Nimempiga mpenzi wangu baada ya kukuta ujumbe wa kimapenzi kwenye simu yake

Nimempiga mpenzi wangu baada ya kukuta ujumbe wa kimapenzi kwenye simu yake

Nashukuru kwa wote mlionipa moyo, ahsanteni. Jana nilikwenda saa 11 nikaambiwa kumbe hakupofuka jicho, ila uso ulivimba vibaya sana, na mkono uliteguka kwani nakumbuka niliunyonga, na mdomo wa juu ulipasuka kidogo.

Uzuri kule kaandika alivamiwa na vibaka, so nashukuru kwa hili!

Kifupi nna hasira mno, akizingua tena siwezi kumkawiza namzibua I don't care. Bora anitukane ila si kunijibu jeuri.

So nashukuru, bado namuuguza, now amepata nafuu.
 
Mapenzi ya chuoni sio ya kweli kabisa ni kusaidiana tu (anakusaidia na wewe unamsaidia) hivyo usijione kama umekuwa mmiliki.
Na ukikuta mwenzako ana plan B unajiongeza na kuondoka wala huna haja ya kupiga dada wa watu (Co partner wako akiwa na tabia tofauti unamuacha na sio kumpiga)
Na wewe umedhibitisha kabisa kuwa sio matured kabisa, yaani unampiga msichana wa watu ngumi ya jicho? hapo unaweza kuletewa Police any time ( kwa kujeruhi kwa maksudi)
Ningekuwa mzazi wake ningehakikisha ufungwa walau miaka miwili ili ukakulie huko! SHAME!
Na ndio maana hujawa, hata ungekuwa usingeweza.[emoji13][emoji13]
 
Hilo mimi sijui. Iwe mke wangu au sio mke wangu, nabutua. Iwe ameamua au hajaamua sitaki kujua hilo atajua yeye.
 
Wanajamvi uzima upo?

Ninaishi na mpenzi wangu, sijamuoa ila tunaishi wote, na wote tu wanachuo hapa DSM. Jana usiku nilifuma msg katika simu ya huyu mpenzi wangu ya mapenzi(ilikuwa msg chafu iliyodhihirisha kuwa alikuwa akiliwa na mwanaume mmoja mfanyakazi wa bank).

Alikuwa bafuni, kwa kweli nilihamaki sana, nikamsubiri amalize kuoga nikamuuliza, ajabu ananijibu jeuri, kws kweli nikampiga kwani nilikuwa na hasira, nilipiga ngumi jichoni, sasa jicho lilitoka damu, nina hofu anaweza kupofuka hilo jicho?

Au nilimkwaruza bahati mbaya tu?

Baada ya kuona hivyo nikamuacha na nikaita boda kumkimbiza hospitali baada ya kumnawisha. Halafu kingine alivimba mno uso, je, haitoniletea shida kwa madaktari hivyo kunikamatisha polisi?

Kifupi bado nampenda, tena sana na zaidi ya 93% ya mahitaji hununua yeye, na hata nikikwama hunisapoti naweza kusema hunisapoti sana.

Nawasilisha!

Wewe si ni zee korofi? Usitulilie sisi. Ngoja akunyoooshe..
 
Unalelewa halafu jeuri ya kumpiga umetoa wapi?

Hujui huyo jamaa wa benki ndio anawaweka mjini?

Namshauri huyo binti akuripoti polisi.
 
Hilo mimi sijui. Iwe mke wangu au sio mke wangu, nabutua. Iwe ameamua au hajaamua sitaki kujua hilo atajua yeye.
Wewe ni mkorofi jina lako linasema hivyo na huyo demu wako fala sana na mshamba lakini jua mambo ya kupiga piga wanawake itakukosti sana na madamu ushampiga jua kuwa utampiga tena bro tafuta pesa hiyo tabia yako kinganganizi utaendeshwa sana na hao mabinti.
 
Ukizingua utapigwa tu
Wewe ni mwanaume dhaifu sana.
Unajiona mmiliki na hati ya umilikisho huna bure kabisa.

Yani ajihudumie yeye na wewe akuhudumie bado umpige🤣🤣brother ishi Kwa malengo mwana

Bado hujakomaa vizuri
 
Unampenda asiyekupenda. Kama mko chuo anakupenda kwa sababu unamsaidia kitaaluma. Baada ya hapo mfanya kazi wa benki ambaye ndo mume mtarajiwa anatuma hela ya matumizi mnatumia wote. Kama unamsaidia kitaaluma haina shida ila baada ya graduation utaona vumbi kama la Kibondo-Kasulu
😂😂😂
 
Alivimba kama huyu ?
images - 2022-02-03T091328.664.jpeg
 
Asilimia kubwa ya wanachuo hawajatuliaa, c wasichana c wavulana.

Mlioowa wa standard 7 na form 4 mmepata bahati kubwa sanaa, ni wasichana ambao wanajitambuwa kwakweri, hawana vibuli, na wanahuluma kwa wammezao/wachumbawao.

Mlioolewa na wanamme wachamungu munabahati sanaa,,,haijarishi ana mali au hana almuhimu awe mchamungu, mpore, na mwenye upendo kwa mukewe/mchumba.

Nimemaliza.
 
Back
Top Bottom