Nimempiga mtoto wa mdogo wangu, ndugu wananilaumu lakini Mama ananiunga mkono

Nimempiga mtoto wa mdogo wangu, ndugu wananilaumu lakini Mama ananiunga mkono

Ila Hawa watoto malezi yetu yanawaharibu Mie kuna sehemu nilienda mtoto miaka 4-5 yule acha anitemee mate daaah nilikafinya kakapiga yowe sema kalikuwa na mwenzie mamake alipo uliza yule mtoto akajibu amemtemea mate mgeni

Ila nilitamani nikae nako masaa 2 ma 3 nakafinya maana dharau za kutemewa mate sio powa
 
Mzee bora huyo. Aisee mimi mke wangu wapili si nilimkuta na mtoto wa kiume. Pumbavu zangu. Dogo alikuwa ni nunda hatari, alikuwa anamkata mama mikwara kwa kwenda mbele, anaamua yeye kila kitu na alipojichanganya eti akasema yeye ndo mwenye maamuzi ya tunachotakiwa kufanya.
Mungu akubariki kwa kusimama kama baba
 
Kama hii ni kweli basi ulifanya vyema. Hawa wazazi wa sasa wanatuletea hekaya za korea kwa watoto afu wanaita mapenzi kwa watoto .....sisi hatukulelewa hivyo na tumekuwa hivi , waache kujitia ufedhuli wasiokuwa nao
 
Huyu mdogo wangu wa kike wa mwisho ana kitoto chake kina miaka 6. Weekend hii alikileta kije msalimia uncle. Mi sikuona shida kabisa. Wazo lilikuwa jema.

Shida ikawa kwenye utekelezaji. Kile ki uncle kina kera balaa... Kinakera mpaka mwisho. Kimefika home ndani ya muda mfupi kimeshaingia vyumba
Sasa unalalamika nini, nenda kamshitaki polisi ili afungwe kwa kuvunja vitu vyako na kukuchafulia nyumba.
 
Huyu mdogo wangu wa kike wa mwisho ana kitoto chake kina miaka 6. Weekend hii alikileta kije msalimia uncle. Mi sikuona shida kabisa. Wazo lilikuwa jema.

Shida ikawa kwenye utekelezaji. Kile ki uncle kina kera balaa... Kinakera mpaka mwisho. Kimefika home ndani ya muda mfupi kimeshaingia vyumba vyote,kimechafua kwenye friji na kimeshavunja jug la juice.
Wa kiume au wa kike
 
Mzee bora huyo. Aisee mimi mke wangu wapili si nilimkuta na mtoto wa kiume. Pumbavu zangu. Dogo alikuwa ni nunda hatari, alikuwa anamkata mama mikwara kwa kwenda mbele, anaamua yeye kila kitu na alipojichanganya eti akasema yeye ndo mwenye maamuzi ya tunachotakiwa kufanya.

Pumbavu, dogo siku moja kanitunishia misuli kama vile anataka kupigana na mimi. Nilichofanya nilimpa wiki kama tatu hivi namsoma tu taratibu. Mama yake anamuogopa dogo plus aibu. Yaani dogo alikuwa ni kufoka tu, hasikilizi chochote. Mtoto wa kiume mama miaka sita eti mama anambeba kama wa mwaka mmoja.

Nilipoanza kazi, alisoma namba. Nilijisemea eti namkaza mama yake alafu anitunishie misuli. Daadeki, leo akisikia nimekohoa anakimbia tu. Single mothers wanaharibu watoto sana.

