadhani halafu kuna lijinga limoja likakaa mbele yangu na kuanza kula bytes zake na sharubati lakini nikamdhalisha oyaa mie nimefunga sihitaji kero hata kidogo lakini nafikiri kwa ujeuri wake akaanza kuniongelea majibu ya kijinga

Akawa ananipa kashfa juu ya kashifa kwamba kufunga utafunga wewe? Aisee nilichukia bwana nikampiga kofi mbili na ngumi akaanguka chini na kuzimia pale pale aisee nimechanganyikiwa hapa na ukizingatia mtu mwenyewe niliyempiga ni mwanamke daaah najuta sana aisee😩😩😩😩
Dah. Shehe unakosea.
 
Wapo wanakunja kanzu wafungie kiunoni soon kinawaka hapa....
 
Ujinga mie sitaki hata kidogo yaani mie nimefunga swaumu kwenye mwezi huu mtukufu wa ramadhani halafu kuna lijinga limoja likakaa mbele yangu na kuanza kula bytes zake na sharubati lakini nikamdhalisha oyaa mie nimefunga sihitaji kero hata kidogo lakini nafikiri kwa ujeuri wake akaanza kuniongelea majibu ya kijinga

Akawa ananipa kashfa juu ya kashifa kwamba kufunga utafunga wewe? Aisee nilichukia bwana nikampiga kofi mbili na ngumi akaanguka chini na kuzimia pale pale aisee nimechanganyikiwa hapa na ukizingatia mtu mwenyewe niliyempiga ni mwanamke daaah najuta sana aisee😩😩😩😩
We ni fala tu,mambo yako usisumbue wengine nyau we.
Kama ni mke wangu huyo hata mchepuko maji ungeita Mma.
 
Ujinga mie sitaki hata kidogo yaani mie nimefunga swaumu kwenye mwezi huu mtukufu wa ramadhani halafu kuna lijinga limoja likakaa mbele yangu na kuanza kula bytes zake na sharubati lakini nikamdhalisha oyaa mie nimefunga sihitaji kero hata kidogo lakini nafikiri kwa ujeuri wake akaanza kuniongelea majibu ya kijinga

Akawa ananipa kashfa juu ya kashifa kwamba kufunga utafunga wewe? Aisee nilichukia bwana nikampiga kofi mbili na ngumi akaanguka chini na kuzimia pale pale aisee nimechanganyikiwa hapa na ukizingatia mtu mwenyewe niliyempiga ni mwanamke daaah najuta sana aisee😩😩😩😩
Pole sana mkuu na saumu. Kigezo kuu ya kufunga si kukaa na njaa bali ni sabr ( subira), kusamehe, na upendo. Jitafakari hapo.
 
Back
Top Bottom