Nimempiga mtoto wa mdogo wangu, ndugu wananilaumu lakini Mama ananiunga mkono

Nimempiga mtoto wa mdogo wangu, ndugu wananilaumu lakini Mama ananiunga mkono

Mkuu umefanya vema sana,ila umekosea kidgo...ungemzibua na huyo dadako. Hapo ungekua umetibu kidonda mpk ndani. Pumbaffff zao
Huyu mdogo wangu wa kike wa mwisho ana kitoto chake kina miaka 6. Weekend hii alikileta kije msalimia uncle. Mi sikuona shida kabisa. Wazo lilikuwa jema.

Shida ikawa kwenye utekelezaji. Kile ki uncle kina kera balaa... Kinakera mpaka mwisho. Kimefika home ndani ya muda mfupi kimeshaingia vyumba vyote, kimechafua kwenye friji na kimeshavunja jug la juice.

Mi niliweka pause tu kwanza kuvumilia nikiomba Mungu asaidie wageni waondoke haraka. Kikaanza kulilia remote kiangalie tamthiliya za A**m. Mimi nilishapiga marufuku pale home. Nikakikatalia ...kikaanza kulia. Mama yake anakimbembeleza....

Hakitaki kikamrushia remote usoni. Hapo nilitaka kunyanyuka....malaika akanizuia. Mama yake akawa tu anasema "Jamaani... Amran na hasira kama baba yake....yaani huyu mtoto" huku anajichekesha akifikicha fikicha jicho.

Nikainuka nikaichukua remote nikaijaribu nikaona inafanya kazi. Nikashusha pumzi kumshukuru Mungu maana nilijua pale hali ya hewa ingechafuka.

Kakawa kana mghasi sana mwanangu....uzalendo ulinishinda kalipomwambia "mshenzi weeee" hapo nilijikuta nimeamka nikakamata na kukapeleka uani. Nikavunja ua langu zuri maskini nipate fimbo. Nilikatandika sana... Heeehhh .... Si kanalia kananambia ... "Toka hapa...." Nikaona haka kametumwa kunitafutia kesi na Serikali au ustawi wa jamii....

Nikakacharaza viboko miguuni, mamaa yake akaja ...na kudai inatosha nitamuumiza mwanaye si vizuri kumchapa mtoto, inatakiwa kukaa naye kuongea naye.

Nilimwambia hilo la kukaa naye kuongea naye akafanyie huko kwao. Hapa kwa uncle katulie hasa. Mama yake ali mind. Eti....mtoto anapaswa apewe muda wa kucheza atakavyo. Nilimwambia akacheze huko ila asichezee vitu vyangu na sitaki kabisa uharibifu.

Akasema: "Kaka ndo maana wengi hatupendi kuja kwako ...mkoloni sana na hupendi watoto" alinikwaza....yaani yeye kukilea kitoto chake vile kama kimbwa koko anaona ndo mapenzi. Kitoto kina sugu, vidonda na kimekuwa cheusi, kimekauka kama kinakula cement eti ndo anakipenda nikasema wacha iwe hivyo.

Kimekaa kaa kidogo kwa utulivu kikajisahau tena ...kikajikojolea.... Mtoto wa miaka 6 anajikojoleaje? Mimi wangu ameanza kukojoa mwenyewe akiwa na miaka 2 huyu sita anakojolea carpet?

Mama yake anasema ndo alivyo yaani ...ukichelewa tu kumvua nguo anajikojolea hapendi kukaa na mkojo. NIlimwita mtoto wangu nikamwambia niitie dada. Dada alipokuja nikamwambia kanichumie fimbo.

Sister akaamua akachukue katoto kake akakapeleka kwenye gari kukaepusha na dhahama. Wakaamua kuondoka. Nikasema na iwe hivyo...alaaaah yaani kafanye ujinga nikaogope sababu ya mama yake.....sister kawaambia wadogo zangu wengine kuwa nime mnyanyasa mtoto wake. Ndugu wananisema....mama akapata taarifa.

Akanipigia simu kuwa nimefanya swadakta kile kitoto kinalelewa hovyo. Mama yake anakikiss mpaka ulimi.....anasema ndo mapenzi kwa mtoto. Mama anasema hataki hata kikamtembelee kilimtia hasara nyingi ikiwepo kudumbukiza simu yake majini.

Nimejisemea tu wacha na iwe. Asiyefunzwa na mamaye sisi tutamfunza tu ...
 