Siku hizi dogo anajielewa freshi kweli. Ni baada ya mimi kusimamia show kama mwanaume. Ila ajabu sikuwahi kumchapa hata siku moja.
Hongera zako mkuu kwa kumpa malezi bora,inaonekana dogo alikuwa amepinda Kweli kweli
 
Ila Hawa watoto malezi yetu yanawaharibu Mie kuna sehemu nilienda mtoto miaka 4-5 yule acha anitemee mate daaah nilikafinya kakapiga yowe sema kalikuwa na mwenzie mamake alipo uliza yule mtoto akajibu amemtemea mate mgeni

Ila nilitamani nikae nako masaa 2 ma 3 nakafinya maana dharau za kutemewa mate sio powa
Daahhh!!anaanzaje kunitemea mate aseehh!!!hayo maujinga yamepitiliza sasa!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Hongera zako mkuu kwa kumpa malezi bora,inaonekana dogo alikuwa amepinda Kweli kweli

Mtoto alipinda aisee. Siku moja huwezi kuamini washkaji wamekuja kunitembelea, ile tumekaa tunapiga stori eti dogo kaanza kuwatoa kwenye kochi ili acheze.

Nilivyojaribu kumzuia nyumba ikalipuka kwa fujo za dogo. Kwa kweli huyu mwanangu wa kufikia aliharibikiwa.

Mama alimuogopa mtoto, asingeweza kwenda naye popote kwa kuogoga aibu mbele za watu. Nilichokifanya ni kujiwekea mpango kazi hatua kwa hatua, nikampa mama maelekezo. Nilivyomaliza kuweka nidhamu, nikaanza sasa kumpa mama silaha.

Yaani dogo asinisikilize tu ila mama yake pia, napo nikafanikiwa maana niliona kuna uwezekano dogo akaniheshimu ila akampuuzia mama yake na watu wengine.

Hapa nilimpa mama masharti magumu, hata nisipokuwepo dogo akileta fyongo lazima nifahamishwe, na ikiwezekana napigiwa simu dogo akisikia. Alivyoona amebanwa kila kona, alisalimu amri.

Sasa hivi nataka sasa kuingia hatua ya kujenga mahusiano ya kirafiki jambo ambalo sikutaka kufanya mwanzoni baada ya kugundua alichukulia kama mimi ni rika yake vile so ilibidi niwe mgumu, mipaka ilibidi iwepo ili kusimika nidhamu.

Nakuhakikishia, siyo kazi rahisi aisee, imenichukua karibia miaka miwili kumnyoosha dogo.

Sasa hivi mama yake anafurahi na ananitunuku vizuri hasa.
 
Mzee bora huyo. Aisee mimi mke wangu wapili si nilimkuta na mtoto wa kiume. Pumbavu zangu. Dogo alikuwa ni nunda hatari, alikuwa anamkata mama mikwara kwa kwenda mbele, anaamua yeye kila kitu na alipojichanganya eti akasema yeye ndo mwenye maamuzi ya tunachotakiwa kufanya.

Pumbavu, dogo siku moja kanitunishia misuli kama vile anataka kupigana na mimi. Nilichofanya nilimpa wiki kama tatu hivi namsoma tu taratibu. Mama yake anamuogopa dogo plus aibu. Yaani dogo alikuwa ni kufoka tu, hasikilizi chochote. Mtoto wa kiume mama miaka sita eti mama anambeba kama wa mwaka mmoja.

Nilipoanza kazi, alisoma namba. Nilijisemea eti namkaza mama yake alafu anitunishie misuli. Daadeki, leo akisikia nimekohoa anakimbia tu. Single mothers wanaharibu watoto sana.

Siku hizi dogo anajielewa freshi kweli. Ni baada ya mimi kusimamia show kama mwanaume. Ila ajabu sikuwahi kumchapa hata siku moja.
Nimependa ulivyo simama km baba yake saafi sana na utalipwa fungu lako
Tulee watoto wa watu km wa kwetu na tusiwanyanyase maana wakiharibikiwa wanaharibu na wa kwetu

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Nina mtoto wangu wa kiume ana miaka 3 sasa, anajua kila kitu, ukichukia anajua, kama hutaki afanye kitu fulani anajua, na ana limits zote, ninampenda ila pia namuadibisha hadi amekuwa na adabu. penye haki yake anaelewa na anamind, ila pale anapoharibu nikisema aache anachosumbua huwa siongei sauti mbili, mwenyewe utakuta ameacha na kutulia. kulea mtoto kama mjinga ni kumharibu tu.
Napenda mno mwanangu awe hivi, kitu usichopenda uzungumze mara moja tu basi.
 
Back
Top Bottom