Nimempiga mpenzi wangu baada ya kukuta ujumbe wa kimapenzi kwenye simu yake

Nimempiga mpenzi wangu baada ya kukuta ujumbe wa kimapenzi kwenye simu yake

Nashukuru kwa wote mlionipa moyo, ahsanteni. Jana nilikwenda saa 11 nikaambiwa kumbe hakupofuka jicho, ila uso ulivimba vibaya sana, na mkono uliteguka kwani nakumbuka niliunyonga, na mdomo wa juu ulipasuka kidogo.

Uzuri kule kaandika alivamiwa na vibaka, so nashukuru kwa hili!

Kifupi nna hasira mno, akizingua tena siwezi kumkawiza namzibua I don't care. Bora anitukane ila si kunijibu jeuri.

So nashukuru, bado namuuguza, now amepata nafuu.
utaua Zee Korofi
 
Mkuu hyo mwanamke bado unae kwako?
Au umeshafukuza hyo takataka?

Kama bado unaye hapo nyumbani basi wewe ni zaidi ya bushoke.
 
Unampenda asiyekupenda. Kama mko chuo anakupenda kwa sababu unamsaidia kitaaluma.

Baada ya hapo mfanya kazi wa benki ambaye ndo mume mtarajiwa anatuma hela ya matumizi mnatumia wote.

Kama unamsaidia kitaaluma haina shida ila baada ya graduation utaona vumbi kama la Kibondo-Kasulu
yani ukiwa na uwezo chuo mademu watakushobokea na kukuletea papuchi kila siku utajiona wewe ndo wewe unapendwa kumbe wapo kwa mission maalum ya kufaulu kupitia wewe.

yani mavyuoni wanawake wako tayari kufanya lolote ilimradi tu wakamate cheti mkononi,wakishamalizaga chuo chuo huwaoni tena na simu utablokiwa kabisa
 
yani ukiwa na uwezo chuo mademu watakushobokea na kukuletea papuchi kila siku utajiona wewe ndo wewe unapendwa kumbe wapo kwa mission maalum ya kufaulu kupitia wewe.

yani mavyuoni wanawake wako tayari kufanya lolote ilimradi tu wakamate cheti mkononi,wakishamalizaga chuo chuo huwaoni tena na simu utablokiwa kabisa
Duuuh! Sio hawa wa siku hizi mzee, mbona wengine vichwa ila hatuwaoni? Hiyo ilikuwa zamani
 
Wanajamvi uzima upo?

Ninaishi na mpenzi wangu, sijamuoa ila tunaishi wote, na wote tu wanachuo hapa DSM. Jana usiku nilifuma msg katika simu ya huyu mpenzi wangu ya mapenzi(ilikuwa msg chafu iliyodhihirisha kuwa alikuwa akiliwa na mwanaume mmoja mfanyakazi wa bank).

Alikuwa bafuni, kwa kweli nilihamaki sana, nikamsubiri amalize kuoga nikamuuliza, ajabu ananijibu jeuri, kwa kweli nikampiga kwani nilikuwa na hasira, nilipiga ngumi jichoni, sasa jicho lilitoka damu, nina hofu anaweza kupofuka hilo jicho?

Au nilimkwaruza bahati mbaya tu?

Baada ya kuona hivyo nikamuacha na nikaita boda kumkimbiza hospitali baada ya kumnawisha. Halafu kingine alivimba mno uso, je, haitoniletea shida kwa madaktari hivyo kunikamatisha polisi?

Kifupi bado nampenda, tena sana na zaidi ya 93% ya mahitaji hununua yeye, na hata nikikwama hunisapoti naweza kusema hunisapoti sana.

Nawasilisha!


Hizo hela Za Kuku support za toka Kwa jamaa wa Bank, sasa wewe Fala una matatizo Sana!
 
Unampenda asiyekupenda. Kama mko chuo anakupenda kwa sababu unamsaidia kitaaluma.

Baada ya hapo mfanya kazi wa benki ambaye ndo mume mtarajiwa anatuma hela ya matumizi mnatumia wote.

Kama unamsaidia kitaaluma haina shida ila baada ya graduation utaona vumbi kama la Kibondo-Kasulu
Hahahahahaaaaaaaa
Vumbi la Kibondo[emoji849][emoji849]
 
Wanajamvi uzima upo?

Ninaishi na mpenzi wangu, sijamuoa ila tunaishi wote, na wote tu wanachuo hapa DSM. Jana usiku nilifuma msg katika simu ya huyu mpenzi wangu ya mapenzi(ilikuwa msg chafu iliyodhihirisha kuwa alikuwa akiliwa na mwanaume mmoja mfanyakazi wa bank).

Alikuwa bafuni, kwa kweli nilihamaki sana, nikamsubiri amalize kuoga nikamuuliza, ajabu ananijibu jeuri, kwa kweli nikampiga kwani nilikuwa na hasira, nilipiga ngumi jichoni, sasa jicho lilitoka damu, nina hofu anaweza kupofuka hilo jicho?

Au nilimkwaruza bahati mbaya tu?

Baada ya kuona hivyo nikamuacha na nikaita boda kumkimbiza hospitali baada ya kumnawisha. Halafu kingine alivimba mno uso, je, haitoniletea shida kwa madaktari hivyo kunikamatisha polisi?

Kifupi bado nampenda, tena sana na zaidi ya 93% ya mahitaji hununua yeye, na hata nikikwama hunisapoti naweza kusema hunisapoti sana.

Nawasilisha!

Sasa pesa si zinatoka benki? Wote nyie ni wanafunzi, ulitegemea nini?
Unampenda huku unamdhuru?!
 
Sasa kama wote mko chuo, hafanyi kazi lakini kwa asilimia kubwa mahitaji yote anatimiza yeye ulidhani anapataje uwezo wa kutimiza mahitaji hayo?
Yani inabidi umuombe msamaha kwa kumpiga sababu ya msg kutoka kwa mlezi wenu.
 
Back
Top Bottom