Huyu mdogo wangu wa kike wa mwisho ana kitoto chake kina miaka 6. Weekend hii alikileta kije msalimia uncle. Mi sikuona shida kabisa. Wazo lilikuwa jema.

Shida ikawa kwenye utekelezaji. Kile ki uncle kina kera balaa... Kinakera mpaka mwisho. Kimefika home ndani ya muda mfupi kimeshaingia vyumba vyote, kimechafua kwenye friji na kimeshavunja jug la juice.

Mi niliweka pause tu kwanza kuvumilia nikiomba Mungu asaidie wageni waondoke haraka. Kikaanza kulilia remote kiangalie tamthiliya za A**m. Mimi nilishapiga marufuku pale home. Nikakikatalia ...kikaanza kulia. Mama yake anakimbembeleza....

Hakitaki kikamrushia remote usoni. Hapo nilitaka kunyanyuka....malaika akanizuia. Mama yake akawa tu anasema "Jamaani... Amran na hasira kama baba yake....yaani huyu mtoto" huku anajichekesha akifikicha fikicha jicho.

Nikainuka nikaichukua remote nikaijaribu nikaona inafanya kazi. Nikashusha pumzi kumshukuru Mungu maana nilijua pale hali ya hewa ingechafuka.

Kakawa kana mghasi sana mwanangu....uzalendo ulinishinda kalipomwambia "mshenzi weeee" hapo nilijikuta nimeamka nikakamata na kukapeleka uani. Nikavunja ua langu zuri maskini nipate fimbo. Nilikatandika sana... Heeehhh .... Si kanalia kananambia ... "Toka hapa...." Nikaona haka kametumwa kunitafutia kesi na Serikali au ustawi wa jamii....

Nikakacharaza viboko miguuni, mamaa yake akaja ...na kudai inatosha nitamuumiza mwanaye si vizuri kumchapa mtoto, inatakiwa kukaa naye kuongea naye.

Nilimwambia hilo la kukaa naye kuongea naye akafanyie huko kwao. Hapa kwa uncle katulie hasa. Mama yake ali mind. Eti....mtoto anapaswa apewe muda wa kucheza atakavyo. Nilimwambia akacheze huko ila asichezee vitu vyangu na sitaki kabisa uharibifu.

Akasema: "Kaka ndo maana wengi hatupendi kuja kwako ...mkoloni sana na hupendi watoto" alinikwaza....yaani yeye kukilea kitoto chake vile kama kimbwa koko anaona ndo mapenzi. Kitoto kina sugu, vidonda na kimekuwa cheusi, kimekauka kama kinakula cement eti ndo anakipenda nikasema wacha iwe hivyo.

Kimekaa kaa kidogo kwa utulivu kikajisahau tena ...kikajikojolea.... Mtoto wa miaka 6 anajikojoleaje? Mimi wangu ameanza kukojoa mwenyewe akiwa na miaka 2 huyu sita anakojolea carpet?

Mama yake anasema ndo alivyo yaani ...ukichelewa tu kumvua nguo anajikojolea hapendi kukaa na mkojo. NIlimwita mtoto wangu nikamwambia niitie dada. Dada alipokuja nikamwambia kanichumie fimbo.

Sister akaamua akachukue katoto kake akakapeleka kwenye gari kukaepusha na dhahama. Wakaamua kuondoka. Nikasema na iwe hivyo...alaaaah yaani kafanye ujinga nikaogope sababu ya mama yake.....sister kawaambia wadogo zangu wengine kuwa nime mnyanyasa mtoto wake. Ndugu wananisema....mama akapata taarifa.

Akanipigia simu kuwa nimefanya swadakta kile kitoto kinalelewa hovyo. Mama yake anakikiss mpaka ulimi.....anasema ndo mapenzi kwa mtoto. Mama anasema hataki hata kikamtembelee kilimtia hasara nyingi ikiwepo kudumbukiza simu yake majini.

Nimejisemea tu wacha na iwe. Asiyefunzwa na mamaye sisi tutamfunza tu ...

Asiyefunzwa na mama ye ufunzwa na jombaaaa....Safi sana,,,muokoe huyo mtoto angali mapema,,,ataenda kuwa mjeuri sana
 
Mkuu umefanya vema sana,ila umekosea kidgo...ungemzibua na huyo dadako. Hapo ungekua umetibu kidonda mpk ndani. Pumbaffff zao
Next time wote wawili nawawasha vibao vya haja hasa.....
 
