Huyu Mimi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2019
- 2,575
- 2,117
Ni huzuni sana.😬😬😬
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni huzuni sana.😬😬😬
utaua Zee KorofiNashukuru kwa wote mlionipa moyo, ahsanteni. Jana nilikwenda saa 11 nikaambiwa kumbe hakupofuka jicho, ila uso ulivimba vibaya sana, na mkono uliteguka kwani nakumbuka niliunyonga, na mdomo wa juu ulipasuka kidogo.
Uzuri kule kaandika alivamiwa na vibaka, so nashukuru kwa hili!
Kifupi nna hasira mno, akizingua tena siwezi kumkawiza namzibua I don't care. Bora anitukane ila si kunijibu jeuri.
So nashukuru, bado namuuguza, now amepata nafuu.
siku nyingine piga za mbavu huko usoni achana napo utang'oa pua,meno, macho ...nkNi left punch mzmzee
yani ukiwa na uwezo chuo mademu watakushobokea na kukuletea papuchi kila siku utajiona wewe ndo wewe unapendwa kumbe wapo kwa mission maalum ya kufaulu kupitia wewe.Unampenda asiyekupenda. Kama mko chuo anakupenda kwa sababu unamsaidia kitaaluma.
Baada ya hapo mfanya kazi wa benki ambaye ndo mume mtarajiwa anatuma hela ya matumizi mnatumia wote.
Kama unamsaidia kitaaluma haina shida ila baada ya graduation utaona vumbi kama la Kibondo-Kasulu
Duuuh! Sio hawa wa siku hizi mzee, mbona wengine vichwa ila hatuwaoni? Hiyo ilikuwa zamaniyani ukiwa na uwezo chuo mademu watakushobokea na kukuletea papuchi kila siku utajiona wewe ndo wewe unapendwa kumbe wapo kwa mission maalum ya kufaulu kupitia wewe.
yani mavyuoni wanawake wako tayari kufanya lolote ilimradi tu wakamate cheti mkononi,wakishamalizaga chuo chuo huwaoni tena na simu utablokiwa kabisa
Wanajamvi uzima upo?
Ninaishi na mpenzi wangu, sijamuoa ila tunaishi wote, na wote tu wanachuo hapa DSM. Jana usiku nilifuma msg katika simu ya huyu mpenzi wangu ya mapenzi(ilikuwa msg chafu iliyodhihirisha kuwa alikuwa akiliwa na mwanaume mmoja mfanyakazi wa bank).
Alikuwa bafuni, kwa kweli nilihamaki sana, nikamsubiri amalize kuoga nikamuuliza, ajabu ananijibu jeuri, kwa kweli nikampiga kwani nilikuwa na hasira, nilipiga ngumi jichoni, sasa jicho lilitoka damu, nina hofu anaweza kupofuka hilo jicho?
Au nilimkwaruza bahati mbaya tu?
Baada ya kuona hivyo nikamuacha na nikaita boda kumkimbiza hospitali baada ya kumnawisha. Halafu kingine alivimba mno uso, je, haitoniletea shida kwa madaktari hivyo kunikamatisha polisi?
Kifupi bado nampenda, tena sana na zaidi ya 93% ya mahitaji hununua yeye, na hata nikikwama hunisapoti naweza kusema hunisapoti sana.
Nawasilisha!
HahahahahaaaaaaaaUnampenda asiyekupenda. Kama mko chuo anakupenda kwa sababu unamsaidia kitaaluma.
Baada ya hapo mfanya kazi wa benki ambaye ndo mume mtarajiwa anatuma hela ya matumizi mnatumia wote.
Kama unamsaidia kitaaluma haina shida ila baada ya graduation utaona vumbi kama la Kibondo-Kasulu
Sasa pesa si zinatoka benki? Wote nyie ni wanafunzi, ulitegemea nini?Wanajamvi uzima upo?
Ninaishi na mpenzi wangu, sijamuoa ila tunaishi wote, na wote tu wanachuo hapa DSM. Jana usiku nilifuma msg katika simu ya huyu mpenzi wangu ya mapenzi(ilikuwa msg chafu iliyodhihirisha kuwa alikuwa akiliwa na mwanaume mmoja mfanyakazi wa bank).
Alikuwa bafuni, kwa kweli nilihamaki sana, nikamsubiri amalize kuoga nikamuuliza, ajabu ananijibu jeuri, kwa kweli nikampiga kwani nilikuwa na hasira, nilipiga ngumi jichoni, sasa jicho lilitoka damu, nina hofu anaweza kupofuka hilo jicho?
Au nilimkwaruza bahati mbaya tu?
Baada ya kuona hivyo nikamuacha na nikaita boda kumkimbiza hospitali baada ya kumnawisha. Halafu kingine alivimba mno uso, je, haitoniletea shida kwa madaktari hivyo kunikamatisha polisi?
Kifupi bado nampenda, tena sana na zaidi ya 93% ya mahitaji hununua yeye, na hata nikikwama hunisapoti naweza kusema hunisapoti sana.
Nawasilisha!