Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Narudia kukwambia acha kupenda kitonga vinginevyo utagongewa kila uchwao.Narudia, akizingua anapigwa.[emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudia kukwambia acha kupenda kitonga vinginevyo utagongewa kila uchwao.Narudia, akizingua anapigwa.[emoji3][emoji3]
Duh sawaWanawake hawapigwagi kwa kwa mkono, utakuja kuishia jela. Kama hakupendi ni hakupendi achana naye.
Kwani naogopa sasa??[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Narudia kukwambia acha kupenda kitonga vinginevyo utagongewa kila uchwao.
Babu J ile ni raha burdaniHata kwa lile rungu Abdalla kichwa wazi?
Kwa kifupi wewe ni BOYA na huna akiliWanajamvi uzima upo?
Ninaishi na mpenzi wangu, sijamuoa ila tunaishi wote, na wote tu wanachuo hapa DSM. Jana usiku nilifuma msg katika simu ya huyu mpenzi wangu ya mapenzi(ilikuwa msg chafu iliyodhihirisha kuwa alikuwa akiliwa na mwanaume mmoja mfanyakazi wa bank).
Alikuwa bafuni, kwa kweli nilihamaki sana, nikamsubiri amalize kuoga nikamuuliza, ajabu ananijibu jeuri, kwa kweli nikampiga kwani nilikuwa na hasira, nilipiga ngumi jichoni, sasa jicho lilitoka damu, nina hofu anaweza kupofuka hilo jicho?
Au nilimkwaruza bahati mbaya tu?
Baada ya kuona hivyo nikamuacha na nikaita boda kumkimbiza hospitali baada ya kumnawisha. Halafu kingine alivimba mno uso, je, haitoniletea shida kwa madaktari hivyo kunikamatisha polisi?
Kifupi bado nampenda, tena sana na zaidi ya 93% ya mahitaji hununua yeye, na hata nikikwama hunisapoti naweza kusema hunisapoti sana.
Nawasilisha!
Kilichokufanya ukampiga ni nini kama sio udhaifu ulionao na kutokujiamini.Kwani naogopa sasa??[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Hujambo B..☺️☺️Wanawake hawapigwagi kwa kwa mkono, utakuja kuishia jela. Kama hakupendi ni hakupendi achana naye.
Si ndo hapo sasasasa we unampiga wakati mwenzio anatafta hela kwa jamaa wa benki ili muishi
Ni left punch mzee
Tena hana adabu kwenye ndoaAseeeh umeolewa wewe mkuu.
Dishi lake linamawimbi kila konaItakuwa dish lako limeyumba siyo bure yana unajisifia kabisa eti left punch ngoja upelekwe Lupango ukapate na wewe kidogo.
Heri..mambo ni poa sana mkaka mzuriSijambo, mambo mtoto mzjuri!
Asilimia kubwa ya wanachuo hawajatuliaa, c wasichana c wavulana.
Mlioowa wa standard 7 na form 4 mmepata bahati kubwa sanaa, ni wasichana ambao wanajitambuwa kwakweri, hawana vibuli, na wanahuluma kwa wammezao/wachumbawao.
Mlioolewa na wanamme wachamungu munabahati sanaa,,,haijarishi ana mali au hana almuhimu awe mchamungu, mpore, na mwenye upendo kwa mukewe/mchumba.
Nimemaliza.
Nimempiga kwa kunijibu mkato si kwa kuwa naogopa[emoji3]Kilichokufanya ukampiga ni nini kama sio udhaifu ulionao na kutokujiamini.
[emoji2]pole chief..tafuta fweza upate mamlaka