Mtoto alipinda aisee. Siku moja huwezi kuamini washkaji wamekuja kunitembelea, ile tumekaa tunapiga stori eti dogo kaanza kuwatoa kwenye kochi ili acheze.

Nilivyojaribu kumzuia nyumba ikalipuka kwa fujo za dogo. Kwa kweli huyu mwanangu wa kufikia aliharibikiwa.

Mama alimuogopa mtoto, asingeweza kwenda naye popote kwa kuogoga aibu mbele za watu. Nilichokifanya ni kujiwekea mpango kazi hatua kwa hatua, nikampa mama maelekezo. Nilivyomaliza kuweka nidhamu, nikaanza sasa kumpa mama silaha.

Yaani dogo asinisikilize tu ila mama yake pia, napo nikafanikiwa maana niliona kuna uwezekano dogo akaniheshimu ila akampuuzia mama yake na watu wengine.

Hapa nilimpa mama masharti magumu, hata nisipokuwepo dogo akileta fyongo lazima nifahamishwe, na ikiwezekana napigiwa simu dogo akisikia. Alivyoona amebanwa kila kona, alisalimu amri.

Sasa hivi nataka sasa kuingia hatua ya kujenga mahusiano ya kirafiki jambo ambalo sikutaka kufanya mwanzoni baada ya kugundua alichukulia kama mimi ni rika yake vile so ilibidi niwe mgumu, mipaka ilibidi iwepo ili kusimika nidhamu.

Nakuhakikishia, siyo kazi rahisi aisee, imenichukua karibia miaka miwili kumnyoosha dogo.

Sasa hivi mama yake anafurahi na ananitunuku vizuri hasa.
Hapo mwisho nakazia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Miaka 10 iliopita nimekuja dar kuanza chuo nikafikia kwa aunt yangu anawatto wawil miaka 3 na 7 aseeh walikuwa vipegesi balaaa nilipewa chumba cha uani wao wanakaa nyumba kubwa

Mwanzon nilichukulia hali ya kawaida ila kadri siku zinavyo enda nikaona wanazidi kunipanda kichwan baba yao hashind nyumban anarudi usiku saa 5 huko kila siku mama yao hivyo hivyo isipokuwa jpili anashinda home tena anajifungia chumban huko

Watto muda mwing wanashinda na dada wa kaz wanamsumbua na kumpelekesha hatari akiwapiga mama akiambiwa anakuwa mkali balaa kuna siku nipo zangu chumban nasikia yule mtto mkubwa anamuambia dada TOKA HAPA KWETU MASKINI WEWE natoka namuona anachukua viatu anamrushia nilichukua mkanda wa suruali nilimshika nilimchapa sana akatishia kusema kwa mama yake uzur mama yake anajua mm nilivyo kwel mama yake karudi ule usiku akanisemea nikatoka taratibu kuchukua mkanda nikamshika mbele ya aunt nikatandika tena nilijitahid ile semister ya kwanza wale watto wakanyooka nilibatizwa jina na kuitwa kaka mikanda mpaka sasa wanajielewa wamekuwa watu wakubwa sasa wananipenda sana na mm nawapenda pia
Mambo kama haya n mazuri sana,ila shida kuna dada,mama au shemej zetu ukimchapia mwanae utajua kua hujui [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hata kama umekwazika bado unatakiwa kuulinda utu wa mtu na heshima yake, sio "kile kitoto" ni "yule mtoto". Mtoto bado ni mtu na kuwa mtundu au kukosa adabu hakumuondolei heshima ya utu wake

Mkuu haya matukio ya hivi yapo karibu kila nyumba, kila mtu akiyaleta humu asijui patakuwaje. Hongera kwa kuwajibika kuwapa nidhamu watoto wenu na ndio jukumu lako kama mtu mzima, usilalamike pambana.
Jamaa katumia lugha laini sana. Yaani hapo anastahili kupewa Heko maana yaliyokuwa yanatoka moyoni siri yake.
 
Mkuu we acha mimi kuna mtu yuko hapa kwangu na mwanae mwezi wa tatu ninavumilia mengi, mtoto anaelekea miaka saba akiamua anajikojolea, ikifka muda wa kula eti anaanza kulia, anaweza amgomee kwenda kulala hata saa sita usku.
Yani kuna muda uvumilivu unataka kunishinda. Mwanangu uwa anataka kuiga, namtia kerebu
Madhara ya hawa watoto huwa yapo kwenye kuambukiza tabia kwa wanao. Hata kuna muda unatamani umsaidie mtu akiwa mbali
 
Back
Top Bottom