Nimempiga mpenzi wangu baada ya kukuta ujumbe wa kimapenzi kwenye simu yake

Nimempiga kwa kunijibu mkato si kwa kuwa naogopa[emoji3]
Hakuna cha kukujibu mkato wala nini..Unamuogopa boss lady๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Naona umeanzisha uzi mwingine ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒkuwa makini na ganda la ndizi mwamba
 
Hovyooo..nyie ndo wanachuo mnauwanaga...we umemuoa huyo au kumtolea mahari mpk umtandike hvyo....
Huyo nae hana ndgu wa kukusweka ndn...
Angekua mdg wangu ungelala lumande...

And with tht ndo ushamsukumia kwa huyo staff wa bank....haezi endelea na wewe....
 
Huo ni unyanyasaji, uduni na upuuzi kama ana mahusiano mengine toka tafuta wa kwako peke yako
 
Tunalisongesha, hapa hatoki
 
Kwao ulitoa mahari kiasi gani bwana mdogo mpaka uone uchungu kiasi hicho? Yaani wewe mwenyewe unalishwa na huyo demu halafu unachana mkeka? Lazima ujue unayofanya hapo ni batili na huna haki ya kuyapigania kwa namna yeyote! Hapo ni masomoni na mtoto wa watu kaletwa hapo asome hivyo acha ubahau.
 
Nimeelewa
 
Kama huku home of great thinkers unaandika hivi ,vipi huko kwingine
 
Mkaka mzuri๐Ÿ˜‰๐Ÿ˜‰๐Ÿ˜‰.
Njoo sasa inbox mrembo tu-arrange 14th February
๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณkuitwa tu kaka mzuri imekuwa nongwa.

Hee sikuji.Baki na 14th February yako
 
Boom alimtoshi muache tu achepuke...... sema usimpge tena

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