American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 673
- 974
Hii ndo JF ya kizazi cha sasa!! Una ugonjwa wa akili. Pathetic fool!Ujinga mie sitaki hata kidogo yaani mie nimefunga swaumu kwenye mwezi huu mtukufu wa ramadhani halafu kuna lijinga limoja likakaa mbele yangu na kuanza kula bytes zake na sharubati lakini nikamdhalisha oyaa mie nimefunga sihitaji kero hata kidogo lakini nafikiri kwa ujeuri wake akaanza kuniongelea majibu ya kijinga
Akawa ananipa kashfa juu ya kashifa kwamba kufunga utafunga wewe? Aisee nilichukia bwana nikampiga kofi mbili na ngumi akaanguka chini na kuzimia pale pale aisee nimechanganyikiwa hapa na ukizingatia mtu mwenyewe niliyempiga ni mwanamke daaah najuta sana aiseeπ©π©π©π©
Kama Jaribu Hilo tu Umelishidwa Je mbunye Nyeeeh mbele yako utafanyaje Acheni Makasiliko,Kufunga si kila Mtu ajue Umefunga,Ukiona Bored π toka eneo la tukio si FujoUjinga mie sitaki hata kidogo yaani mie nimefunga swaumu kwenye mwezi huu mtukufu wa ramadhani halafu kuna lijinga limoja likakaa mbele yangu na kuanza kula bytes zake na sharubati lakini nikamdhalisha oyaa mie nimefunga sihitaji kero hata kidogo lakini nafikiri kwa ujeuri wake akaanza kuniongelea majibu ya kijinga
Akawa ananipa kashfa juu ya kashifa kwamba kufunga utafunga wewe? Aisee nilichukia bwana nikampiga kofi mbili na ngumi akaanguka chini na kuzimia pale pale aisee nimechanganyikiwa hapa na ukizingatia mtu mwenyewe niliyempiga ni mwanamke daaah najuta sana aiseeπ©π©π©π©