Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje wanapata mkopo?Hongereni na hicho ndicho mlichofata chuoni na serikali inawapa mikopo na mkipewa mnakula mnavimbiwa basi mnaanza kula kwa urefu wa kamba zenu mnaumuana na nyuso Kama unga wa maandazi na hapohapo tunategemea muwe wataalum katika fani zenu mje mtusaidie watanzania wenzenu!.
Mungu aibariki kazi ya mikono yako.
🤣Sawa Bw. Greenwood wa Bongo!
Hata Kama.Umejuaje wanapata mkopo?
Inawezekana ila najutia mnoUnampenda asiyekupend. Kama mko chuo anakupenda kwa sababu unamsaidia kitaaluma. Baada ya hapo mfanya kazi wa benki ambaye ndo mume mtarajiwa anatuma hela ya matumizi mnatumia wote. Kama unamsaidia kitaaluma haina shida ila baada ya graduation utaona vumbi kama la Kibondo-Kasulu
Nop, hata kama ila si anijibu kwa ukaliSasa kama 93% ya mahitaji ananunua yeye na wewe anakupiga tough wakati hana kazi hujui kama unatunzwa na huyo mfanyakazi wa benki!
Hapana sio MariooMarioo! Unaachaje kumpenda kwa mfano!
Ni left punch mzeeilikuwa left or right punch 🤜
uppercut jebu
mwanamke apigwi mzee be careful
HamnaHongereni na hicho ndicho mlichofata chuoni na serikali inawapa mikopo na mkipewa mnakula mnavimbiwa basi mnaanza kula kwa urefu wa kamba zenu mnaumuana na nyuso Kama unga wa maandazi na hapohapo tunategemea muwe wataalum katika fani zenu mje mtusaidie watanzania wenzenu!.
Mungu aibariki kazi ya mikono yako.
Hatuwezi kufika hukoKwa akili zako hizo ipo siku mtagawana majengo huku wazazi wakibaki na simanzi.
Kivipi?Umeandik wewe, naona aibu mimi.
Sivumiliagi ujingaKiukweli naomba wakukamate unyee ndoo kijana acha ungese uliopitiliza unampigaje mwanamke ambae sio mkeo eti kisa SMS hata kama ni mkeo hupaswi na koma.
Unafeli wapi kutumia ustaarabu na kumaliza jambo dogo kama hilo ipo siku yako u tau na ww utanyongwa na nitafurahi mnoo [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
BabyYee mwenyewe anaonekana anajutia kupoteza hizo huduma na si mapenzi!
Mapenzi ya chuoni sio ya kweli kabisa ni kusaidiana tu (anakusaidia na wewe unamsaidia) hivyo usijione kama umekuwa mmiliki.Wanajamvi uzima upo? Ninaishi na mpenzi wangu, sijamuoa ila tunaishi wote, na wote tu wanachuo hapa DSM. Jana usiku nilifuma msg katika simu ya huyu mpenzi wangu ya mapenzi(ilikuwa msg chafu iliyodhihirisha kuwa alikuwa akiliwa na mwanaume mmoja mfanyakazi wa bank).
Alikuwa bafuni, kwa kweli nilihamaki sana, nikamsubiri amalize kuoga nikamuuliza, ajabu ananijibu jeuri, kws kweli nikampiga kwani nilikuwa na hasira, nilipiga ngumi jichoni, sasa jicho lilitoka damu, nina hofu anaweza kupofuka hilo jicho?
Au nilimkwaruza bahati mbaya tu?
Baada ya kuona hivyo nikamuacha na nikaita boda kumkimbiza hospitali baada ya kumnawisha. Halafu kingine alivimba mno uso, je, haitoniletea shida kwa madaktari hivyo kunikamatisha polisi?
Kifupi bado nampenda, tena sana na zaidi ya 93% ya mahitaji hununua yeye, na hata nikikwama hunisapoti naweza kusema hunisapoti sana.
Nawasilisha!
ID ni moja tuHv humu kuna Ma zee korofi wangapi??